< Luka 10 >

1 Bwika dike wuro Yeecu cok kwini niber cilom yoh, co tom ci yob-yob na ci ya cunnukur kange bettinimbo wo co cwija. Ya ka ti wiyeu.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2 La yi ci bituwe wi dutce di la nob nangnembo biduwa, no nyori kom kwob dilo kom kinong nii take na tom cimen nob nangenembo mor take ce.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3 Kom ya to man tom kom na be kwame mor bitilo.
Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4 Be kom ture kiyemer, cwaye kange Taa. kom yarumde nii dor nuret.
Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5 Luwe kom do wiyeudi, kom ter tok kako kom ki, funeret a no fo luwe wuro.
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6 Tano ni funeret wi luwe nen di, fu neret kumero an yiti luwe nen, no mani dii fowor neret kumero an yila fiya kom.
Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7 Kom yi i luwe co, kom ca kom no, dike ci ne kome. Ni nage do daten cor cero, kom dore luwe-luwe.
Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8 Bero ci yo komeri kom ca diker ci ti ki kabum kumene.
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9 Kom twam nubo ki bwarakeu wii bitine cuwo, kom yici liyar kwamaro bo bi dom kange kom.
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10 Bitine wo kom do no ci yokom di yaken dor nuret ciyer, kom yi nubo cuwo kom kii ka kwero bitine kume tam na nye ko.
Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11 Nyo ferkumen, co warke dor kumer. Be kom nyom liyar kwamaro bo bi dom kange kom.
Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12 Ma yi kom bi diye bolange caduma an la bero wo, fiyaka luma.
Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13 Kwannen karacinu, kwannen Baitcaida: nangedo tenangi wo ma mo re kume, na cin mani nyo Taya knge cidon di na cikin kiya ciko ki kinin, ci yim mor bituwamekange yilan kangbuwa.
“Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14 Di la biye bolang taya kange cidon ci an La kom fiya ka luma.
Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15 Mo kenne kafanaum mo kwati moki yaken ciko dii kwama ciya duktang nen tiye? O-ong an cukken nen bwiyar. (Hadēs g86)
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs g86)
16 Wuro cutu fiye kom wiyedi, cuwantu minen, wo ko kom medi, koye, wo ko yere, ko niwo tomwo yere”.
Halafu akasema, “Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”
17 Ci kwini ibere yilau ki fwor neret, ci yiti ki Teluwe, bwekelkele ken nyo durti. mor denen mwe?
Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, “Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.”
18 La Yeeecu yici man to bwekelkele yaruti dii kwama na miblanka.
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19 To min ne kom bi kwan kom fuwa na cwiwetininm kange birngetinim kange bikwan nii kiyer gwam, take ci makom nin ki diger ko bi dob.
Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20 Bwen nyeu kom bilangde nyo kom ki yuwa ko bwirko nuwa komti, Di la kom bilangi la den kumer mulangum mor dii kwama.
Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 Na wo ri Yeecu dim ki for neret mor yuwa tangbe ko wucakke, coki man ne nen dur Te Teluwe dii kwama kange bitine. wo mo cumom dige worombo nob Yilenebbo nin kange nyomka, mo na fwetang ci nen nubo worombonin merangbe. na bibei bi dwartinim. Ong, Tee nyo dong dong fiye mon wiyeu.
Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.”
22 Dikero gwam ki no fiye Tee me wiyeu, ba nii win nyom bwe curoweu, La ka Tee win kange kangumbo wo bwe ciya ki nyomom ceu.
Kisha akasema, “Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.”
23 La cin yilam fiye bibei tomangeb cebo con cogi cunnka. Caklangka ki no nubo wo tom dikere cin toweu.
Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, “Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24 Min yii komti nub wabero kange liyab kila ciyan to diker muu toweu, la ma ci to cii ti, ciyan nuwa diker muu nuwau, la ma ciya nuwati
Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.”
25 Kange nii merangka bolange Yahudawa na co cwa co, cike na co cuwa co, cike nii meranka, Yeecu ma matiye na fiyam dume diiye? (aiōnios g166)
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
26 Yeecu yi co ki moki kiye nyi dike mulangi mor bolange? co ciya coki.
Yesu akamwuliza, “Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?”
27 Bilang te mwe kwama ki ner mwero gwam, dume mwe gwam, bikwan mwer gam, kange dike mo kwabe gwam, na mo bilang nii bidomeu na dor mwero.”
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
28 Yeecu ciya co mo tok dong dong, ma wo nyo na fulo
Yesu akawaambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29 Nii merang ka cwiti na co cukum dorcero, ki Yeecu we nii mi bidome?
Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Yeecu ki nii kange kwen yam Ursalima, yakenti Jeriko. Con yar ken kan nub kwiyeb, ci cukum co, ci yom dike co cike kwarub ci bukco dob co tamwi bwiyam.
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31 Nii wabe kange dou wi nure co, to co di kwen tiyagum cungagin cuken.
Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32 Nyo tak ni tikali dur bikur wabe dou wi nure cwo, la to co kwen tiyagum cunaggin cuken.
Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33 Di la kange bwe Basamariya nure tou co wi.
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34 Con bou fiyentange niwo wiye, bwacinen deti ya ci nuwa cinen neu, belti cinen nuwanko kange mwem bitutti (Inabi) kunn ken co yoken dor kelba cer yaki co fiye dami, na to co.
Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35 Ki elfini con boki dinari yob ne ni luwe, yi co ki to twa cinen dero, tano mo twalki cum dige ma ne neri, na yilauri man ya nen.
Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.”
36 Mor nubo wuro we nii mo to ci nii bilang kange ce?
Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”
37 Ni merangka ki nii wo nuncinen bilangtum, Yecu yii o ki ya manyo ken.
Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo.”
38 Di ci yaekn ti Yecu doken mor conunkur kange nawiye kange dencerro Marta yo co lo co.
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39 Con wiki korya ce den do Maryamu, wo yi na Teluwe nuwa ti ka dike co toktiyeu.
Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40 Marta ki ma yiri, la con bo Yecu nen ki Teluwe kwm nen bo, korya mi dob ye ma, m nage do tiki kwami? yi co ca tikang ye, Yecu ciya, la yi co Mart, mo kwon dor mwero dor diker dutce.
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, “Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.”
41 La Nii durko ciya co ki “Marta mon yumom diker kila.
Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42 Di la diker win tam yo maryamu tom ce diker yor yore, wo, nii mani a yo cimenti.
Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.”

< Luka 10 >