< Uafisawa 2 >

1 Anugh wa di, anan nkullari bara utazunu nin ntizu nalapi mine.
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Na iwa malu uchinu nafo ucin nko kube. Nafo usu nakara ngoh in yie. Nin ruhum nlenge na adi katuwa nin nono nsalin lanzu nliru. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Arike wang wan min di tisu nafo na nidowo bite di nin sun nsue. Nsu nimon kidowo nin kibinai, nan nya tiwa di nono tinana nayi nafo ngisinne.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Bara na Kutellẹ unan konnayiari gbardang bara usu me na adimun bara arike.
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 Kubi ko na tiwa kuzu nanyan ntazunu bite, da a nin ghirik nanyan nlai upese ligowe nin Kristi-kitin bolu Kutellẹ na tizu minn.
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 Akuru a fia nari ligowe a taa nari tiso ligowe niti kitene kani nin Kristi Yisa.
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 Awa su nani bara bara kubi ncindak, aba dursu nari ngbardang nbolu me nin nayi ashau me in Kristi Yesu (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Bara ubolu nayi ashau me, inase utuchu nanya nyinnu sa uyenu. Ullele na dak bara nnuzu nati biteri ba, ullele uffillu Kutellẹri.
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 Na bara katuwa bit ba. Na umon uwa foo figiri ba.
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Arike vat imon katuwa Kutellẹ ari, awakẹ nari nan nyan Kristi Yisa tisu nituwa nicine. kangah na Kutellẹ wa kẹ ni nin uworsu bara tina su ucin nanye.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Nin nani lizinon anunghe wanadi awurmi nan nya kidowo. Ulle na idin yichu minu “anan kuchuru alumai” ulle na idin yichu inin anan katu kuchuru in nya kidowo.
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 Na nkoni kubi iwa kosu munu nin Kristi. Iwa idi amara nan nya nono Israila. Nin namara kitene nyinu nin nalikawali. Na uyinu ni ile imun na idin bun ba. Nin sali Kutellẹ nanya inye.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Vat nin nani nene nan nya Nkristi Yisa anughe alle na iwadi piit nin Kutelle inalle na dak susut kupo Kutellẹ nan nya mmii Kristi.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Amere nsusut lisosin liman bite, ullenge na a wa ti ku Yahudawa nin ku wurmi iso unit urum, kidowo me, awa kala liyarin longo naliwa kosu nari nan nati bite.
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Usso nafo, awa musuzu uduka nin nkaida anan saka ukke nanit apese nan nya nan awaba ane, ndak nin lisosin limang.
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Awa su nani bara akelẹ anite vat nan wabe iso kidowo kirum kiti Kutellẹ nan nya nnieu, ukull me na molu ivira kitik mine.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 Yisa wadak ada belle ulirun lai nin tọp me kiti nalenge na iwadi pït, nin lisosin limang kiti nalenge na idi susut.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 Bara kitin Yisa vat bite dimun libau lirum linse nfip milau kitin nchif bite.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Bara nani anug na iwadi awurmi na idu amara ba, nin nani anun adondon lisosin nan nyan nyẹ nin nale na Kutellẹ na fere nani, allenge na ina piru nyan nono Kutellẹ.
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Allenge na iwa kẹ nan nya litino nnono kadura nin nanan nliru nin nu Kutellẹ, ame Yisa Kristi ame litime wa sọ litala likout.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 Nin Likara Yisa, vat makekewe na nankilari me wase ligowe. Ita gbardang nafo kutien nliran na ina cheu kunin bara Chikilari.
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 Nanya me anun wang iwa kẹmunu liigowe nanya kiti lisosin Kutellẹ nanya nfip me.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Uafisawa 2 >