< Katwa Nono Katwa 17 >

1 Inanin wachinu nigbiri nigbir Amphipos nin Apollolonia ma inin da kagbiri Thessalonika. Kikane wadi kiti zursuzu na Yahudawa
Na walipopita katika miji ya Amfipoli na Apolonia, walikuja mpaka mji wa Thesalonike ambao kulikuwa na sinagogi la Wayahudi.
2 In wui na sabbath Bulus pira kitin zursu nafo usum. Tisati tat awa pichu ko ayeme asabbath. Amini wa dursuzo anite tipipinlitafe woro Isa amere mazamu Christi.
Kama ilivyo kawaida ya Paulo, alienda kwao, na kwa muda wa siku tatu za Sabato alijadiliana nao juu ya maandiko.
3 Amini wa nuna nanin nuzu litafe. anan yenjun bun na nyerti kiden ame Misiah maku akura fita nin lai tutun. Amini wabelin” Ule unite amere Isa ah Christi. Anaku amini na fita tutun, nanare anan yenjun bun nabelin”.
Alikuwa akiwafungulia maandiko na kuwaeleza kuwa, ilimpasa Kristo ateseke na kisha kufufuka tena kutoka kwa wafu. Aliwaambia, “Huyu Yesu ninayewaambia habari zake ndiye Kristo”
4 Among a Yahudawa kikane yinna nin nilemon na Bulus belle inin chizina zurzu nin Bulus nin Sila. Kikane ma amon wadiku na Yahudawari ba nin umong uwani unan dortu Kutellẹ amini tutun wa yinin nin liru kitenen Isa, inanin wa chizina uzursu nin Bulus nin Sila.
Baadhi ya Wayahudi walishawishika na kuungana na Paulo na Sila, pamoja na Wagiriki wachamungu, akinamama wengi waongofu na kundi kubwa la watu.
5 Amon adida na Yahudawe ayimine wa nana nin nanite bar na iwa yinin sauyenu nin lirulena Bulus durso nanin. Bar nanin i do idi yichila anit gbarda ini rususzo anit idofin nanin. Nin nanin inin, adide na Yahudawe nin pitirno anit gbardan inin ta jartizu. Ayahudawa ane tinna ido igan Jason kikana an Bulus nin Sila wasosinku. Iwa dinin su inutun Bulus nin Sila udas kitinanite.
Lakini baadhi ya Wayahudi wasioamini, waliojawa na wivu, walienda sokoni na kuwachukuwa baadhi ya watu waovu, wakakusanya umati wa watu pamoja, na kusababisha ghasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Jason, wakitaka kuwakamata Paulo na Sila ilikuwaleta mbele za watu.
6 Imini wa se an Bulus nin Sila wadi nan nya kilare b, inanin wa se Jason ma inin kifo gh. Ma inin wunughe nin among anan yinnusauyenu kiti nago ka gbiri. Inin belle” Anit alena idin fizi nibinai iyẹ ida kikanema tutyun.
Lakini walipowakosa, walimkamata Yasoni na baadhi ya ndugu wengine na kuwapeleka mbele ya maofisa wa mji, wakipiga kelele, “Hawa wanaume walioupindua ulimwengu wamefika mpaka huku pia,
7 Ame Jason yira nanin achau in game. Na idimun su kaisar ba. Inanin belle umong unit diku lisame Isa amere ugo kiden.
Wanaume hawa waliokaribishwa na Yasoni wanaihalifu sheria ya Kaisari, wanasema kuna mfalme mwingine anayeitwa Yesu”
8 Dana lipitin nanite da kitikirum nin nago ka gbiri nibinai mine nana kan.
Umati na maofisa wa mji waliposikia mambo hayo, waliingiwa na wasiwasi.
9 Ago ka gbiri ta Jason na ikubu inin belle nanin ima ni nanin ikubua andi Bulus nin Sila fia nibinai nanite tutunba. Nin nanin ago ka gbiri in belle Jason nin nannan yinnu sauyenu nyha.
Baada ya kuwa wamekwisha kuchukua fedha ya thamani ya ulinzi kutoka kwa Yason na wengine, waliwaachia waende.
10 Nin kitik kan, anan yinnu sauyenu tinna inutuno Bulus nin sila nan nya Thesalika udu ka gbiri Berea. Dana Bulus nin Sila wa duru kikane, itinna i pira kitin zursuzu na Yahudawa.
Usiku ule ndugu walimtuma Paulo na Sila Beroya. Na walipofika kule walikwenda katika sinagogi la Wayahudi.
