< Katwa Nono Katwa 21 >

1 Nin nizu kidin tinanin wa belin akune sai lonliri unuzu Efisu, tina nin wa piru ujirgi mmen tinin china kitenen mmen udu utudun Cos, kikanere ujirge wayisin nin kitik. uwui unbe tina tipira nan nya jirgi mmen nuzu kusarin Cos tidua utudun Rhodes, kikane tutun ujirge mmen yisina. Uwui kidun dana tiwa piru kipin Patara, kikanere ujirgin mmen yisina.
Wakati tulipokua tumeachana nao, na tunasafiri baharini, tukafika moja kwa moja kwenye mji wa Kosi, na kesho yake tukafika mji wa Rodo, na kutoka huko tukafika mji wa Patara.
2 kusarin Patara tinanin wa chin ujirgin mmen, umong unit bele nari kikane umong ujirgin mmen ma katu udu kusarin Phonenica. tinanin wa chin kikane ti piru ujirge mmen
Tulipopata meli inayovuka kwenda Foinike, tulipanda tukasafiri.
3 Tiwa chinu nan nya kurawa kudia ma tinin yene utudun Cyprus. Tiwa kata kusari inyamma tudun tinin leu ubun ichin ti duru kusarin Phoenicia, nin kusari Siria nan nya kipin Tyre. Ujirge mmen ma tiayiri kikane bar anan kata jirgin mmen wa dinin kutura kona ima toltunu
Tulipofika mbele ya kisiwa cha Kipro, tukaiacha upande wa kushoto, tukasafiri hadi Siria, tukaweka nanga katika mji wa Tiro, kwa sababu huko ndiko meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
4 Umong bele nari kikane ananyinusauyenu sosun nan nya Tyre, nin nanin tisuo nan ghinu tita ayiri kuzor. Bar Ufunu Ulau Kutellẹ na ti nanin yinno anit ma ti Bulus ku tikanchi nan nya Urshalima, inanin wa belin Bulus ku na awa duo kikaneba.
Baada ya kuwaona wanafunzi, tukakaa huko siku saba. Wanafunzi hawa wakamwambia Paulo kupitia kwa Roho kwamba yeye asikanyage Yerusalemu.
5 Tutun dana kubin ta ujirgin mmen ma ghiu, tinna ti su makemake tinan leu ubun chin bit udu Urshalima. Dana ti chino u Tyre, vat anite nin na wani mine ah nono mine ida na arik ubiu kurawa kudia. Vat bite kikane ti tumuno kitene lichichinghe tinin ta ilira.
Hata tulipotimiza siku zile, sisi tukaondoka tukaenda zetu. Wote pamoja, na wanawake zao na watoto wao, walitusindikiza katika njia zetu hadi tulipotoka nje ya mji. Kisha tukapiga magoti pwani, tukaomba, tukaagana kila mmoja.
6 Nin kidun tininin su elip nimalin, Bulus nin nanan chime tina ti pira jirgin mmen, ka kisin nanan yinusauyenu tin na ikwila nilarimine.
Tukapanda meli, huku nao wakarudi nyumbani kwao tena.
7 Nin kidun tichino u Tyre, tileu ubun nin chinbit udu ka gbiri Ptolemais. Kikane anan yinnu sa uyenu wa duku. Timini tiwa liso nanin tiso nan ghinu nin kani kitike
Hata tulipomaliza safari yetu kutoka Tiro, tukafika Tolemai. Pale tulisalimia ndugu, na kukakaa nao kwa siku moja.
8 nin kuwi ti chino Ptolemais tinin kata udu kipin Kaesariah, kikanere tiwa so kilarin Philip, ulena awa yiru kubi me kap dursuzu nanit indana imma dofunu yesu. awa di nan nya nanit alena anan yinusauyenu wa fere yenje awa ni alena alesumine na ku.
Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisaria. Sisi tukaingia nyumbani mwa Filipo, mhubiri wa injili, aliyekuwa mmoja wa wale saba, nasi tukakaa pamoja naye.
9 Awadinin na shono anas na isa su ulimaba. Ufunu Ulau asa benle nanin kaudura nan nya umoron yenji kiti.
Mtu huyu alikuwa na mabinti wanne mabikira ambao walitabiri.
10 Nin kidun tiwa di ingan Philip nin na yiri gbarde, umong unan yinusauyenu lisame wadi Agabus amini wadak kusari Judea amini wa duru nan nya kaiseria. Kokome kubi asa belle kadura nan nya moro yenjikiti. [Amewadi kuannabi]
Baada ya kukaa huko kwa siku kadhaa, akashuka kutoka Uyahudi nabii mmoja aitwaye Agabo.
