< 2 Timotawus 2 >

1 Fe bara nani gono ning, se likara nanyan bolu Kutelle ulenge na udi nanyan Kristi Yesu.
Kwa hiyo, wewe mwanangu, utiwe nguvu katika neema iliyondani ya Kristo Yesu.
2 Nin nimon ilenge na uwa lanza kiti ning nanya niyizi iba gbardang, na inin nanya nacara nanit acine alenge na ima yinnu udursuze wang.
Na mambo uliyoyasikia kwangu miongoni mwa mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu waaminifu ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
3 Pira inniu nin mi nafo kusojan Kristi Yesu kucine.
Shiriki mateso pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.
4 Na kusoja duku ko nakudi katwa akuyita nanya lanzun mang yii ulele, bara anan na una ubun me nmang.
Hakuna askari atumikae wakati huo huo akijihusisha na shughuli za kawaida za maisha haya, ili kwamba ampendeze ofisa wake mkuu.
5 Tutung, andi umon cum nafo anan cum sesun nduk, na asa inaghe uduke ba se adofino tiduka ncume.
Pia kama mtu akishindana kama mwanariadha, hatapewa taji asiposhindana kwa kufuata kanuni.
6 Uso gbas ame unan katwa kune na adin su kang seru uduk nimon kunene nin cizunu.
Ni Muhimu kwamba mkulima mwenye bidii awe wa kwanza kupokea mgao wa mazao yake.
7 Kpiliza kitene nimon ile na ndin bellu, bara Kutelle manifi uyinnun vat nimon.
Tafakari kuhusu nisemacho, kwa maana Bwana atakupa uelewa katika mambo yote.
8 Lizinon Yesu Kristi ku, Ucizunun fimus in Dauda, urika na iwa fyghe nanyan kul. Ulele di cot nin liru ulau nighari,
Mkumbuke Yesu Kristo, kutoka uzao wa Daudi, ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu. Hii ni kulingana na ujumbe wangu wa Injili,
9 Urika na ndin niu udun terii nafo unan molsu nanit. Ama na ina teru uliru Kutelle ba.
ambao kwa sababu ya huo ninateswa hata kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi kwa minyororo.
10 Bara nani ndin teru nayi nanya nimon vat bara alenge na ina fere, inung wang nan se utucu ulenge na udin Kristi Yesu, nin gongon sa ligan. (aiōnios g166)
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
11 Ulengee ubelle un yinnuari: “Andi ti kuu ninghe, tima kuru titi ulai ninghe.
Usemi huu ni wakuaminika: “Ikiwa tumekufa pamoja naye, tutaishi pamoja naye pia,
12 Andi ti tere nibinayi, tima kuru tisu tigo ninghe. Andi tinarighe, ame wang manari nari.
kama tukivumilia, tutatawala pamoja naye pia, kama tukimkana yeye, naye pia atatukana sisi.
13 Asa ti di nin diru kidegen ame wang baso sa kidegen, bara na awasa anari litime ba.”
kama hatutakuwa waaminifu, yeye atabaki kuwa mwaminifu, maana hawezi kujikana mwenyewe.”
14 Leu ubun lizunu nani nin nimong ilele. Wunno nani atuf nbun Kutelle na iwa su kabun kitene tigbula ba. Bara ilenge imone na imon duku icine ba. Bara ilenge imone ukul duku nalenge na idin lanzu.
Endelea kuwakumbusha juu ya mambo haya. Waonye mbele za Mungu waache kubishana kuhusu maneno. Kwa sababu hakuna manufaa katika jambo hili. Kutokana na hili kuna uharibifu kwa wale wanaosikiliza.
15 Fo kidowo udak nin litife ubun Kutelle imon seru nafo unit katwa sa ncin. Mino tigbulang kidegene gegeme.
Fanya bidii kujionesha kuwa umekubalika kwa Mungu kama mtenda kazi asiye na sababu ya kulaumiwa. Litumie neno la kweli kwa usahihi.
16 Suna uliru bidibidi, na udin du nin diru Kutelle.
Jiepushe na majadiliano ya kidunia, ambayo huongoza kwa zaidi na zaidi ya uasi.
17 Uliru mine din malu kiti nafo ukul tijii kidowo. Nanya mine Himenes nin Piletus duku.
Majadiliano yao yatasambaa kama donda ndugu. Miongoni mwao ni Himenayo na Fileto.
18 Alele anitari na wuro kidegene. Idin ufitu nanan kulen mal katu. Ina kpilya uyinnu sa uyenu namong.
Hawa ni watu walioukosa ukweli. Wanasema ya kuwa ufufuo tayari umishatokea. Wanapindua imani ya baadhi ya watu.
19 Vat nin nani, likara litino Kutelle yissin. Lidi nin nile imone: “Cikilare yiru alenge na idi anme” ni “Vat nlenge na idin yiccughe nin lissa Kutelle ama sunu katwa kanangzang gbas.”
Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unasimama, wenye uandishi huu, “Bwana anawajua walio wake, na kila alitajaye jina la Bwana ni lazima ajitenge na udhalimu.”
20 Kilari nikurfu, na niti cinsu tizinariya nin azurfari duku cas ba. Kitin cisu nakatu duku nin tiwin. Nanya nalele in katwa kalau duku, a in katwa kanangzang ku.
Kwenye nyumba ya kitajiri, siyo kwamba vimo vyombo vya dhahabu na shaba tu. Pia kuna vyombo vya miti na udongo. Baadhi ya hivi ni kwa ajili ya matumizi ya heshima na baadhi yake ni kwa matumizi yasiyo ya heshima.
21 Asa umong wese litime unuzu katwa kanangzang, ame kitin cisu nimon icinari. Ina kalaghe iceu ugan, ama yitu imon katwan Cikilari, inin kyeleghe bara kokame katwa kacine.
Ikiwa mtu atajitakasa mwenyewe kutoka kwenye matumizi yasiyo ya heshima, yeye ni chombo chenye kuheshimika. Ametengwa maalumu, mwenye manufaa kwa Bwana, na ameandaliwa kwa kila kazi njema.
22 Cong inuzu nanya kunaniyizi nfitu. Dorton katwa kacine nin cum, uyinnu sa uyenu, usuu, a lissosin limang nin nalenge na idin yiccu Cikilare ku nanya nibinayi nilau.
Zikimbie tamaa za ujanani. Ukifuata haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
23 Ama narin utirinu tilalan nin dirun nonku liti. Uyiru nwo asa uda nin mayardang.
Lakini ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi. Kwani unajua ya kuwa huzaa ugomvi.
24 Na kucin Kutelle nwasu kabun ba. Ama na yitu sheuwari kitin kogha, awasa adursuzo anin yita seng.
Mtumishi wa Bwana hapaswi kugombana, badala yake inampasa kuwa mpole kwa watu wote, awezaye kufundisha, na mvumilivu.
25 Amasu nin nonku liti udursuzu nalenge na inari uliru me. Nbata Kutelle nani ukpilu nanya yinnun liru kidegen.
Ni lazima awaelimishe kwa upole wale wampingao. Yamkini Mungu aweze kuwapatia toba kwa kuifahamu kweli.
26 Iwasa iyita nin kpilu tutun inin suna libardang shintan, kimal nkifu mine na awa kifo bari katwa me.
Waweze kupata ufahamu tena na kuepuka mtego wa Shetani, baada ya kuwa wametekwa na yeye kwa ajili ya mapenzi yake.

< 2 Timotawus 2 >