11 Ayahudawan Thasalonika wa xinin su lazin liru Kutellẹ nafo Ayahudawan Berea ba, inanin wa lanza gigime uliru kitenen Isa. Kolome liri iwa gartu tipipin nin litimine iyinin kidegen liru ulena Bulus wa bellin kitenen Isa.
Watu wale walikuwa wenye werevu mkubwa kuliko wale watu wa Thesalonike, kwa sababu walikuwa na utayari wa kulipokea neno kwa akili zao, na kuchunguza maandiko kila siku ili kuona kama maneno yaliyonenwa ndivyo yalivyo.
12 Bar udursuzu Bulus Ayahudawa gbardan yinna nin Isa, nin na mong awani alena Ayahudawaba nin nanilime alena Ayahudawariba wa yinin nin gye.
Kwa hiyo wengi wao waliamini, wakiwemo wanawake wenye ushawishi mkubwa wa Kigiriki na wanaume wengi.
13 Nanin tutun Ayahudawa nan nya thasalonika lanza Bulus din durzsuzu uliru Kutellẹ kitenen Isa. Inanin wa do Uberea inin woro nin nanit alena idi kikane ibelle imong ilena imati ilanza ayi nin Bulus.
Lakini Wayahudi wa Thesalonike walipogundua kwamba Paulo anatangaza neno la Mungu huko Beroya, walienda huko na kuchochea na kisha kuanzisha ghasia kwa watu.
14 Among anan yinnu sauyenu yira Bulus ku udukuasri lkurawa kuda inan nya udu kan ka gbiri. Sila nin Timintawus wa soh nan nya Berea.
Kwa haraka, ndugu wakampeleka Paulo kwa njia ya ziwa, lakini Sila na Timotheo wakabaki pale.
15 Dana Bulus nin nanan yinnu sauyenu iwa duru ugefe kuraw, itinna pira ujirgin mmen kata udu kagbiri Antakia. Bulus ninworo nin nale ne dã ninṣhe.”Belle Sila ninTimintawus idak kitinin in Atantakia.” Anite ne chino Antakia ma inin kwila udu Berea.
Wale ndugu waliompeleka Paulo walienda naye hadi Athene, walipomwacha Paulo huko, walipokea maagizo kutoka kwake kuwa, Sila na Timotheo waje kwake kwa haraka iwezeanavyo.
16 Nan nya Athens Bulus soncha Sila nin Timotawus idak. Nan nya nani, achina a kilino ka gbiri. Amini wa lanza mmang kibinaime ba bar ka gbiri wadini chil(idol)
Na wakati akiwasubiri huko Athene, roho yake ilikasirishwa ndani yake kwa jinsi alivyouona mji ulivyojaa sanamu nyingi.
17 Amini wa duo kitin zursu na Yahudawa anin lirina kitenen Isa nin na Yahudawa, ah tutun a Greek alena na sere ilemon na a Yahuda yinna mu. Amini wa nuzu udas atinna kolome liri anin lira kiti nanite alena awa zuro nan ghinu kikane.
Hivyo akajadiliana katika sinagogi na wayahudi wale waliomcha Mungu na kwa wale wote aliokutana nao kila siku sokoni.
18 Bulus zuro nin among anan dursuzu inanin wa dinin so iliru kitene nilemong na anit yinnamu. anite wa din yichi Among Epicorion, among iyichananin Stoiks. Inanin wa belin Bulus ku ilemong na inin yinnam, inin tiringhe iyeri ame yinnamu. Among woro nin natimine “nafo adinbellu kutellẹ kona tiyirimuba”. Inin woro bar na Bulus wa dinbelu nanin Isa naku amini nafita adimun ilai tutun.
Lakini baathi ya Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoiko wakamkabili. Na wengine wakasema, “Ni nini anachokisema huyu mwongeaji mchanga? Wengine wakasema, “inaonekana anahubiri habari ya mungu mgeni,” kwasababu anahubiri habari ya Yesu na ufufuo.
19 Among tinna iyiraghe kiti kana kana adide ka gbiri din zursuzu. Dana iduru kikane inin woro nin Bulus, “Benle nari, iyapin imong ipese udin dursuzu anite?
Wakamchukua Paulo na kumleta Areopago, wakisema, “Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea?
20 Idin dursuzu imong ilengena tiyirimung b, bar nani iyadi nari tiyinin iyapimonari ine.
Kwasababu unaleta mambo mapya katika masikio yetu. Kwahivyo tunataka kujua haya mambo yana maana gani?”
21 Anitin Athans nin nalena idi kusari kone ne isosinku, idinin so ilaza uliru upese.
(Na watu wote wa Athene pamoja na wageni waliopo kwao, hutumia muda wao aidha katika kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya.)
