< ܝܘܚܢܢ 18 >

ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܘܢܦܩ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܥܒܪܐ ܕܪܓܠܬܐ ܕܩܕܪܘܢ ܐܬܪ ܕܐܝܬ ܗܘܬ ܓܢܬܐ ܐܝܟܐ ܕܥܠ ܗܘ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ 1
Baada ya Yesu kusema maneno haya, aliondoka na wanafunzi wake kuelekea bonde la Kidron, ambako kulikuwa na bustani, ambako yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.
ܝܕܥ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܠܕܘܟܬܐ ܗܝ ܡܛܠ ܕܤܓܝ ܙܒܢܐ ܟܢܫ ܗܘܐ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ 2
Sasa yule Yuda, aliyetaka kumsaliti, naye alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake.
ܗܘ ܗܟܝܠ ܝܗܘܕܐ ܕܒܪ ܐܤܦܝܪ ܘܡܢ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܕܒܪ ܕܚܫܐ ܘܐܬܐ ܠܬܡܢ ܥܡ ܢܦܛܪܐ ܘܠܡܦܝܕܐ ܘܙܝܢܐ 3
Naye Yuda, baada ya kuwa amepata kundi la maaskari na maofisa toka kwa wakuu wa makuhani, wakaja wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܬܐ ܥܠܘܗܝ ܢܦܩ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܡܢ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ 4
Naye Yesu, hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake, alijitokeza mbele na akawauliza, “Ni nani mnayemtafuta?”
ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܥܡܗܘܢ 5
Nao wakamjibu, “Yesu Mnazareth.” Yesu akawaambia, “Mimi ndiye” Naye Yuda aliyemsaliti, alikuwa amesimama pamoja na wale askari.
ܘܟܕ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܐܙܠܘ ܠܒܤܬܪܗܘܢ ܘܢܦܠܘ ܥܠ ܐܪܥܐ 6
Kwa hiyo alipowaambia, “Mimi ndiye” walirudi kinyume na kuanguka chini.
ܬܘܒ ܫܐܠ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܠܡܢ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ 7
Halafu akawauliza tena, “Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena “Yesu mnazareth.”
ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܘܐܢ ܠܝ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܫܒܘܩܘ ܠܗܠܝܢ ܐܙܠܝܢ 8
Yesu akawajibu, “Nimekwisha kuwaambia kuwa Mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa wengine waende.”
ܕܬܫܠܡ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܕܐܝܠܝܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܠܐ ܐܘܒܕܬ ܡܢܗܘܢ ܐܦܠܐ ܚܕ 9
Haya yalikuwa hivyo ili lile neno litimilike; pale aliposema; “Katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”
ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܤܦܤܪܐ ܘܫܡܛܗ ܘܡܚܝܗܝ ܠܥܒܕܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܫܩܠܗ ܐܕܢܗ ܕܝܡܝܢܐ ܫܡܗ ܕܝܢ ܕܥܒܕܐ ܡܠܟ 10
Ndipo Simon Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani mkuu. Na jina lake mtumishi yule lilikuwa Malko.
ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܤܝܡ ܤܦܤܪܐ ܒܚܠܬܗ ܟܤܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܐܒܝ ܠܐ ܐܫܬܝܘܗܝ 11
Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?”
ܗܝܕܝܢ ܐܤܦܝܪ ܘܟܠܝܪܟܐ ܘܕܚܫܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܚܕܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܘܐܤܪܘܗܝ 12
Basi lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi, walimkamata Yesu na kumfunga.
ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬ ܚܢܢ ܠܘܩܕܡ ܡܛܠ ܕܚܡܘܗܝ ܗܘܐ ܕܩܝܦܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܫܢܬܐ ܗܝ 13
Nao wakamwongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani yeye alikuwa mkwe wa Kayafa, ambaye ndiye aliyekuwa Kuhani mkuu kwa mwaka huo.
ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܩܝܦܐ ܗܘ ܕܡܠܟ ܠܝܗܘܕܝܐ ܕܦܩܚ ܕܚܕ ܓܒܪܐ ܢܡܘܬ ܚܠܦ ܥܡܐ 14
Sasa Kayafa ndiye aliyekuwa amewapa ushauri Wayahudi ya kwamba ilimpasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.
ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܘܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ ܠܗܘ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܥܠ ܥܡ ܝܫܘܥ ܠܕܪܬܐ 15
Simon Petro alimfuata Yesu, na vivyo hivyo mwanafunzi mwingine. Na yule mwanafunzi alikuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu katika behewa ya Kuhani mkuu;
ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܩܐܡ ܗܘܐ ܠܒܪ ܠܘܬ ܬܪܥܐ ܘܢܦܩ ܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܡܪ ܠܢܛܪܬ ܬܪܥܐ ܘܐܥܠܗ ܠܫܡܥܘܢ 16
lakini Petro alikuwa amesimama nje ya mlango. Basi yule mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani.
