< 2 Bitrus 2 >

1 Anan liru nin Kutelle an kinuu wa dak Israila a anan dursuzu kiti kinu ma dak kiti mine. Ima dak nin dursuzu un wultunu kiti likire, iming ma nari cikilare na ana seru nani. Inung dsin liru nnin kimolo nati mine dedei.
Manabii wa uongo walijitokeza kwa Waisraeli, na walimu wa uongo watakuja pia kwenu. Kwa siri wataleta mafundisho ya uongo nao watamkana Bwana aliyewanunua. Wanajiletea uharibifu wa haraka juu yao wenyewe.
2 Grandang ma dofunu usu nibinai mine, barainughe ima zoguzu libo kidegene.
Wengi watafuata njia zao za aibu na kupitia wao wataikufuru njia ya ukweli.
3 Bara usu nati mine ima ti nkoli nin ghinu ndas uzuzun nliru kinu mine. Na ushara mine ma yiru kubi pit ba; na uwutunu mine ma yitu hem ba.
Kwa uchoyo watawanyonya watu wakitumia maneno ya uongo Hukumu yao haitachelewa, uharibifu utawafuata.
4 Ndafo na kutalk wa ceo litai unono kadura mae alenge na iwa ti kulapi ba, ndafo awa na tunari nan nya kukunsa ligang, i ceo nanii ku nin ninyaag nan nya sirti isu uca nshara. (Tartaroō g5020)
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō g5020)
5 ndafo na awa ceo uyi uyi unbburne ba, ama awa tucu Nuhu ku unan belun nbeleng katwa kacine ligowe nin na nit kuzor amini wa dak nin fibark nmyen in yii kulapi.
Wala Mungu hakuuvumilia ulimwengu wa zamani. Bali, alimhifadhi Nuhu, mwenye wito wa haki, pamoja na wengine saba, wakati alipoachila gharika juu ya ulimwengu ulioasi.
6 A mini wa juju nipinpin Sodom nin Gomora ni lwa utong, a mini wa ceo nani nca nkul ios imon yenju na udin cinu dak kiti na nan sali fiu Kutelle.
Mungu aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kiasi cha kuwa majivu na uharibifu ili iwe mfano kwa ajili ya waovu katika siku za usoni
7 Amini wa tucu unan katwa kacine, ulenge na awa sessu ufizu nayi ko kome kubi bara adadu ananzang na nan sli fiu Kutelle nin kuna niyizi.
Lakini alipofanya hilo, alimwokoa Lutu mtu wa haki, aliyekuwa amehuzunishwa na tabia chafu za wasiofuata sheria za Mungu.
8 Bara katwa nsalu fiu Kutelle mine na unan katwa ka cine na yenje alanza ko lome liyiri a sossino nan nya mine w a lanza fisudu katwa kacine me ukul.
Kwa kuwa huyo mtu wa haki, aliyeishi nao siku kwa siku akiitesa nafsi yake kwa ajili ya yale aliyoyasikia na kuyaona.
9 Cikilare yiru ulenge na ama tucu anan fiu me nan nya ndumunuzu mine, a yiro kitin ciu nanit alenge na idi nin katwa kacine ba bar44a uniu lirin nshara.
Kwa hiyo Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa watu wake wakati wa mateso na jinsi ya kuwavumilia waovu kwa ajili ya hukumu katika siku ya mwisho.
10 Ulengene ma sossin kidegene kiti na lenge na idin lin hun nin likara li nanzang nin tik nidowo ina ni nari tigo. Idi nin nayi akone nin nilaza nati mine. Na idin lanzaq fiu izogo sa ima su untigo uliuru ba.
Kwa hakika huu ndio ukweli kwa wale wanoendelea kuishi katika tamaa za mwili huu na kuyadharau mamlaka. Watu wa jinsi hii wana ujasiri katika dhamiri zao, Hawaogopi kuwakufuru watukufu.
11 Nono kadura Kutelle di nin nakara adya nin yiru ikafin anit vat, ama na idin dassu nin shara tizogo kitene mine kitin cikilare ba.
