< Yuhana 14 >

1 Na iwa yinin ayi mine nana ba. Yinnan nin Kutelle; yinna nin mi wang.
Yesu aliwaambia, “Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia.
2 Ngan Cifining niti lissosin duku gbardang; ndafo na nani ba, nwa bellin minu, nma du ndi kyele minu kiti.
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.
3 Asa ndo ndi kyele minu kiti, nma kuru nsa nda yiru minu nin litining bara kiti kanga na meng duku, anung wang nan so ku.
Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.
4 Kiti ka na ndin cinu udue, iyiru libauwe.”
Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”
5 Tuma woro Yesu ku, “Cikilari, nati yiru kikangga na udin cinu udue ba, iyizari tima yyinnu libauwe?”
Thoma akamwuliza, “Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?”
6 Yesu woroghe, “Menghari libauwe, kidegene nin lai; na umong wasa ada kitin Cifeba, se adofino kiti ning.
Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
7 Andi iyinni, ima yinnu Ucif ninghe wang; ucizunu nene udu ubun, iyininghe, iyeneghe tutung.”
Ikiwa mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.”
8 Filibus woro Yesu ku, “Cikilari durso nari Ucife, ulele ma batinu nari.”
Filipo akamwambia, “Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka.”
9 Yesu woroghe, “Ndandauna kiti mine kan nani, umini du sa uyinniya Filibus? Vat nlenge na ayenei, ayene ucife; iyizari uma woru, durso nari Ucife?
Yesu akamwambia, “Filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: Tuonyeshe Baba?
10 Na uynna nworu ndi nanya Ncife, a Ucif nanya nighe ba? Ulire na ndin su na unliti nighari ba; nani, Ucifere na adi nanya nighere dinsu katwa me.
Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya kazi yake.
11 Yinna nin mi, nworu ndi nanya Ncife, a Ucife nanya ning; andi na nani ba, yinna ni mi bara nitwa nighe.
Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, aminini kwa sababu ya mambo ninayofanya.
12 Kidegenere, ndin belu minu, ulenge na ayinna nin mi, nitwawe na ndin su, ame ma su ni ning wang, ame masu ni didya bara na meng din cinu ucindu kitin Cife.
Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda kwa Baba.
13 Vat nimon ile na itirino nanya lissaning, Meng masu ining bara Ucife nan se ngongong nanya Nsaune.
Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
14 Asa utirino imonmong nanya lissaning, mma su.
Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.
15 Andi udi nin su ning uma dortu uduka ning.
“Mkinipenda mtazishika amri zangu.
16 Meng masu Ucife kucukusu, ame ma nimu umong unan bunu bara anan so nan ghinu udu sa ligang. (aiōn g165)
Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. (aiōn g165)
17 Uruhu kidege. Na uyii wasa usereghe ba bara na udin yenjughe ba ana uyirughe ba. Anung, iyirughe, bara a sosin nanghinu tutun ama yitu nanya mine.
Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini ninyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu.
18 Na nma sun minu usanminu ba; nma kpillu kiti mine.
“Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena kwenu.
19 Nin kubiri bat, uyee ba kuru uyene ba, ama anung ma yenjui. Meng ma yittu nin lai, anung ma ti ulai.
Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.
20 Lilone ima yinnu nworu ndi nanya Ncifning, anung yitta nanya nighe, ameng yitta nanya mine.
Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu.
21 Ulenge na adi nin duka nighe amini din dortu unin, amere ule na adi nin sunighe; ame ulenge na adi nin sunig, Ucif ning mati usume, Meng mati usu me ndurso liti ning kiti me.”
Azipokeaye amri zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.”
22 Yahuda (na Iskaroti ba) woro Yesu ku, “Cikilari, iyaghari mati udurso litife kiti bit ana kitin yii ba?”
Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, “Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?”
23 Yesu kawa aworoghe, “Andi umong di nin suu nighe ama dortu uliru nighe. Ucif nighe ma yitu nin suu me, arik tina dak kitime ti da so ligowe nanghe.
Yesu akamjibu, “Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa naye.
24 Ulenge na adi nin suu nighe ba, na adin dortu uliru nighe ba. Ulire na ilanza na unaghari ba un Cifere na anan tuyi.
Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.
25 Ndin bellu minu ule ulire, a ndutu nanginu.
“Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi
26 Vat nani, unan bune, Uruhu ulauwe, ulenge na ucife matuu nin lissa nighe, ma dursuzu minu imon vat, imon ile na nna belu minu.
lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.
27 Lissosin lishau nsun minu mun, Nna minu lissosin lisheu ning. Na ndin nizu nafo na uyii din nizu ba. Na iwa yinin ayi mine nana ba, a na iwa yinni ilanza fiu ba.
“Nawaachieni amani; nawapeni amani yangu. Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi, wala msifadhaike.
28 Ina lanza, nna bellin minu, 'Nma su ucin, nma kpilu kiti mine tutung.' Andi idi nin sunighe, iba su liburi libo bara ndin cinu ucin du kitin Ncif. Bara Ucife karin akatini.
Mlikwisha sikia nikiwaambieni: Ninakwenda zangu, kisha nitarudi tena kwenu. Kama mngalinipenda mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko mimi.
29 Nene nna bellin minu a idutu sa uti, asa imone nin ta ima yinnu.
Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini.
30 Na nma su uliru nanghinu gbardang ba, bara ugo nyii ulele din cinu. Na adi nin likara kitene ning ba,
Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
31 Uyii nan yinno Meng di nin suu Ncife. Ndin su imon ile na Ucife asa atayi nsu, nafo na ana nei uduke. Fitan, dan ti sun kiti kane.”
lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, tutoke hapa!”

< Yuhana 14 >