< Uruyan Yuhana 3 >

1 “Udu kiti nnan kadura Kutelle kutyi nliran in Sardisu: 'Tigbulang nlenge na amere min ti Ruhu kuzor nin niyini kuzor nyiru ile imon na usu udin nfo figiri uu fe dinin nlai, bara nani fe unan kulari.
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika: “Haya ndiyo maneno ya aliye na zile Roho sabaza Mungu na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, kwamba una sifa ya kuwa hai, lakini umekufa.
2 Fita ukpin agang kiti nile imon na ilawa, idaduru ukuu, bara na nyene katwa fe kulun nanya nyenju kutelle nighe ba.
Amka! Nawe uyaimarishe yale yaliyosalia na yaliyo karibu kufa, kwa maana sikuona kwamba kazi zako zimekamilika machoni pa Mungu wangu.
3 Bara nan lizino, ile imon na usere uminin lanza. Dofino inin, udiu kutyin. Meng ba dak nafo ukiri na uba yinnu kubi ko na nba dak kitife ba.
Kumbuka basi yale uliyoyapokea na kuyasikia, yatii na ukatubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwizi wala hutajua saa nitakayokuja kwako.
4 Ama tisa namong duk cinglin nan nya Sardisu alenge na ita imon mine indinong ba. Inung ba cinu nan mi, nin kuyok nimon iboo, bara idi dert.
“Lakini bado una watu wachache katika Sardi ambao hawajayachafua mavazi yao. Wao wataenda pamoja nami, wakiwa wamevaa mavazi meupe, kwa maana wanastahili.
5 Ulenge na ase unasara iba shonghe kulutuk kuboo, tutun na mba wesu lisa mye nanya kaffa nlai ba, mba bellu lisa mye nbun ncif nighe nin nbun nanan kadura mye.
Yeye ashindaye atavikwa vazi jeupe kama wao. Sitafuta jina lake kutoka kitabu cha uzima, bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele za malaika wake.
6 Andi udinin natuf, lanza ile imon na uruhu din bellu nilarin nliran.”
Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.
7 Udu kiti nnan kadura in Filidelfiya, Tigbulang nlenge na adi lau nin kidegen, ame min imon npunu kitin Dauda, asa apuno, na umon wasa atursu ba, asa a tursu na umonn wasa apuno ba.
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, yeye aliye na ufunguo wa Daudi. Anachokifungua hakuna awezaye kukifunga, wala anachokifunga hakuna awezaye kukifungua.
8 Meng yiru imon ile na usu, yene, ubunfe kibulun duku ka na upuno, na umon wasa atursu ba, nyiru likara fe di baat, nin nani udin dortu tigbulang nighe, tutun na uta amusu lisa nighe ba.
Nayajua matendo yako. Tazama, nimeweka mbele yako mlango uliofunguliwa, wala hakuna awezaye kuufunga. Ninajua kwamba una nguvu kidogo lakini umelishika neno langu wala hukulikana Jina langu.
9 Su ucaa! Alenge na idi anan kutyi nlira shetan, alenge na idin su inug a Yahudawari, ana nanere ba-idin su kinuwari nani, nba ti nani ida tumun nbun nabunu fe, iba da yinnu au meng dinin su fe.
Nitawafanya wale wa sinagogi la Shetani, wale ambao husema kuwa ni Wayahudi lakini sio, bali ni waongo, nitawafanya waje wapige magoti miguuni pako, na wakiri ya kwamba nimekupenda.
10 Tunda na una ceo uduka nighe, utere kibinai nin hankuri, mba minfi kubi kongo na iba dumunfi, na ku ba dak vat inye, iba dumunu alenge na isosin nan nyya inye.
Kwa kuwa umeshika amri yangu ya kuvumilia katika saburi, nitakulinda katika saa ya kujaribiwa inayokuja ulimwenguni pote, ili kuwajaribu wote wakaao duniani.
11 Meng din cinu deddei. Minno ile imon na udumun gangang bara na umong wa bullu litapa fe ba.
“Ninakuja upesi. Shika sana ulicho nacho, ili mtu asije akaichukua taji yako.
12 Meng ba ti ulenge na ase unasara aso litino nanya kilari nliran Kutelle, na aba nuzu nanye ba, nba nyertin ghe lisa Kutelle nighe, lisa kipin Kutelle (Urushalima upese ule na utolo unuzu kitene kani kiti Kutelle), nin lisa lipese nighe.
Yeye ashindaye nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo kamwe. Nitaandika juu yake Jina la Mungu wangu na jina la mji mkubwa wa Mungu wangu, Yerusalemu mpya, ambao unashuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu. Nami pia nitaandika juu yake Jina langu jipya.
13 Ame ulenge na adumun natuf, na alanza ile unon na Uruhu din belle niliran nlirag.'
Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.
14 “Nyerte Udu kiti nanan kadura kilari nliran nanya in Lawudikiya: 'Tigbulang uso nani, iyizi nba in kidegen udya nanya makeke Kutelle.
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye Amen, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa uumbaji wote wa Mungu.
15 Meng yiru ile imon na udin su, nafe di cancam ba, ana udin npiu ba, ndi nyenju nafo uwadi cancam sa npiu!
Nayajua matendo yako, ya kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungelikuwa moja au lingine.
16 Nani, bara na udi bidibidi-na udi cancam ba ana udin piu ba-Meng ba tuffunfi nanya nnuu nighe.
Hivyo kwa kuwa u vuguvugu, si baridi wala moto, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
17 Bara fe nworo, “Meng dimun nimon nacara, na ndira imomon ba.” Anafe yiru fere di ba fere di hem, unan kunekune, ukimon, uduu, nin lenge na adi fisere.
Kwa maana unasema: ‘Mimi ni tajiri, nimejilimbikizia mali, wala sihitaji kitu chochote.’ Lakini hutambui ya kwamba wewe ni mnyonge, wa kuhurumiwa, maskini, kipofu, tena uliye uchi.
18 Lanza ushawara nighe: Sere azurfa kiti nighe, alle na ina dumun anin kiti nlah, bara unan so unan nimon nacara, nin njinjin, nin kulutuk kulau, ishon bara iwa yenefi fisere ulanza ncin, a ukan uti niyizife unan yene kiti.
Nakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, ili upate kuwa tajiri, na mavazi meupe ili uyavae upate kuficha aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka macho yako ili upate kuona.
19 Vat nlenge na ndinin su mye, asa ntaghe libau ndursuzoghe inda na aba su lisosin, bara nani, ta dedei udiu kutyin.
“Wale niwapendao, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.
20 Yene, Meng yisin kibulun ndi fowe, asa umon nlanza liwui nighe apuno kibulughe, Meng ba dak nan nya kilari mye, nba lii umonli nighe nighe, amye nin nmi.
Tazama! Nasimama mlangoni nabisha. Kama mtu yeyote akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia ndani na kula pamoja naye, naye pamoja nami.
21 Ulenge na ase unasara, Meng ba yinin ghe aso nin mye, kuteet tigo nighe, nafo na Meng nasu unasara nmini sosin nin ncif nighe kuteet tigoo mye.
“Yeye ashindaye nitampa haki ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na nikaketi pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha enzi.
22 Andi udinin natuf, lanza ile imon na uruhu din bellu nilari nlira.”
Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.”

< Uruyan Yuhana 3 >