11 Nin daki me kika na tiwadik, ani yira libelt Bulus annin tere nabunu me nin na chara me nin belle, “Ufunu Ulau woro 'adide na Yahudawa nan nya Urshalima ma kifu Bulus ku iterughe nafo nene inanin matighe kuti lichin.'”
Yeye alikuja kwetu na akautwaa mkanda wa Paulo. kwa huo alijifunga miguu na mikono yake mwenyewe na kusema, “Roho Mtakatifu asema hivi,” “Wayahudi wa Yerusalemu watamfunga mtu anayemiliki mkanda huu, nao watamkabidhi mikononi mwa watu wa mataifa.”
12 Dana tilanza nanin, arik nin nan nanyinusausalinyenu kikane tinin woro Bulus ku, “Na uwado U4shalima ba!” Inja uwado nan nya Urshalima
Tuliposikia mambo hayo, sisi na watu waliokuwa wakiishi mahali pale tulimsihi Paulo asipande kwende Yerusalemu.
13 Bulus nin kwana nani, “chinon kuchulu mine nin ti salin likara lkibinai nin woro na iwadoba! bar yeri idin su kuchule nin ti usalin likara kibinai. In na kibinai nin in do kuti lichin tutun unku nan nya Urshalima bar kata Chikilaribit Yesu.
Ndipo Paulo alijibu, “Mnafanya nini, mnalia na kunivunja moyo wangu? Kwa maana niko tayari, siyo tu kufungwa, lakini pia kufia huko Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”
14 Dana ti yene ama du Urshalima, tinari uwantin ghe. Tinin woro, “Na uso nanin nafo kibinai Chikilari.
Kwa vile Paulo hakutaka kushawishiwa, tuliacha na kusema, “Basi mapenzi ya Bwana yafanyike.”
15 Nin kidun nayirane nan nya Kaiseria, ninanin wasu makeke nimon bit tinin naya kutin udu Urshalima.
Baada ya siku hizi, tulichukua mifuko yetu na tukapanda Yerusalemu.
16 Amon anan yinusauyenu dofuno nari tutun unuzun Kasaria. Inanin wa yiri nari umong unit lisame wadi Mnason. Awadi kusarin Cypros, ame wadi unan dortu Yesu kubia nin chizunu dursuzu nanit kadura kitene me.
Baadhi ya wanafunzi kutoka Kaisaria pia walifuatana nasi. Wakamleta mtu mmoja aitwaye Mnasoni, mtu wa Kipro, mwanafunzi wa zamani, ambaye tulikaa naye.
17 Dana ti duru nan nya Urshalim, kipi nananyinnusauyenu liso nari nin kibinai kibo.
Tulipofika Yerusalemu, ndugu walitukaribisha kwa furaha.
18 Nin kui Bulus nin kagisin bit ti do tidi lirin nin Yakub, amere wadi udia kuti kubowe, kika ne. Vat nin na dida kuti kubo Urshalima wadiku tutun.
Kesho yake Paulo alienda pamoja nasi kwa Yakobo, na wazee wote walikuwepo.
19 Bulus nin liso nani, anin bele nanin vat ilemon na Kutelle nasu nin nan nya Alumai.
Baada ya kuwasalimu, aliwapa taarifa moja baada ya nyingine ya mambo ambayo Mungu aliyotenda miongoni mwa mataifa kwa kupitia huduma yake.
20 Dana ilaza nanin, Yakukbu nin kagisin na kune su ugodo kiti Kutellẹ. Nin nanin umong nin woro Bulus ku,”Gwana, uyiru kap arik a Yahudawe karin nan nya kikane na inayinin nin Chikilari Yesu. Tutu, uyiru vat bite tile bun durtu ti sharia to na Musa na ninari.
Wakati waliposikia hayo, wakamsifu Mungu, na wakamwambia, “Unaona, ndugu, kuna maelfu wangapi wameamini miongoni mwa Wayahudi. Wao wote wana nia ya kushika sheria.
21 Tutun nana bit Ayahudawe alena ina yininsauyenu ina bellin nanin andi nan nya nalena a Yahudawari ba, ibelle a yahudawa alena ina yininsauyenu na isosin nan nya nale na a Yahudawa ba kikane ichin u dortu ti sharia Musa. Anit na woro fena bellin a Yahudawa na inayininsauyenu ichin ubozu na churu nono mine nin aladu bit. Arik na yinin ba bar tina yene idn belu kinuwari.
