< Yuhana 16 >

1 Nbelin minu ile imone bara iwa ti minu itiro.
Nimewaambia mambo haya ili msiweze kukwazwa.
2 ima nutuzun minu nanya nilari nlira; kube din cinu kongo na alenge na ima molusu minu ma cissu idi su Kutelle katwa kacine.
Watawatoa nje ya masinagogi; hakika saa inakuja ambayo kila atakayewaua atafikiri kuwa anafanya kazi njema kwa ajili ya Mungu.
3 Ima su ileli imone bara na isa yinno Ucife sa menku ba.
Watawatendea mambo haya kwa sababu hawamfahamu Baba wala hawanifahamu mimi.
4 Ndin belu minu ile imone bara asa kube nda na ima se, ima lizinu inin nin woru iyiziari nna belin minu. Na nna belinminu ubellenghe nin cizunue ba bara nwa di ligowe na ghinu.
Nimewaambia mambo haya ili kwamba wakati ukifika wa haya kutokea, mnaweza kuyakumbuka na jinsi nilivyowaambia muweze wao. Sikuwaambia kuhusu mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
5 Nene nba du kiti nlenge na ana tuyi; vat nani, na umong mine ntirini ba. 'Udin cinu udu weri'?
Japokuwa, sasa naenda kwa yule aliyenituma; lakini hakuna kati yenu anayeniuliza, “Unaenda wapi?”
6 Bara na nna bellin minu ile imone, liburi lisirne nmal kulu nibinayi mine.
Kwa sababu nimesema maneno haya kwenu, huzuni imejaa mioyoni mwenu.
7 Vat nani, nbeling minu kidegene; uma caunu minu meng nya; bara asa na nya ba, na unan bunue ma dak kitimine ba; ama nwan nya nma tughe kiti mine.
Hata hivyo, nawaambia ukweli: ni vyema kwenu nikiondoka; kwa maana nisipoondoka, mfariji hatakuja kwen; lakini nikienda ntamtuma kwenu.
8 Asa ada, unan bunue ma kpashulu uye nbeleng kulapi, nbeleng katwa kacine, nin beleng nshara.
Akija, huyo mfariji ataubitisha ulimwengu kuhusiana na dhambi, kuhusiana na haki na kuhusiana na hukumu.
9 Nbeleng kulapi bara na ina yinnin nimi ba,
Kuhusiana na dhambi, kwa sababu hawakuniamini mimi,
10 nbeleng katwa kacine. Ndin cinu ucin du kitin Cif, na ima kuru iyene tutung ba.
kuhusiana na haki, kwa sababu naenda kwa baba, na hamtaniona tena;
11 a ubeleng nshara, ina malu usu ugo nyii ulele ushara.
na kuhusiana na hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amehukumiwa.
12 Ndin nin nimon gbardang na nma belin minu, na ima yinnu inin nene ba.
Ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamtayaelewa sasa.
13 Vat nani, asa ame Uruhu kidegene nda, ama dofunu ninghinu nanya kidegene vat; bara na ama su uliru unlitime ba, ama vat nimon ile na alanza, nanere ama belu, amaa nin pun minu imon ile na idin cinu.
Lakini, yeye, Roho wa kweli, akija, atawaongoza katika kweli yote; kwa kuwa hataongea kwa ajili yake mwenyewe; lakini yoyote atakayoyasikia, atayasema mambo hayo; na atayadhihirisha kwenu mambo yatakayokuja.
14 Ama tii gongong, ama yiru imon ning a pun minu inin.
Yeye atanitukuza mimi, kwa sababu atayachukua mambo yangu na atayatangaza kwenu.
15 Vat ligang nimon ile na Uci dumun. inaghari, unnare nbelle, Uruhu ma yiru imon ning ada pun minu inin.
Vitu vyote alivyonavyo Baba ni vyangu; kwa hiyo, nimesema kwamba Roho atachukua mambo yangu na atayadhihirisha kwenu.
16 Nin kubiri bat, ima kuru iyene ba; nin kubiri bat tutung, ima kuru iyenei.”
Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi tena, mtaniona.”
17 Among nono katwa me woro nadon mine, “Uyapin uliruari ulele na aworo nari, 'nin kubiri bat, na ima kuru iyenei ba; aminin woro tutung nin kubiri bat tutung, ima yenei,' tutung, 'Bara nma du kitin Ncifa?'
Baadhi ya wanafunzi wake wakaambizana, “Ni nini anachotuambia, “muda mfupi, na hamtaniona tena,' na, kisha, mda mfupi mtaniona,' na, 'kwa sababu naenda kwa Baba?”
18 Inin woro, “Iyaghari ilele a belle, 'Kubi cingiling'? Na tiyino iyaghari adin belu ba.”
Kwa hiyo wakasema, “Ni kitu gani anachosema, 'Bado mda mfupi'? Hatujui asemavyo.”