Ingawa malaika wana uwezo na nguvu kuliko wanadamu, lakini hawawezi kuleta hukumu dhidi yao kwa Bwana
12 Ama anit nan kpiizu nafo inawan tene ima na kye nani bara ikifizo i nanzari. Na i yiru imong ile na ijogo ba. Ima nanzu nani.
Lakini hawa wanyama wasio na akili wametengenezwa kwa asili ya kukamatwa na kuangamizwa.
13 ima lanzu ukul bara uduk likara linanzang mine. Idin su lissosin nlanzu mmang nin liring. Idi nin na lap a akura amanzang. Idin lanzu mmang nadu kinnu mine i wa din sonu nfunu ninfi.
Wanaumizwa kwa ujira wa maovu yao. Mchana kutwa huishi kwa anasa. Wamejaa uchafu na maovu. Hufurahia anasa za udanganyifu wanaposherehekea na wewe.
14 Iyizi mine kulun nin su na wani nfunu; na kulapi din batizunu nani ba. Idi wunu anan sali nakara nibinai udu su katwa kananjang, nibinai mine nmali se udursuzu bara kuna niyizi, nono nti nnuu.
Macho yao yamefunikwa na uzinzi; hawatosheki kutenda dhambi. Huwalaghai na kuwaangusha waumini wachanga katika dhambi. Wana mioyo iliyojaa tamaa, ni watoto waliolaaniwa.
15 ina filing libo licine. Ina wulu inani na dofin libo in Balamu, usaun Basura, ulenge na awa di nin su a seru uduk kitene nfanu me.
Wameiacha njia ya kweli. wamepotoka na wameifuata njia ya Balaam mwana wa Beori, aliyependa kupata malipo ya udhalimu.
16 Amini wa se uboriu niyizi kitene nfanu me. kajaki nsalin liru kani wa su uliru nin liwui nnit uni wa Yissa unan liru nin nuu Kutelle tik.
Lakini alikemewa kwa ajili ya ukosai wake. Punda aliyekuwa bubu akiongea katika sauti ya binadamu, alizuia wazimu wa nabii.
17 Anit alele masin igunanghari sa nmyen. Imasin awutari na ufunu nwesse. Nsirti mi bibitari ina ceo bara inunghe. (questioned)
Watu hawa ni kama chemichemi zisizo na maji. Ni kama mawingu yanayotoweshwa na upepo. Wingu zito limehifadhiwa kwa ajili yao.
18 Idi su uliru nin tikunan nati tiham. Idin wunu anit nin tok nidowo. Idin anit ale na ipizira isurto nacara na lenge na issosin nan nya ntanu.
Huongea kwa majivuno matupu. Huwaangusha watu kwa tamaa ya mwili. Huwalaghai watu wanaojaribu kuwakimbia wale waishio katika ukosaji.
19 Idin su nani uliru nworu ima lissosin li taop, ama inung ati mine acin nitwa ni nanzanghari. Bara unit kucin nimon ilenge na ileo likara nere.
Huwaahidi watu uhuru wakati wao wenyewe ni watumwa wa dhambi ya ufisadi. Maana mwanadamu hufanywa kuwa mtumwa wa kile kinachomtawala.
20 Ulenge na a surto nacara nnanu in yii nnuzun in yiru nakilari nin nan tucu Yisa Kristi, amini kuri a kpilla nan nya nnanu une tutung, uso nani unanu unanzang ule na nkatin un burne.
Yeye ajiepushaye na uchafu wa ulimwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu Kristo, na kisha akarudia uchafu huo tena, hali yake huwa mbaya kuliko ile ya mwanzo.
21 Uwa kutunu nani nworu na iwa ma na yinin libo katwa kacine nworu na iwa ma na yinin libo katwa kacine nworu iyinin i kura i kpilya timuro mine kiti nduka ulau ule na iwa nani.
Ingefaa watu hao kama wasingeifahamu njia ya haki kuliko kuifahamu na kisha tena kuziacha amri takatifu walizopewa.
22 Ule uliru tigoldoe kidegenere kiti mine: “Ka kau nkpilla kiti tilozo me. kuladu ko na isalsuna kunin nkpillla nan nya mboro.”
Mithali hii huwa na ukweli kwao. “mbwa huyarudia matapishi yake. Na nguruwe aliyeoshwa hurudi tena kwenye matope.”

< 2 Bitrus 2 >