Wameambiwa kuhusu wewe, kwamba unafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa kuachana na Musa, na kwamba unawaambia wasiwatahiri watoto wao, na wasifuate desturi za zamani.
22 Tutun nanua bit Ayahudawa anan yinnusauyenu lanza uda, ima lazu ayi ninf. Bar udinin isu imong na imanunu nanin elemon na ina lanza na kiden nariba.
Tunapaswa tufanye nini? Bila shaka watasikia kwamba wewe umekuja.
23 Bara nanin su elemon na tina bellen munu isu. Anit awa nas na su isilin nan nya bit kiti Kutellẹ.
Hivyo fanya kile sisi tunachokuambia sasa: tunao watu wanne ambao wameweka nadhiri.
24 Chan nin na le anite uduo kiti kuti kubowe idi su matiza mana dininsuzu bar anin nin ghinu isu uzazinu nan nya kuti kubowe. Nin na nin andi kubi nizi liti mine da, beng ilemong na inna. Nin kidun, iwa yna ibasa titi mine nanin mati elemon na ina belin imasu. Andi anite yene minu ima yinnu ilemon na ina belin kinuwari. Kikane tutun ima yinu idin durtu ti sharia na Yahudawe vat.
Wachukue watu hawa na ujitakase mwenyewe pamoja nao, na uwalipie gharama zao, ili waweze kunyoa vichwa vyao. Hivyo kila mmoja apate kujua kwamba mambo waliyoambiwa kuhusu wewe ni ya uongo. Watajifunza kwamba wewe pia unafuata sheria.
25 Kitin na lena a Yahudawari ba arik akune kikane nan nya Urshalima tina belin ti sharia tona inin ma dortu, tinanin na su ma nyertatinani na belin nanin ilemon na tina yinin. Tina su ma nyert, naiwa li inawa ilena ina nizu ichilmine b, tutun naiwa li mmi ninawa b, na iwa lizu inawa elena ina manling utoh ninin ba. tinanin na belin nanin na iwa pizuru awani nanit.
Lakini kwa habari za mataifa ambao wamekuwa waumini, tuliandika na kutoa maagizo kwamba wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu, na damu, kutokana na kile kilichonyongwa, na wajiepushe na uasherati.”
26 Nin nanin Bulus nin yina nin lilemon na iworo asu, nin kunye atinna ayira anit awanas, ligowe itinna ikusu ati mine. Nin kidu, Bulus nin duo kuti kubowe anin bele aprist liri lona ima malu kusu nati mine nin liri lona ima niszu inawa kusu litimine.
Ndipo, Paulo aliwatwaa wanaume, na siku ya pili, akajitakasa mwenyewe pamoja nao, akaingia Hekaluni, kutangaza kipindi cha siku za kujitakasa, hadi sadaka itolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
27 Dana ayiru kuzor dakusa inkulu ikusu nati mine, Bulus nin kwinla kuti kubowe. Among a Yahudawa unuzu Asia ni yeneghe kikane inanin wa lanza ayi nin ghe. Inanin wa yichila a Yahudawa alena iwa di nan nya kuti kubowe ibin nanin ikifo Bulus.
Siku hizo saba zilipokaribia kumalizika, baadhi ya Wayahudi kutoka Asia wakamuona Paulo Hekaluni, na makutano wakakasirika, na wakamnyoshea mikono.
28 Inin jartiza,”Israila nuanua, dan ida bun nari ushuru nit ule! ule unitere din dursuzu anit kikana apira innari ma dursuzu na Yahudawe. Adin dursuzu anit ichin udurtu ti sahria Musa, nin nanzu kuti kulau. Amini tutun ana pirin nan ghinu nan nya kuti kubua nin ti kiti kane kiti nanzan?
Walikuwa wanapiga kelele, “Watu wa Israeli, tusaidieni. Huyu ni yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo ambayo ni kinyume na watu, sheria, na mahali hapa. Pia amewaleta Wayunani katika Hekalu na kupanajisi mahali hapa patakatifu.”
29 Iwa bellin nanin bar iwayene Bulus ku ichin nan nya Urshalima ninbTrophimus bar ame wadi ku Yahudawari ba. Bar usharia mine yinna ku wurmi piru kuti kuboa ba, iwa susa Bulus pira nin Trophimus nan nya kuti kubo in wuine.
Kwa kuwa mwanzoni walikuwa wamemwona Trofimo Muefeso akiwa pamoja naye mjini, nao walidhani kwamba Paulo alimleta hekaluni.
