< اَلْمَزَامِيرُ 121 >

تَرْنِيمَةُ ٱلْمَصَاعِدِ أَرْفَعُ عَيْنَيَّ إِلَى ٱلْجِبَالِ، مِنْ حَيْثُ يَأْتِي عَوْنِي! ١ 1
Nitayainua macho yangu nitazame milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
مَعُونَتِي مِنْ عِنْدِ ٱلرَّبِّ، صَانِعِ ٱلسَّمَاوَاتِ وَٱلْأَرْضِ. ٢ 2
Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
لَا يَدَعُ رِجْلَكَ تَزِلُّ. لَا يَنْعَسُ حَافِظُكَ. ٣ 3
Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
إِنَّهُ لَا يَنْعَسُ وَلَا يَنَامُ حَافِظُ إِسْرَائِيلَ. ٤ 4
Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.
ٱلرَّبُّ حَافِظُكَ. ٱلرَّبُّ ظِلٌّ لَكَ عَنْ يَدِكَ ٱلْيُمْنَى. ٥ 5
Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
لَا تَضْرِبُكَ ٱلشَّمْسُ فِي ٱلنَّهَارِ، وَلَا ٱلْقَمَرُ فِي ٱللَّيْلِ. ٦ 6
Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
ٱلرَّبُّ يَحْفَظُكَ مِنْ كُلِّ شَرٍّ. يَحْفَظُ نَفْسَكَ. ٧ 7
Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
ٱلرَّبُّ يَحْفَظُ خُرُوجَكَ وَدُخُولَكَ مِنَ ٱلْآنَ وَإِلَى ٱلدَّهْرِ. ٨ 8
Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.

< اَلْمَزَامِيرُ 121 >