ܐܡܪܬ ܕܝܢ ܥܠܝܡܬܐ ܢܛܪܬ ܬܪܥܐ ܠܫܡܥܘܢ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢܬ ܕܗܢܐ ܓܒܪܐ ܐܡܪ ܠܗ ܠܐ 17
Basi yule kijakazi aliyekuwa akilinda mlango, alimwambia Petro, “Je wewe si mmoja wa wafuasi wa huyu mtu?” Naye akasema, “Mimi siye.”
ܘܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܥܒܕܐ ܘܕܚܫܐ ܘܤܝܡܝܢ ܗܘܘ ܢܘܪܐ ܕܢܫܚܢܘܢ ܡܛܠ ܕܩܪܝܫ ܗܘܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܫܡܥܘܢ ܥܡܗܘܢ ܘܫܚܢ 18
Na wale watumishi na wakuu walikuwa wakisimama mahali pale; wamekoka moto wa kwa maana, kulikuwa na baridi, na hivyo walikuwa wakiota moto ili kupata joto. Naye Petro alikuwa nao, akiota moto akiwa amesimama.
ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܫܐܠܗ ܠܝܫܘܥ ܥܠ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܥܠ ܝܘܠܦܢܗ 19
Kuhani mkuu alimhoji Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܠܠܬ ܥܡ ܥܡܐ ܘܒܟܠܙܒܢ ܐܠܦܬ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܒܗܝܟܠܐ ܐܝܟܐ ܕܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܬܟܢܫܝܢ ܘܡܕܡ ܒܛܘܫܝܐ ܠܐ ܡܠܠܬ 20
Yesu akamjbu, “Nimeuambia waziwazi ulimwengu; Mimi nilifundisha mara kwa mara kwenye masinagogi na hekaluni mahali ambapo wayahudi hukusanyika. Nami sikusema lolote katika siri.
ܡܢܐ ܡܫܐܠ ܐܢܬ ܠܝ ܫܐܠ ܠܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ ܡܢܐ ܡܠܠܬ ܥܡܗܘܢ ܗܐ ܗܢܘܢ ܝܕܥܝܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܡܪܬ 21
Kwa nini mliniuliza? Waulizeni walionisikiliza juu ya kile nilichosema. Hawa watu wanajua mambo yale niliyosema.
ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܚܕ ܡܢ ܕܚܫܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܡܚܝܗܝ ܥܠ ܦܟܗ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܟܢܐ ܝܗܒ ܐܢܬ ܦܬܓܡܐ ܠܪܒ ܟܗܢܐ 22
Yesu alipokwisha sema hivyo, mmoja wa wakuu aliyekuwa amesimama akampiga Yesu kwa mkono wake na kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo inavyokupasa kumjibu kuhani mkuu?”
ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܒܝܫܐܝܬ ܡܠܠܬ ܐܤܗܕ ܥܠ ܒܝܫܬܐ ܘܐܢ ܕܝܢ ܫܦܝܪ ܠܡܢܐ ܡܚܝܬܢܝ 23
Naye Yesu akamjibu, “Kama nimesema jambo lolote baya basi uwe shahidi kwa ajili ya uovu, na kama nimemjibu vyema kwa nini kunipiga?
ܚܢܢ ܕܝܢ ܫܕܪ ܠܝܫܘܥ ܟܕ ܐܤܝܪ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܪܒ ܟܗܢܐ 24
Ndipo Anasi alipompeleka Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akiwa amefungwa.
ܘܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܘܫܚܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢܬ ܘܗܘ ܟܦܪ ܘܐܡܪ ܠܐ ܗܘܝܬ 25
Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha joto mwenyewe. Halafu wale watu wakamwambia. “Je, wewe pia si mmoja wa wanaafunzi wake?” Akakana akisema “Mimi siye.”
ܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܐܚܝܢܗ ܕܗܘ ܕܦܤܩ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܐܕܢܗ ܠܐ ܐܢܐ ܚܙܝܬܟ ܥܡܗ ܒܓܢܬܐ 26
Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ambaye alikuwa ndugu wa yule mwanaume ambaye Petro alimkata sikio, alisema, “Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?”
ܘܬܘܒ ܟܦܪ ܫܡܥܘܢ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ 27
Petro akakana tena, na mara Jogoo akawika.
ܐܝܬܝܘܗܝ ܕܝܢ ܠܝܫܘܥ ܡܢ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܘܗܢܘܢ ܠܐ ܥܠܘ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܕܠܐ ܢܬܛܘܫܘܢ ܥܕ ܐܟܠܝܢ ܦܨܚܐ 28
Kisha wakamchukua Yesu toka kwa Kayafa mpaka kwenye Praitorio. Ilikwa asubuhi na mapema. Wao wenyewe hawakuiingia ile Praitorio ili wasije wakanajisika na kuila pasaka.