30 Anit vat ka gbiri lanza kuti kubowe rikiche. inin chuo idakikane. Ininkifo Bulus iwunin ghe udas kiti kubuo. Inin tursu nibulun kuti kubuo. Bar anit wa tirikiche nan nya kuti kubuo.
Mji wote ulikuwa na taharuki, na watu wakakimbia pamoja na kumkamata Paulo. Wakamtoa nje ya Hekalu, na milango mara ikafungwa.
31 Dana iwa chinu umolu Bulus ku umong tina di nuzu nin chum ada kiti kuti kubuo anin belle ugo nanan likum na Roman ah anit gbarden din fizu tirikichi kuti kubuowe nan nya Urshalima.
Walipokuwa wakijaribu kumuua, habari zilimfikia mkuu wa jeshi la walinzi kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia.
32 Udia nanan likum fita dadai ayira anong anan katame nin na mong anan likum gbardan inin chuo ida kiti kuti kubuawe kikana lipitin nanit wadiku. Dana lipintin nanit alena iwa din kwizu Bulus ku yene ugo likum nin nanan likum din chinu itin ichino kwuizu ghe.
Mara hiyo akawachukua askari na jemadari akaukimbilia umati. Wakati Watu walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.
33 Udia na nanan likum da kikana Bulus diku atinna akifo ghe. Anin belle anan likumme iteru acharan Bulus nin nga. Anin tirino lipitin nanite, Ghari unit ulele, nin yari asumina?
Kisha mkuu wa jeshi alimkaribia na akamshika Paulo, na akaamuru afungwe minyororo miwili. Akamuuliza yeye ni nani na amefanya nini.
34 Among gbardan nanit kikane iwa tinin jartizu nimomo, among tutun jartizu nimomon dabam. Barna iwa liubun din jartizu kan, ude nanan likumme awa yninin ilemong na iwadi belle ba. Tutun ame ude nanan likum ta iyira Bulus ku pira ninghe anan tirino ghe kikane.
Baadhi ya watu kwenye umati walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kingine. Kwa kuwa jemadari hakuweza kuwaambia chochote kwa sababu ya zile kelele, akaamuru Paulo aletwe ndani ya ngome.
35 Anan likumme tin na yira Bulus ku udu kiti kana kidimin likar, Vat nanit tin na durtu nnanin, chinin molu Bulus ku. Tutun ugo nanan. Nin nanin ude nanan likumme tin na aworo anan likum iyiri Bulus udu nan nya kuti likara.
Basi alipofika kwenye ngazi, akachukuliwa na askari kwa sababu ya ghasia za umati.
36 Lipitin durtu iyita jartizu, “mologhe! mologhe!''
Maana umati wa watu walimfuata na waliendelea kupiga kelele, “Mwondoeni huyu!”
37 Dana iwa chinu uyiru Bulus ku udu nan nya kuti kun likar, anin lirina nin udia na nan likumme nin ti Helenist,”Iwaghe ilirina nin fia? Ude nanan likumme woro, udin lanzu ti Helinanchira?
Paulo alipokuwa analetwa ndani ya ngome, alimwambia mkuu wa jeshi, “Naweza kukwambia kitu?” Yule mkuu wa jeshi akasema, “Je unaongea Kiyunani?
38 Idususa fia unuzu kusarin Masarawari iminin din chinu dani nin likichi kitenen gomnaniti nayiri alena na kata imini na yiru anit amui anas na fea likichi nan nya kusho, nin nanin tima yinu ukifume ba.
Je, wewe si yule Mmisri ambaye awali aliongoza uasi na alichukua magaidi elfu nne nyikani?”
39 Bulus nin kwan, “babban, menghariba! men ku Yahudawari. Iwa mari nan nya Tarsus ka gbiri kusarin Cilicia. Idinin su ilirin nin na nite.
Paulo akasema, “Mimi ni Myahudi, kutoka mji wa Tarso ya Kilikia. Mimi ni raia wa mji maarufu. Nawaomba, mniruhusu nizungumze na watu.”
40 Kikanere Ude na nan likumme nin na Bulusku kubi alirin. Kikane Bulus ni nakwa uchara me anan talipitin anit ititik. Nin kidun dana lipitin anite ta tik, Bulus nin lirina nin tiyari mine na Yahudawe.
Wakati jemadari alipompa ruhusa, Paulo akasimama penye ngazi na akatoa ishara kwa watu kwa mkono wake. Wakati kulipokuwa na ukimya sana, akaongea nao kwa Kihebrania. Akasema,

< Katwa Nono Katwa 21 >