< Luka 16 >

1 Yeecu yi nobbwankecebo tak, “nii cuwekako kangeni ki ni toman'nye, Lacin kwa kiyan nye ki nii toman nyewo kang cineut cuwekacokob.
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: “Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.
2 La nii cuweka wuco yico, “fulan yer minuwa dor mwere? bowki kiyeka tomange mweke, wori mari mwa yila nii tomange mititak.
Yule tajiri akamwita akamwambia: Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena.
3 Lamitomange toki neren, ma mangi, nilomi anyam tomanyewo kangmik? Wo, mimanki bikwantonet lami cwa kwenduwe meka cekoti.
Yule karani akafikiri: Bwana wangu amenifukuza kazi ya ukarani; nitafanya nini? Kwenda kulima siwezi; kwenda kuombaomba kama maskini ni aibu.
4 Minnyumwom dike ma matiyeu noci cukumye mor tomanye nindi, nubo ayoye lonici.
Naam, najua la kufanya, ili nitakapofukuzwa kazi, watu waweze kunikaribisha nyumbani kwao.
5 Dila nitomannye cwuningangum nubo teluwece bwanteng centiyeu, yi nii kaba, Nyi nii lomi bwangmwenten tiye?
Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmoja mmoja, akamwambia yule wa kwanza: Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?
6 yiki, 'nuwannye kwini kwob' Isryico, Bifumer mwerowo, canakowo yikenyiye, mulangum kwini nung.
Yeye akamjibu: Mapipa mia ya mafuta ya zeituni. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, keti haraka, andika hamsini.
7 Yilan yikannye, ciki bwangmwentuniyi? Yiki, cwayi bikate kwini kwob, 'bifumerwo mulangum kwini narub'.
Kisha akamwuliza mdeni mwingine: Wewe unadaiwa kiasi gani? Yeye akamjibu: Magunia mia ya ngano. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, andika themanini.
8 Dila niwo caklang nii bwini bilengewo ki yulancero. Bibeyo kaleweu nyimem maka nyinong nubo ko kaleweu la bibei filange yulang. (aiōn g165)
“Basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga.” (aiōn g165)
9 Miyi komti komma bifarak kannge cuweraka kannge buni bilinke, cawo cin dimri, naci yokom lonici wuro manki diks. (aiōnios g166)
Naye Yesu akaendelea kusema, “Nami nawaambieni, jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele. (aiōnios g166)
10 Wo madikerti dongdong dor dikero biduwareri, cin nii dongdonge dor dikero dur, wo kebo nii bilinke don dikero bidurure, kebo ni bilinke dor dikero dur.
Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.
11 Tano kommabo dike dongdonge di cuwekako kebo wucakeri, we aciya kumenti kicuweka wabilinkece?
Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
12 No komma dike dongdonge ki kemer niidir we anekom kemer kumer tiye?
Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
13 Kange mami wo a wob nii luweti yobe, catin kowini, ci cui win kakka ci ciya winening, ci cuwe kangum wineu. mani ka wab kwaamatiri kom wab cuwekati.
“Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au ataambatana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.”
14 Kambo faricawabo wuro cui cuwekatiyeu nuwa dikero biombori, cin macinen cuwelangka.
Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu.
15 Inyici, “Kom ko tiki dor kumero kabum nubem, dila kwaama nyumuom nerkumero. Dikero nubo nedurketiye nyeu diker yeika fiye kwaama wiye.
Hapo akawaambia, “Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa maana kile kinachoonekana kuwa kitukufu mbele ya watu, Mungu anakiona kuwa takataka.
16 Biwerer bifumer nob tomangebo inwi yakenciko Yahaya nin. Kwama wuro cin bwanten ker liyar kwaaranarotiye, kwarub kutannyi kwamacuo ci bwangten ker liyar kwaamarotiye, kwanrub ci ma bwi dokka dorekti morece.
“Sheria na maandishi ya manabii vilikuweko mpaka wakati wa Yohane mbatizaji. Tangu hapo, Ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu.
17 Gwamm kangero, atin yilam bwaibo diko kange bitineu nabecum, na diker win nabi weretro na dim.
Lakini ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko hata herufi moja ya Sheria kufutwa.
18 Niwo nyankan wucenin naukangeri inma buroka, ken niwo nau nawiyewo cinyam kanngeri inma buroka.
“Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
19 Nii cuwakakko kanngenwi, wo dukulen kemero yoryoreu nuwa luma kalecokoti.
“Palikuwa na mtu mmoja tajiri, ambaye alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau, na ya kitani safi, na kufanya sherehe kila siku.
20 Cin yoken nii kini kannge nyiloco, dencero Liazaru, wo bwiceu ka deti.
Kulikuwa pia na maskini mmoja jina lake Lazaro, aliyekuwa amejaa vidonda na alikuwa analazwa mlangoni pa nyumba ya huyo tajiri.
21 Ceu ci cuiti naci bwam fwercero ki fiti cari yarangum ti fiye caka carik nii cuweka nyo kibi cuwetincer bom biyablam bwiceti.
Lazaro alitamani kula makombo yaliyoanguka kutoka meza ya tajiri; na zaidi ya hayo, mbwa walikuwa wanakuja na kulamba vidonda vyake!
22 Laniwo bwiyamri, nobtomangeb kwaamabo tu co yakenciko Ibrayim nin. Ni cuweks buyam, cin fwerumco,
“Ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika wakamchukua, wakamweka karibu na Abrahamu. Na yule tajiri pia akafa, akazikwa.
23 ci mor Adece ci nuwa dotange ti, la cin kun doro cinto Ibrayim kutan, kan'nge Liazaru cantangcek. (Hadēs g86)
Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye. (Hadēs g86)
24 Lacin cobicoro ciki, Tee Ibrayim, ci bwinni mito, twomun Liazaru adokti biwurece mwem abelti menti biyenmin, wori indotange minuwati mor kirewe.
Basi, akaita kwa sauti: Baba Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.
25 Dila Ibrayim yico, Bwe, kwabi ki kwamawo mu kalemweu munuwa luma cuweka mwekobi, munyo kulentinimbo ken, La Liazaru nuwati ka dotange. Dila naweu luma cinecotide, mwe munuwa dotangeti.
Lakini Abrahamu akamjibu: Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro akapokea mabaya. Sasa lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa.
26 Nobo nyori dila buwako cuwa cuwau inwi, wori birombi coi yabkati kumeneu nadolde, tak kannge na yabuurefo nyinnen.
Licha ya hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu kutoka huku wasiweze, wala wanaotaka kutoka kwenu kuja kwetu wasiweze.
27 Lamicuweks yiki, Lami kennenti Tee Ibrayim, twornco lo Tee ni-
Huyo aliyekuwa tajiri akasema: Basi baba, nakuomba umtume aende nyumbani kwa baba yangu,
28 wori minweki keb mib bi beibayilobe nyo nung, amincinen biweret kayilo cibuo fiye dotangewo.
maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.
29 Dila Ibrayim yiki, cin wiki Musa kannge kannge nob toman'ngebi nyori ciya nuwaci,
Lakini Abrahamu akamwambia: Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.
30 Dilla nii cuweka ciyaki, 'O, on, Tee Ibrayim, cano kan'nge mor birombo biyam biya yacinendi, ciyam yiloten.
Lakini yeye akasema: Sivyo baba Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka wafu na kuwaendea, watatubu.
31 Dilla Ibrayim yico, cono ci Musa kan'ge nobtoman'gebo ri, cabunano kan'nge fulou duwendi maciya nuwacoti”
Naye Abrahamu akasema: Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka wafu.”

< Luka 16 >