< Yakubu 5 >

1 Dan nene, anung alle na idinin nimon, sun kuchulu kang bara uniu din cinu udak kitimine.
Na sasa sikilizeni enyi matajiri! Lieni na kuomboleza kwa sababu ya taabu zitakazowajieni.
2 Imon nachara mine na bijjo, inin kidowo mine imonli kijijiyari.
Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo.
3 Inin izinariya nin nazurfa mine imon ihem tinin tilo mine ma dursu kanang nato ula nleo nidowo mine. Inani na ceo utamani mine udu ayiri nimalin.
Dhahabu yenu na fedha vimeota kutu, na kutu hiyo itakuwa ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!
4 Yeneng, ubizu na nan katuwa ngirbi nanẹn mine, alle na ina bya nani ba, idi kuchulu! Tutung kuchulu nanan pituru kusana naduru atuff NCikilari Nvat.
Hamkuwalipa mishahara watumishi waliofanya kazi katika mashamba yenu. Sikilizeni malalamiko yao! Kilio cha hao wanaovuna mashamba yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.
5 Ina su lisosin nlazun mang nan nya in yi-ulele, inani na lanza nmang nimon nacara mine.
Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6 Ina su libya nati mine udu liri nimalin. Ina su ushara inin molo unit unan fiu Kutellẹ, ulenge na anati minu imon ba.
Mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni.
7 Bara nani linuwana, tan ayi asheu udi duru kubi ndak Ncikilar, nafo unan nikawa na adin cha kubin girbi nimonli kunen, idin cawe nin nayi asheu ucizunun nwuru kussik nin un kussana.
Basi, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapokuja. Tazameni mkulima anavyongoja kwa subira mimea yake itoe mavuno mazuri. Yeye hungojea kwa subira mvua za masika na za vuli.
8 Anung wang son ni nayi asheu; kele nibinayi mine bara udakin Cikilarẹ daduru susut.
Nanyi pia mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia.
9 Na iwa yita sisip ba, linuwana, kitene natimine, iwa su munu ushara'a yene, unan sharawẹ yissin kibulung.
Ndugu zangu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.
10 Linuwana na uso minu imon yenju, shonon iyizi iyene uneo nanan kadura Kutellẹ alle na liru nan nya lisan Ncikilari.
Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana.
11 Yene tidin yicu alenge na ina ti ayi akone anan “nmari.” na lanza ubelle nayi akonen Ayuba, inani na yene umalzinu katuwa udalilin Ncikilari kitin Ayuba, na Cikilari wa kulun nin kune-kune nin nayi asheu
Tunawaita hao wenye heri kwa sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.
12 Ubun nin nimon vat, nuwana ning, yenje iwa su isili, na nin kitekani, sa ni kutïn, sa imon nisili ba. Nan nya nani na ''kidegen'' mine so ''kidegen'' ''udiru kidegen'' mine so ''udiru kidegen,'' bara iwa diu nan nya nshara.
Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, wala kwa dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni “Ndiyo” kama maana yenu ni ndiyo, na “La” kama maana yenu ni la, na hapo hamtahukumiwa na Mungu.
13 Umong nan nya mine din niuwa? Na ati nlira. Umong mine dinin liburi libowa? Na ati avu liru.
Je, pana mtu yeyote miongoni mwenu aliye na shida? Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa kuimba nyimbo za sifa.
14 Umong nan nya mine dinin konå? Na ayicila akune kutyin nlira alenge na ina tarda nani acara itighe nlira itintinghe nnuf nan nya Lisan Cikilari,
Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
15 mini nliran nan yinnu sa uyenu din shinu nin nan konu, Kutellẹ ba fighe kiti linonin me, adi ana ti kulapi wang, Kutellẹ ma kalughe kuning.
Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, na dhambi alizotenda zitaondolewa.
16 Bara nani belle alapi mine kiti nati mine, isu ati mine nlira, inan se ushinu. Nliran nan yiru kidegen din dasu nin nimon likara gbardang nan nya katuwa me.
Basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi.
17 Iliya unitari wadi nafo arike, amini wa ti nlira nin kibinayi kirum na uwuru nwan jü nan nya nmyen ba, ita akus atat nin tipui kutocin na uwuren jü ba.
Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18 Iliya ta nlira tutung, Kutellẹ toltuno uwuru gbardang, kutyin nutuno imonli nin kpih.
Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.
19 Nuwana nig, asa umong nan nya mine nlasina kiti kidegen, umong mine nwa kpilaghe ninghe.
Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,
20 Na ame yinin nworu ulle na a kpilla nin nan kulapi unuzu libau ntanume aso arucu kidowo kitin nkul, ame ma kussu alapi gbardang.
fahamuni kwamba, huyo anayemrudisha mwenye dhambi kutoka njia yake ya upotovu, ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi nyingi zitaondolewa.

< Yakubu 5 >