< Katwa Nono Katwa 18 >

1 Nin kidu, Bulus chino ka gbiri Athens amini wa gya udu kagbiri Korint.
Baada ya mambo hayo, Paulo aliondoka Athene kwenda Korintho.
2 Kikane a zuro nin ku Bayahudi ulena lisame wadi Akila nin wanime Briskila itabotak konkubi ninkidun unuzu ka gbiri Roma nan nya Italiya. Ichin Roma bar ugo klidius, wabalin Ayahudawa vat chin Roma.
Huko akampata Myahudi aitwaye Akwila mtu wa kabila la Ponto, yeye na mke wake aitwaye Prisila walikuja kutoka huko Italia, kwa sababu Klaudia aliamuru Wayahudi wote waondoke Roma; Paulo akaja kwao;
3 Akila nin Briskila iwadin sesu nikubu libau kia adanga. Ame Bulus wa yiru kia nadanga, ninnanin atinna asọ nan ghinu nin su kata ligowe.
Paulo akaishi na kufanya kazi nao kwani yeye anafanya kazi inayofanana na yao. Wao walikuwa ni watengeneza mahema.
4 Ko ayeme asabbath, Bulus asa do kintin zursu na Yahudawe, amini asa lira nin na Yahudawa ah alena a Yahudawariba. Amini wa dursuzo nanin kitenen Isa.
Paulo akajadiliana nao katika sinagogi kila siku ya Sabato. Aliwashawishi Wayahudi pamoja na Wagiriki.
5 Sila nin Timontawus dã unuzu kusarin Makidonia. Dana iduru kikane, Bulus tinna achino kata makeke ku danga. Amini wa yiru kubime chin dursuzu a Yahudawa tipipin kitenen Isa. Amini wa belin nanin ai Isa amere Christi.
Lakini Sila na Timotheo walipokuja kutoka Makedonia, Paulo alisukumwa na Roho kuwashuhudia Wayahudi kuwa Yesu ndiye Kristo.
6 Kikane a Yahudawa tinna inari Bulus ku inin tinna na belu imong inanzan kiteneme. Ninnanin atin na azalina lidau nalutik me bar Kutellẹ lanza man ninghinu ba, anin woro nanin,”Andi Kutellẹ ma sumunu uhor, a ma su bar anughere, na bar men ba! Nuzu nene udunbun Inma di belu kiti na Lena a Yahudawari ba!
Wakati Wayahudi walipompinga na kumdhihaki, hivyo Paulo akakung'uta vazi lake mbele yao, na kuwaambia, “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe; Mimi sina hatia. Kutoka sasa na kuendelea, nawaendea Mataifa”.
7 Bar nanin Bulus tinna achino kitin zursu na Yahudawa anin duo kilari kana kiwa di kupopo, anin dursuzo kikane. Titus Justus, unan kilare a wadi ku Yahudawa ba amini wadi unan durtu Kutellẹ.
Hivyo akaondoka kutoka pale akaenda kwenye nyumba ya Tito Yusto, Mtu anayemwabudu Mungu. Nyumba yake iko karibu na sinagogi.
8 Nin kidun, ude kiti n zursuzu na Yahudawa, iwadin yichighe Krispus, nin vat kilarime wa yinin nin Is. anit gbardan nan nya korintian alena lanza Bulus ku iwa kuru yinna nin Isa inanin wa su nanin ubaptiszima.
Krispo, kiongozi wa sinagogi pamoja na watu wa nyumbani mwake wakamwamini Bwana. Watu wengi wa Korintho waliomsikia Paulo akiongea waliamini na kubatizwa.
9 Nan nya kitik Ugo Isa nuna Bulus ku nmoro yenji kiti bun anin woroghe,”Na uwa lanza fiu nanit alena idinin sufeba, nin nin nanin na uwa ti tik belu kitenenin ba,
Bwana akamwambia Paulo usiku kwa njia ya maono, “Usiogope, lakini ongea na usinyamaze.
10 Bar na inma bunfi na umon ma lanzifi ukule kikane ba. leubun bellu nani kiteni, bar anit di gbardan kagbiri kane naidi anit ni ghari.”
Kwani Mimi niko pamoja nawe, na hakuna atakayejaribu kukudhuru, maana nina watu wengi katika mji huu”.
11 Nin nanin Blua sọ ata likus kagizi, dursuzu nanin uliru Kutellẹ kitenen Isa.
Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha neno la Mungu miongoni mwao.
12 Dana Galio so kugovuno Roma kusarin Achai, Adide na Yahudawe nin tinna ikifo Bulus ku. Iyira ghe ido kiti govuno nin liru kinu kitene me,
Lakini Galio alipofanywa mtawala wa Akaya, Wayahudi walisimama pamoja kinyume na Paulo na kumpeleka mbele ya kiti cha hukumu,
13 Inin wor, “Ule unite din dursu anit izazin Kutellẹ nan nya tibau tona arik a Yahudawa yirimun ba.
wakisema, “Mtu huyu huwashawishi watu wamwabudu Mungu kinyume cha sheria”.
14 Dana Bulus wa china ulirinu, Gollio nin woro a Yahudawa,”Andi unit ulele puro ma dortu bit a Romaw, da iwa lanzu ilemon na idin belli.
Wakati Paulo alipokuwa akitaka kusema, Galio akawaambia Wayahudi, “Ninyi Wayahudi, kama ingelikuwa ni kosa au uhalifu, ingekuwa halali kuwashughulikia.
