< Uruyan Yuhana 19 >

1 Vat ni leli imone nlanza liwui lidya fo anit gbardang kitene kani i woro, “njaah, utucchu uzazinu nin likara un Kutelle bit.
Baada ya mambo haya nilisikia sauti kama ya mlio mkubwa wa kundi kubwa la watu mbinguni ikisema, “Haleluya. Wokovu, utukufu, na nguvu ni vya Mungu wetu.
2 Usharaa me kidegen nin dert, ame in su u usharaa nkilaki udiya, ulenge na ananza uyi nin tikilaki me nnin dinon, ame na yiru utunu kitenen mmii na chin me, mooh na amere na gutun minin.”
Hukumu zake ni kweli na za haki, kwa kuwa amemhukumu kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uzinzi wake. Amefanya kisasi kwa damu ya watumishi wake, ambayo aliimwaga yeye mwenyewe.”
3 Kubi kun be i liri na, “Njaah nchingne nuzu kitime nin ligang saligang.” (aiōn g165)
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
4 Akune akut aba nin na nas nin nimon inas ichine inlai ino-o kutin izazina Kutelle ulenge nna awa sosin kutet me kun tigo-oo ibele uso nani njaah.”
Wale wazee ishirini na wanne na viumbe hai wanne wakasujudu na kumwabudu Mungu akaaye kwenye kiti cha enzi. Walikuwa wakisema, “Amina. Haleluya!”
5 Kube liwui nuzu kiti lisosiin me, a woro, “Zazina Kutelle bite, vat anun achin me, anun alenge na idin lanzu fieu me, vat adiya na nanlikare.”
Ndipo sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Msifuni Mungu wetu, enyi watumishi wake wote, ninyi mnaomcha yeye, wote wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
6 Kube nlanza imomoon na a gurno fo liwui nanit gbardan, fo ku chulun men gbardang fo liwui ntutuuzu, iworo njaah kiti ngo-o Kutelle bit, unan minu vat, adi vat.
Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi, ikisema, “Haleluya! Bwana ni Mungu wetu, mtawala juu ya wote, hutawala.
7 Na tisu avu liburi libo-o ti zazinghe bara kubi nbuki niluma n Yisa ndaah, unan niluma me sosin nchaah me.”
Na tushangilie na kufurahi na kumpa utukufu kwa sababu harusi na sherehe ya Mwana Kondoo imekuja, na bibi harusi yuko tayari.”
8 Ina ngne kubin shonu nimoon ikanang nin linin nsalin dinong (ulinin uchine unnare din dursu anit alua me).
Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ya waumini).
9 Unan kadure wurei, “Yertine ilele: Anan mmariari di alenge na ina yichila ni udak mbuki niluma ngono Kutelle.” Akura awurei, “Ilele innare tigbulan kidegen Kutelle.”
Malaika akasema nami, “Yaandike haya: Wamebarikiwa walioalikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mwana kondoo.” Vilevile akaniambia, “Haya ni maneno ya kweli ya Mungu.”
10 Nnonko kidowo ninghe nbun me nzazingne, anin belli aworo, “Na uwansu nani ba! Men wang kuchi -nari ligowe nin fi nan nuana fe alenge na ikifo ligbulan nshaida Yissa, zazina Kutelle, Ushaidna Yissa unnare Uruhu nbelin nbun.”
Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
11 In nin yene kitene kani puun, nan nyene, nyene kabarik kabo-o ulenge na awa di kitene kanin idin yichu ngne unan yinnu sa uyenu nin kidegen, Adin su usharaa dert anin nutuzuno kidegen.
Kisha niliona mbingu zimefunguka, na tazama kulikuwa na farasi mweupe! Na yule aliyekuwa amempanda anaitwa Mwaminifu na wa Kweli. Huhukumu kwa haki na kufanya vita.
12 Iyizi me din kasu fo ula, litime wa di nin nitik tigo, Awadi nin lisa na iwa yertin kidowe me na umon yiru ba se ame.
Macho yake ni kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake ana taji nyingi. Ana jina lililoandikwa juu yake asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
13 Awa shon kultuk me na iwa shintin nyan mmii, lisa me idin yichu ligbulan Kutelle.
Amevaa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aliitwa Neno la Mungu.
14 Asoja kitene ka ne wa din durtu ngne nin nibark ni bo-o, i wa shon tilinen tichine, abo-o pau ayita lau.
Majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, walivalishwa kitani nzuri, nyeupe na safi.
15 Nnuzun nnuu me liltang nli wa nuzu likeze nmin-nmin, aba min nani nin chara likara aduluani nin nanu nayi Kutelle, Amin nani nin tigo me vat.
Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa fimbo ya chuma. Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu, hutawala juu ya wote.
16 Ayertine kultuk me nin kuta me lisa yita ku, UGO NA GO NIN CHIKILARI NA CHIKILARI.
Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.
17 IN yene gono kadura yisin nwui, ayicila anyin na idii kitene kane nin liwui lidya, “Dan, ida zuro ligowe bara ubuki Kutelle.
Niliona malaika amesimama katika jua. Aliwaita kwa sauti kuu ndege wote warukao juu, “Njoni, kusanyikeni pamoja kwenye chakula kikuu cha Mungu.
18 Dan ida li inawa na go, inawa ni didya likum, inawa na nan likara, inawa ni barke na nan ngnaji ni nin, nan ni nawa na nit vat, nan nachin nin nan sali linin, adi dya nya mine na nan likare.”
Njoni mle nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya watu wakubwa, nyama ya farasi na wapanda farasi, na nyama ya watu wote, walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
19 In yine kumunche nan na go nye-e nan na soja mine, iba kele kidowo udu likum nin lenge na ngna kabarke nin na soja me.
Nilimwona mnyama na wafalme wa nchi pamoja na majeshi yao. Walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kufanya vita na mmoja aliyepanda farasi na jeshi lake.
20 Kumuche na iwaa kifo ngne ligowe nin na nan kadura kinuu me alenge na isu liduu imus lin me, nin leli kulappe nbun me. Nin kuni kulappe arusuzo ale na iwa seru ulamba me inin nchil me. Awa ban mine iturunnan nya nlan ukang ujujuzu unanzan. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Ngisin mine iwa moluani nin litang nla ule na uwa nuzu nnuu nle na awa di kitene kabarke, vat na yin le abi mine.
Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi. Ndege wote walikula mizoga ya miili yao.

< Uruyan Yuhana 19 >