< 1 Timothawus 4 >

1 Nene nfip Kutellẹ na bellin fwang, unaworo udu ubun amon anit ba sunu uyinnu sa uyenu, ini nibinai mine kiti nfip kirusuzo, nin madursu dursuzo nagbergenu,
Sasa Roho anasema waziwazi kwamba katika nyakati zijazo baadhi ya watu wataiacha imani na kuwa makini kusikiliza roho zidanganyazo na mafundisho ya kipepo yatakayofundishwa
2 Libau kinu nin karusuzo isaka ukpilizu mine.
katika uongo na unafiki. Dhamiri zao zitabadilishwa.
3 Ima wantinu usu zu nilugma, nin nli nimonli ille na Kutellẹ na ke, ilẹ na udin nizu nin ngodiya, nanya nale na ida iyinin kidene.
Watawazuia kuoa na kupokea vyakula ambavyo Mungu aliviumba vitumiwe kwa shukrani miongoni mwao waaminio na wenye kuijua kweli.
4 Bara vat nile imon na Kutellẹ nke icineari, tutun na imono duku ulle na iba nari ba asa isere nin godiya.
Kwa sababu kila kitu ambacho Mungu amekiumba ni chema. Hakuna ambacho tunapokea kwa shukrani kinastahili kukataliwa.
5 Idi lau bara na ina kusu inin nin nliru Kutellẹ nin lira.
Kwa sababu kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kwa njia ya maombi.
6 Asa ulizino linauna ile imone, uba so kucin kucine katwan Yisa Kristi, fe ulle na use liyisin nanya nyinnu sa uyenu, nin dofinu ndursuzu ucine na udofino.
Kama utayaweka mambo haya mbele ya ndugu, utakuwa mtumishi mzuri wa Yesu Kristo. Kwa sababu umestawishwa kwa maneno ya imani na kwa mafundisho mazuri ambayo umeyafuata.
7 Bara nani nari abin nawali nin nizogo Kutellẹ, shono liti unan so unan yiru nanya ndortu Kutellẹ.
Lakini zikatae hadithi za kidunia ambazo zinapendwa na wanawake wazee. Badala yake, jifunze mwenyewe katika utaua.
8 Ushonu liti caun nin kubi cing, imon vat caun nanya ndortu Kutellẹ, bara na uba ni ulai nyulele nin un cin dak.
Kwa maana mazoezi ya mwili yafaa kidogo, bali utauwa wafaa sana kwa mambo yote. Hutunza ahadi kwa maisha ya sasa na yale yajayo.
9 Uliru ulele ucineari, ubatina nworo vat nanit seru.
Ujumbe huu ni wakuaminiwa na unastahili kukubaliwa kabisa.
10 Unnere nta tidin niu nin nfo kidowo, bara tidin nin likara kibinai kiti Kutellẹ unan lai, ame unan tucu nanite vat massaman alle na iyinna sa uyenu.
Kwa kuwa ni kwa sababu hii tunataabika na kufanya kazi kwa bidii sana. Kwa kuwa tunao ujasiri katika Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, lakini hasa kwa waaminio.
11 Dursuzo nani ilẹ imone, uti nani isu.
Uyaseme na kuyafundisha mambo haya.
12 Na umon nwa yassu fi bara na udin fitu ba, bara nani sọ imon yenju kiti na nan nyinnu sa uyenu nanya nliru, nin nyiru ncin, nin nsu, uyinnu sa uyenu, a kibinai kilau.
Mtu yeyote asiudharau ujana wako. Badala yake, uwe mfano kwa wote waaminio, katika usemi, mwenendo, upendo, uaminifu, na usafi.
13 Ceo kibinai fe nyenju ninyerte, nin nwunu natuf, a udursuzu nimon udu kubi ko na mba dak.
Mpaka nitakapokuja, dumu katika kusoma, katika kuonya, na katika kufundisha.
14 Na uwa fillin uda diu ulle na udumun ba, na iwa bellin udumun, ligowe nin tardu nacara nadidia kutyin nliran.
Usiipuuze karama iliyomo ndani yako, ambayo ulipewa kupitia unabii, kwa kuwekewa mikono na wazee.
15 Dirtino nsu nile imone, nā litife nan nya ninig, bara anit vat nan yene uli nbunfe.
Uyajali mambo haya. Ishi katika hayo ili kukua kwako kuwe dhahiri kwa watu wote. Zingatia sana mwenendo wako na mafundisho.
16 Cinna seng nin litife, nin ndursuzu fe, dirtino nanya nile imone, bara usu nane ba tifi use utucu litife nin nale na idin lanzufi.
Dumu katika mambo haya. Maana kwa kufanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.

< 1 Timothawus 4 >