15 Nin nanin, idin belu kitene tisa nin madortu mine a nin Yahudawa, bar anin atimine iwangha bele imon kitene ni lemone. Bar nanin na men masu uwuchu kiden kitene nile mone ba!
Lakini kwa sababu ni maswali, yanayohusu maneno na majina, na sheria zenu, basi hukumuni ninyi wenyewe. Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo.”
16 Dana Gallio belle nanin, amini wa belin a sojoji inutun a dide na Yahudawa nuzu kitin wuchu kiden.
Galio akawaamuru waondoke mbele ya kiti cha hukumu,
17 Ninnanin ani tinna ikifo ude na Yahudawa, Sosthennes. inanin wa foghe ibun kitet wusu kiden. Vat nanin Gallio wa su imong kitene ba.
Hivyo, wakamkamata Sosthene, kiongozi wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Lakini Galio hakujali walichokifanya.
18 Bulus nin tah ayiri nin nana yinu sauyenu nan nya Korinth. amini wa piru kabarak mmen nin Briskila ah Akila inin kata udu u Siria. Amini wa buo titime bar isilin ile na awa su.
Paulo, baada ya kukaa pale kwa muda mrefu, aliwaacha ndugu na kwenda kwa meli Siria pamoja na Prisila na Akwila. Kabla ya kuondoka bandarini, alinyoa nywele zake kwani alikuwa ameapa kuwa Mnadhiri.
19 Inanin wa duru kagbiri. Efasu, Briskila nin Akila tinna isuo kikane. Bulus litime pira kitin zursuzu na Yahudawa anin belle a Yahudawa uliru kitenen Isa.
Walipofika Efeso, Paulo alimwacha Prisila na Akwila pale, lakini yeye mwenyewe akaingia kwenye sinagogi na kujadiliana na Wayahudi.
20 Inani wa belinghe a ti ayiri, amini wa nari.
Walipomwambia Paulo akae nao kwa muda mrefu, yeye alikataa.
21 Amini wa bellinanin mma dak in lonliri adi Kutellẹ yinna indak. Ninanin amini wa piru ka barak mmen anin gya udu Efasus.
Lakini akaondoka kwao, akawaambia, “Nitarudi tena kwenu, ikiwa ni mapenzi ya Mungu”. Baada ya hapo, akaondoka kwa meli kutoka Efeso.
22 Dana kabarak mmen da ka gbiri. Kaiseri, Bulutina atolo. Amini wa piro udu Urshalima anin liso anan yinusauyenu kikane. Ninnanin atinna gya udu ka gbiri Antiok kusarin Siria.
Paulo alipotua Kaisaria, alipanda kwenda kusalimia Kanisa la Yerusalemu, kisha akashuka chini kwa kanisa la Antiokia.
23 Bulus leu kubi nin anan yinusauyenu kikane. Ninnanin atinna achino u Antiok anin pira ningbiri nigbiri gwardan kusarin Galantia nin Firigia. Amini wa risu anan yinusauyenu i yini kan nan nya liri Kutenlẹ kitenen Isa.
Baada ya kukaa kwa muda pale, Paulo aliondoka kupitia maeneo ya Galatia na Frigia na kuwatia moyo wanafunzi wote.
24 Dana Bulus wa diichin nan aya Firisia, ku Yahudawa lisame wadi Afolos ada Efisus. Awa nuzu kusarin ka gbiri Alexzadria amini wa yiru litafi kan.
Myahudi mmoja aitwaye Apolo, aliyezaliwa huko Alexandria, alikuja Efeso. Alikuwa na ufasaha katika kuongea na hodari katika Maandiko.
25 Among anan yinnusauyenu durso Apolos ku tibou tona Isa dininsu ait s, amini wadurso imongne kiti nanit. Ninnani, awadi dursuzu imong kap ba kitenen Isa. Bar ame yiru ubaptizzima Yohanari chas.
Apollo alikuwa ameelekezwa katika mafundisho ya Bwana. Kwa jinsi alivyokuwa na bidii katika roho, aliongea na kufundisha kwa usahihi mambo yanayomuhusu Yesu, ila alijua tu ubatizo wa Yohana.
26 Apolos duo kitin zursuzu na Yahudawa, amini wa belin anite kikane kitene nimong ilena amena yini. Dana Briskila nin Akila lanza udursuzu me, itinna iyiraghe udu gamine inan dursuzoghe kan kitenen Isa.
Apolo akaanza kuzungumza kwa ujasiri katika hekalu. Lakini Prisila na Akwila walipomsikia, walifanya urafiki naye na wakamwelezea juu ya njia za Mungu kwa usahihi.
27 Dana Apolos yinna ama ghiu udu kusarin Aciya, anan bi nanya Efisus woroghe uma chaunu asu nanin. Inanin wa nyerti udu kiti nanan bin Aciya inin woro seren Apolos ku nin kibinai kirum. Nin duru kikane, amini wa bun alenge na Kutellẹ wa lanza nkune-kune iyinin nin Yesu.
Alipotamani kuondoka kwenda Akaya, ndugu walimtia moyo na kuwaandikia barua wanafunzi walioko Akaya ili wapate kumpokea. Alipowasili, kwa neema aliwasaidia sana wale waliomini.
28 Apolos wadi liru nin likara nan nadidya na Yahudawa vat nin nalena iwa din lanzughe. Nanyan bellu niyerte ilauwe, awa yinini udursu nani Yesure umasiye.
Kwa nguvu zake na maarifa, Apolo aliwazidi Wayahudi hadharani akionesha kupitia maandiko ya kuwa Yesu ndiye Kristo.

< Katwa Nono Katwa 18 >