22 Nin nani Bulus tina ayisina mbun mine anin woro.”Anit Athaan, yene anughe idinin nadini kan.
Kwa hiyo Paulo akasimama katikati ya watu wa Areopago na kusema, “Enyi watu wa Athene, naona kuwa ninyi ni watu wa dini kwa kila namna,
23 Mbele nanin bar, dana indinchinu mmini yene mmong ilengebna idin zazunu, mmini yene kon kubagadi nin lisa kona idin yichu kunin: KUTELLẸ KONA TIYIRUMU BA. Nene mma belin minu Kutellẹ kona idin zazunu na iyirughe ba.
Kwani katika kupita kwangu na kuangalia vitu vyenu vya kuabudu, nimeona maneno yalioandikwa kwenye moja ya madhabahu yenu, ikisema “KWA MUNGU ASIYEJULIKANA”. Hivyo basi, huyo mnayemwabudu pasipokujua, ndiye ninayewajulisha ninyi.
24 Amere Kutelle ulena anake uyi nin nimog vat nan ny. Amere min koyang nan nya kitene nin kutin, na adin sozu kudaga kona inake nin na charaba.
Mungu aliyeumba dunia na kila kitu kilichoko ndani, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hawezi kukaa katika mahekalu yaliyotengenezwa na mikono.
25 Na adimin so nimong na ina ke bar ameba Amre nani nari ulai nin ununfash, Amini na ni nanin mmong ilena idimung su.
Na pia hatumikiwi na mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu kwao, kwani yeye mwenyewe huwapa watu uzima na pumzi na vitu vingine vyote.
26 Kubin hizine, Kutellẹ nake unit nin wanim, nan nya minere ama maru anit nan nya iye na isozun ko kame kagbiri. Amini ana ti anit niti kubi
Kupitia mtu mmoja, alifanya mataifa yote ya watu waishio juu ya uso wa dunia, na akawawekea nyakati na mipaka katika maeneo wanaoishi.
27 Ana dimun su anit yinin anit dinin sume. Bar inan piziraghe inin saghe. Kutellẹ dinin su ti pizirughevat nin nani adi ku popo nan arik.
Kwa hiyo, wanatakiwa kumtafuta Mungu, na yamkini wamfikie na kumpata, na kwa uhakika hayupo mbali na kila mmoja wetu.
28 Bar Kutellẹre ta tidimi la, tidin chinu ti diku, nafo na umong belle nan nya min, 'bar arik nono mere.
Kwake tunaishi, tunatembea na kuwa na uzima wetu, kama vile mtunzi wenu mmoja wa shairi aliposema 'tu wazaliwa wake.'
29 Barnanin arik nono Kutellẹ ari, na tiwa yene nafo Kutellẹ masin ugold ko usilva ko kutala, kona anit nake.
Kwa hiyo, ikiwa sisi ni wazaliwa wa Mungu, hatupaswi kufikiri kuwa uungu ni kama dhahabu, au shaba, au mawe, sanamu iliyochongwa kwa ustadi na mawazo ya watu.
30 Kubi kona anit yiru ilemong na Kutellẹ dinin su mine i su, [kubin sirti] na ana fuor nanin ba. Bar nanin nene Kutellee na woro anite vat ichin matiza manazan.
Kwa hiyo, Mungu alinyamazia nyakati zile za ujinga, lakini sasa anaamuru watu wote kila mahali wapate kutubu.
31 Amini na belin nari umong uwui din chinu na ama da su kogha ku kiwucho kidegen nin niti ulena ana fere, amini nafe unit une nuzun kisek [ukul]
Hii ni kwa sababu ameweka siku atakayo ihukumu dunia kwa haki kwa mtu ambaye alimchagua. Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu kwa kila mtu pale alipomfufua katoka kwa wafu.
32 Dana anit ilanza Bulus uworo unite fita nuzu kisek dana ana ku, amon mine tin na isisila ghe. Amon nin belinghe adak ilonliri tutun.
Na watu wa Athene waliposikia habari ya kufufuliwa kwa wafu, baadhi yao wakamdhihaki Paulo, ila wengine wakasema “Tutakusikiliza tena kwa habari ya jambo hili”
33 Dana ibelle nanin Bulus tinna ahgha.
Baada ya hapo, Paulo akawaacha.
34 Vatninnanin among dofuno Buluse ku inin yinna nin liru kitenen Isa. Nan nya nanit alena yinna nin Isa umong wa diku lisame Dionysius. Tutun umong uwani wadiku lisame Damaris nin na mong nan ghinu na iwa yinin sauyenu.
Lakini baadhi ya watu waliungana naye wakaamini, akiwemo Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari na wengine pamoja nao.

< Katwa Nono Katwa 17 >