19 Yesu yene idin shotu itiringhe, ame woro nani, “Idin tiru atimine ubelen nileli imone, nworu 'Nin kubi bat, na ima kuru iyenei ba; kimal kubi bat tutung, ima yenei'?
Yesu aliona kuwa walitamani kumuuliza, naye akawaambia, “Mnajiuliza wenyewe kuhusu hili, nilivyosema, 'Bado muda mfupi, hamtaniona tena; na baada ya muda mfupi mtaniona'?
20 Kidegenere, ndin belu minu, ima su kuculu nin lidurun, ama uye masu liburi libo, anung masu liburi lisirne, ama liburi lisirne mine ma kpinlu ayi aboo.
Amin, amin, nawaambia, mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utashangilia, mtakuwa na huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
21 Uwani asa asu liburi lisirne andi adi nin konu liburi kumat bara kubin nlolu me nda; ama asa amara gone, asa a lizino uniu me ba bara ayi aboo nworu imara gono nanya in yii.
Mwanamke anakuwa na huzuni wakati anapokuwa na uchungu kwa sababu wakati wa kujifungua umefika; lakini anapojifungua mtoto, hakumbuki tena maumivu kwa sababu ya furaha yake kwamba mtoto amezaliwa duniani.
22 Nanere anung wang, idi nin naburi asirne nene, ama meng ma kuru inyene minu tutung, ima ti ayi abo.
Ninyi pia mna huzuni sasa, lakini nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi na hakuna atakayeweza kuiondoa furaha yenu.
23 Liri lole, ima sui umon utirinu ba, kidegenere, Ndin belu minu, asa itirino imonmong kitin Cif, ama ni minu inin nanya lissa ning.
Siku hiyo hamtaniuliza maswali. Amin, Amin, nawaambia, Mkiomba lolote kwa Baba, atawapa kwa jina langu.
24 Udu da duru nene na isa tirrino imonimon nya lissa ning ba; tirinon, tutung ima seru, liburi libo mine manin kulu.
Mpaka sasa hamjaomba lolote kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapokea ili kwamba furaha yenu ikamilike.
25 Nsu minu ule ulire nin tinan tigoldo, ama kubi din cinu na nma kuru nsu minu uliru nin tinan tigoldo ba, ama nma na su minu kanang nbeleng Ncife.
Nimezungumza na ninyi kwa lugha isiyoeleweka, lakini saa inakuja ambapo sitazungumza kwa lugha isiyoeleweka lakini badala yake nitawaambia waziwazi kuhusu Baba.
26 Nloli lire, ima tirini nya lissa ning, a na nworo minu nba ti nlira kiti Ncif bara anung ba;
Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitaomba kwa Baba kwa ajili yenu;
27 ame Ucife di nin sumine, bara na anung di nin su nin, inani nyinna nin mi bara na nna dak unuzu kiti Ncife.
Kwa kuwa Baba mwenyewe anawapenda kwa sababu mmenipenda mimi na kwa sababu mmeniamini kuwa nimetoka kwa Baba.
28 Nna dak unuzu kiti Ncif, nmini na dak nanya yii ulele tutung, Nma sunu uyei nma kpilu ndo kiti Ncife.”
Nilitoka kwa Baba na nimekuja ulimwenguni; tena, naondoka ulimwenguni na ninaenda kwa Baba”.
29 Nono katwa me woro, “Yene nene udin liru kanang; na udin liru nin tinan tigoldo ba.
Wanafunzi wake wakamwambia, “Unaona, sasa unaongea wazi wazi na hautumii mafumbo.
30 Nene ti yinno uyiru imon vat, ana udin pizuru umong tirifi umong uliru ba. Bara nani ti yinna una dak unuzu kiti Kutelle.
Sasa, tunajua kwamba unajua mambo yote, na hauhitaji mtu yoyote akuulize maswali. Kwa sababu hii tunaamini kuwa unatoka kwa Mungu.
31 Yesu kawa nani aworo, “Nene iyinna?”
Yesu akawajibu, “Sasa mmeamini?”
32 Yenen kubi din cinu, nanere, nene kumal dak, na ima malu kiti, kogha mine udu kiti me, ima nin sunui Ussanii. Vat nani na nma yitu ussanin, bara Ucif ma yittu nin mi.
Tazama, saa inakuja, ndiyo na hakika imefika, ambapo mtatawanyika kila mmoja na kwa wa kwao mtaniacha mwenyewe. Lakini siko peke yangu kwa sababu Baba yupo nami.
33 Nsu minu ulenge ulire bara nme inan se lissosin lisheu. Nanya nyie idi nin tinanayi, ama sen likara nibinayi, Meng na li likara nyie.”
Nawaambia mambo haya ili kwamba ndani yangu muwe na amani. Duniani mna matatizo, lakini jipeni moyo, nimeushinda ulimwengu.

< Yuhana 16 >