ܢܦܩ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܒܪ ܠܘܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܐܟܠ ܩܪܨܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ 29
Kwa hiyo Pilato akawaendea akisema. “Ni shitaka gani linalomhusu huyu mtu?”
ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܠܘ ܠܐ ܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܗܘܐ ܐܦܠܐ ܠܟ ܡܫܠܡܝܢ ܗܘܝܢ ܠܗ 30
Wakamjibu na kumwambia, “Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.”
ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܕܘܒܪܘܗܝ ܐܢܬܘܢ ܘܕܘܢܘܗܝ ܐܝܟ ܢܡܘܤܟܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܢ ܠܡܩܛܠ ܠܐܢܫ 31
Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kulingana na sheria yenu.” Nao Wayahudi wakamwambia, “Sheria haituruhusu sisi kumwua mtu yeyote.”
ܕܬܫܠܡ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܝܫܘܥ ܟܕ ܡܘܕܥ ܒܐܝܢܐ ܡܘܬܐ ܥܬܝܕ ܕܢܡܘܬ 32
Walisema haya ili neno la Yesu litimilike, neno ambalo alikuwa amekwisha sema juu ya aina ya kifo chake.
ܥܠ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܩܪܐ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܗܘܢ ܕܝܗܘܕܝܐ 33
Basi Pilato akaingia tena Praitorio akumwita Yesu; akamwambia, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?”
ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢ ܢܦܫܟ ܐܡܪܬ ܗܕܐ ܐܘ ܐܚܪܢܐ ܐܡܪܘ ܠܟ ܥܠܝ 34
Yesu akamjibu, “Je, wewe waniuliza swali hili kwa Sababu wataka kujua au kwa sababu wengine wamekutuma ili uniulize mimi?”
ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܠܡܐ ܐܢܐ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢܐ ܒܢܝ ܥܡܟ ܗܘ ܘܪܒܝ ܟܗܢܐ ܐܫܠܡܘܟ ܠܝ ܡܢܐ ܥܒܕܬ 35
Naye Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, au sivyo?” Taifa lako na kuhani mkuu ndio waliokuleta kwangu; wewe umefanya nini?
ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܠܟܘܬܝ ܕܝܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܗܢܐ ܥܠܡܐ ܐܠܘ ܡܢ ܥܠܡܐ ܗܘܬ ܗܢܐ ܡܠܟܘܬܝ ܡܬܟܬܫܝܢ ܗܘܘ ܡܫܡܫܢܝ ܕܠܐ ܐܫܬܠܡ ܠܝܗܘܕܝܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܠܟܘܬܝ ܕܝܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܡܟܐ 36
Yesu akajibu; “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa na sehemu katika ulimwengu huu watumwa wangu wangenipigania ili nisitolewe kwa wayahudi. Kwa kweli ufalme wangu hautoki hapa” Basi
ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܡܕܝܢ ܡܠܟܐ ܐܢܬ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬ ܐܡܪܬ ܕܡܠܟܐ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܗܕܐ ܝܠܝܕ ܐܢܐ ܘܠܗܕܐ ܐܬܝܬ ܠܥܠܡܐ ܕܐܤܗܕ ܥܠ ܫܪܪܐ ܟܠ ܡܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܫܪܪܐ ܫܡܥ ܩܠܝ 37
Pilato akamwambia, “Je, wewe basi u mfalme?” Yesu akajibu, “wewe ndivyo unanvyosema kuwa mimi ni mfalme, Kwa sababu hii mimi nilizaliwa na kwa sababu hii mimi nimekuja ulimwenguni ili niwe shahidi wa ile kweli. Yeyote aliye wa hiyo kweli huisikiliza sauti yangu.
ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܡܢܘ ܫܪܪܐ ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܕܐ ܢܦܩ ܠܗ ܬܘܒ ܠܘܬ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܐܦܠܐ ܚܕܐ ܥܠܬܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܒܗ 38
Pilato akamwambia, “Kweli ni nini?” Naye alipokwisha sema haya akaenda kwa Wayahudi na kuwaambia “Siona katika lolote mtu huyu.
ܥܝܕܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܕܚܕ ܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܒܦܨܚܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܠܗܢܐ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ 39
Ninyi mna utamaduni unaonifanya nimfunfungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je mnataka nimfungulie mfalme wa Wayahudi.”
ܘܩܥܘ ܟܠܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐ ܠܗܢܐ ܐܠܐ ܠܒܪ ܐܒܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܗܢܐ ܒܪ ܐܒܐ ܓܝܤܐ 40
Kisha walipiga kelele wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba.” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.

< ܝܘܚܢܢ 18 >