< Yuhana 14 >

1 Na iwa yinin ayi mine nana ba. Yinnan nin Kutelle; yinna nin mi wang.
“Usiruhusu moyo wako kuwa katika mahangaiko. Unamwamini Mungu niamini pia na mimi.
2 Ngan Cifining niti lissosin duku gbardang; ndafo na nani ba, nwa bellin minu, nma du ndi kyele minu kiti.
Katika nyumba ya Baba yangu kuna makazi mengi ya kukaa; kama isingekuwa hivyo, ningekuwa nimekuambia, kwa vile ninakwenda kukuandalia mahali kwa ajili yako.
3 Asa ndo ndi kyele minu kiti, nma kuru nsa nda yiru minu nin litining bara kiti kanga na meng duku, anung wang nan so ku.
Kama nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena kuwakaribisha kwangu, ili mahali nilipo pia nanyi muwepo.
4 Kiti ka na ndin cinu udue, iyiru libauwe.”
Mnajua njia mahali ninakoenda.”
5 Tuma woro Yesu ku, “Cikilari, nati yiru kikangga na udin cinu udue ba, iyizari tima yyinnu libauwe?”
Tomaso alimwambia Yesu, “Bwana, hatujui mahali unakoenda; Je! Tunawezaje kuijua njia?
6 Yesu woroghe, “Menghari libauwe, kidegene nin lai; na umong wasa ada kitin Cifeba, se adofino kiti ning.
Yesu alimwambia, “Mimi ndiye njia, kweli, na uzima; hakuna awezaye kuja kwa Baba isipokuwa kupitia kwangu.
7 Andi iyinni, ima yinnu Ucif ninghe wang; ucizunu nene udu ubun, iyininghe, iyeneghe tutung.”
Kama mngeli nijua mimi, mngalikuwa mnamjua na Baba yangu pia; kuanzia sasa na kuendelea mnamjua na mmeshamuona yeye.”
8 Filibus woro Yesu ku, “Cikilari durso nari Ucife, ulele ma batinu nari.”
Philipo alimwambia Yesu, “Bwana, tuonyeshe Baba, na hivyo itakuwa imetutosha.”
9 Yesu woroghe, “Ndandauna kiti mine kan nani, umini du sa uyinniya Filibus? Vat nlenge na ayenei, ayene ucife; iyizari uma woru, durso nari Ucife?
Yesu akamwambia, “Sijakuwa pamoja nanyi kwa muda mrefu, na bado hunijui mimi, Philipo? Yeyote aliyeniona mimi amemwona Baba; Jinsi gani unasema, 'Tuonyeshe Baba'?
10 Na uynna nworu ndi nanya Ncife, a Ucif nanya nighe ba? Ulire na ndin su na unliti nighari ba; nani, Ucifere na adi nanya nighere dinsu katwa me.
Hamuamini kuwa mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Maneno ninayoyasema kwenu sisemi kwa kusudi langu mwenyewe; badala yake, ni Baba anayeishi ndani yangu anayetenda kazi yake.
11 Yinna nin mi, nworu ndi nanya Ncife, a Ucife nanya ning; andi na nani ba, yinna ni mi bara nitwa nighe.
Niamini mimi, kwamba niko ndani ya Baba, na Baba yuko ndani yangu; kadhalika niamini mimi kwa sababu ya kazi zangu hasa.
12 Kidegenere, ndin belu minu, ulenge na ayinna nin mi, nitwawe na ndin su, ame ma su ni ning wang, ame masu ni didya bara na meng din cinu ucindu kitin Cife.
Amini, amini, nawaambia, yeye aniaminiye, mimi kazi zile nizifanyazo, atazifanya kazi hizi pia; na atafanya hata kazi kubwa kwasababu ninakwenda kwa Baba.
13 Vat nimon ile na itirino nanya lissaning, Meng masu ining bara Ucife nan se ngongong nanya Nsaune.
Chochote mkiomba katika jina langu, nitafanya ili kwamba Baba aweze kutukuzwa katika Mwana.
14 Asa utirino imonmong nanya lissaning, mma su.
Kama mkiomba kitu chochote katika jina langu, hilo nitafanya.
15 Andi udi nin su ning uma dortu uduka ning.
Kama mkinipenda, mtazishika amri zangu.
16 Meng masu Ucife kucukusu, ame ma nimu umong unan bunu bara anan so nan ghinu udu sa ligang. (aiōn g165)
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn g165)
17 Uruhu kidege. Na uyii wasa usereghe ba bara na udin yenjughe ba ana uyirughe ba. Anung, iyirughe, bara a sosin nanghinu tutun ama yitu nanya mine.
Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea yeye kwa sababu haumuoni, au kumjwa yeye. hata hivyo ninyi, mnamjua yeye, kwani anakaa pamoja nayi na atakuwa ndani yenu.
18 Na nma sun minu usanminu ba; nma kpillu kiti mine.
Sitawaacha peke yenu; Nitarudi kwenu.
19 Nin kubiri bat, uyee ba kuru uyene ba, ama anung ma yenjui. Meng ma yittu nin lai, anung ma ti ulai.
Kwa muda kitambo, ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mwaniona. Kwa sababu ninaishi, nanyi mtaishi pia.
20 Lilone ima yinnu nworu ndi nanya Ncifning, anung yitta nanya nighe, ameng yitta nanya mine.
Katika siku hiyo mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, na kwamba ninyi mko ndani yangu, na kwamba mimi niko ndani yenu.
21 Ulenge na adi nin duka nighe amini din dortu unin, amere ule na adi nin sunighe; ame ulenge na adi nin sunig, Ucif ning mati usume, Meng mati usu me ndurso liti ning kiti me.”
Yeyote azishikaye amri zangu na kuzitenda, ndiye mmoja ambaye anipenda mimi; na ambaye anipenda mimi atapendwa na Baba yangu, na Nitampenda na nitajionyesha mimi mwenyewe kwake.”
22 Yahuda (na Iskaroti ba) woro Yesu ku, “Cikilari, iyaghari mati udurso litife kiti bit ana kitin yii ba?”
Yuda (siyo Iskariote) akamwambia Yesu, “Bwana, Je! Ni nini kinatokea kwamba utajionyesha mwenyewe kwetu na siyo kwa ulimwengu?
23 Yesu kawa aworoghe, “Andi umong di nin suu nighe ama dortu uliru nighe. Ucif nighe ma yitu nin suu me, arik tina dak kitime ti da so ligowe nanghe.
Yesu alijibu akamwambia, “Kama yeyote danipendaye, atalishika neno langu. Baba yangu atampenda, na tutakuja kwake na tutafanya makao yetu pamoja naye.
24 Ulenge na adi nin suu nighe ba, na adin dortu uliru nighe ba. Ulire na ilanza na unaghari ba un Cifere na anan tuyi.
Yeyote ambaye hanipendi mimi, hashiki maneno yangu. Neno ambalo mnasikia siyo langu bali la Baba ambaye alinituma.
25 Ndin bellu minu ule ulire, a ndutu nanginu.
Nimeyasema mambo haya kwenu, wakati bado ninaishi miongoni mwenu.
26 Vat nani, unan bune, Uruhu ulauwe, ulenge na ucife matuu nin lissa nighe, ma dursuzu minu imon vat, imon ile na nna belu minu.
Hata hivyo, Mfariji, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha mambo yote na atawafanya mkumbuke yote ambayo niliyasema kwenu.
27 Lissosin lishau nsun minu mun, Nna minu lissosin lisheu ning. Na ndin nizu nafo na uyii din nizu ba. Na iwa yinin ayi mine nana ba, a na iwa yinni ilanza fiu ba.
Amani nawapa amani yangu ninyi. Siwapi hii kama ulimwengu utoavyo. Msiifanye mioyo yenu kuwa na mahangaiko, na woga.
28 Ina lanza, nna bellin minu, 'Nma su ucin, nma kpilu kiti mine tutung.' Andi idi nin sunighe, iba su liburi libo bara ndin cinu ucin du kitin Ncif. Bara Ucife karin akatini.
Mlisikia vile nilivyowaambia, 'Ninaenda zangu, na nitarudi kwenu.' Kama mngelinipenda mimi, mngekuwa na furaha kwa sababu ninakwenda kwa Baba, kwa kuwa Baba ni mkuu kuliko mimi.
29 Nene nna bellin minu a idutu sa uti, asa imone nin ta ima yinnu.
Sasa nimekwisha kuwaambia kabla haijatokea ili kwamba, wakati ikitokea, mweze kuamini.
30 Na nma su uliru nanghinu gbardang ba, bara ugo nyii ulele din cinu. Na adi nin likara kitene ning ba,
Sitaongea nanyi maneno mengi, kwa kuwa mkuu wa dunia hii anakuja. Yeye hana nguvu juu yangu,
31 Uyii nan yinno Meng di nin suu Ncife. Ndin su imon ile na Ucife asa atayi nsu, nafo na ana nei uduke. Fitan, dan ti sun kiti kane.”
lakini ili kwamba ulimwengu upate kujua kwamba nampenda Baba, nafanya ambacho Baba ananiagiza mimi, kama vile alivyonipa amri. Inukeni, na tutoke mahali hapa.

< Yuhana 14 >