< 1 Bitrus 5 >

1 Ndin wunu na kune ale na idi nan nya mine atuf, meng wang ukuneari nafo anunghe a ushaida nniu in Kristi, a tutung, yita nan nya ngongong mongo na mima dak.
Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, mimi, niliye mzee mwenzao na shahidi wa mateso ya Kristo, na ambaye vile vile ni mshirika katika utukufu utakaodhihirika.
2 Bara nani, ndin wunnun minu atuf a kune, sun libya nnono Kutelle na idi nan nya mine. Yenjen nani gegeme, na bara uso minu gbas, ama bara ita nibinai ku, nafo usu Kutelle. Yenje nani gegeme, na bara ikurfung nsalin kidegen ba, ama nin yinnu.
Kwa hiyo, ninawatia moyo ninyi wazee, lichungeni kundi la Mungu lililo miongoni mwenu. Liangalieni, sio kwa sababu mnapaswa, lakini kwa sababu mnatamani hivyo, kulingana na Mungu. Liaangalieni, sio kwa kupenda pesa za aibu, lakini kwa kupenda.
3 Na uwa so nafo cikilari kitene na lenge na udi libya mine ba, ama so imon in yenju kiti mine.
Msijifanye mabwana juu ya watu waliyochini ya uangalizi wenu, lakini iweni mfano katika kundi.
4 Asa Idurso ugo na nan libya we, ima seru litap ligogong nin salin nshaltu.
Pale Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu isiyopoteza uthamani wake.
5 Nan nya libo lirume, anung uzaman, nonkon atimine kiti na kukune. Vat mine teren atimine nin nibinai nisheu isu ati mine nitwa, bara Kutelle nari unan tikunan liti ama unan nonku liti din se ubunu Kutelle.
Vilevile, nanyi vijana wadogo, nyenyekeni kwa wakubwa wenu. Ninyi nyote, uvaeni unyenyekevu na kuhudumiana ninyi kwa ninyi, kwani Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa neema wanyenyekevu.
6 Bara nani nonkon atimine kadas ncara likara Kutelle mboti anan ghatinminu kubin cin dak.
Kwa hiyo nyenyekeni chini ya mkono wa Mungu uliyo hodari ili kwamba awainue kwa wakati wake.
7 Toltunong imon nsu mine vat nabunume, bara a ceo kibinai nati mine.
Mwekeeni fadhaa zenu juu yake, kwa sababu anawajali.
8 Yitan nin nonku nati, yitan nin yenju. Unan nivira mine kugbergenue -masin nafo zaka unan kuculu adin galu akilo buu, npiru nlenge na ama li.
Iweni na busara, iweni waangalifu. Yule adui yenu, ibilisi, kama simba aungurumaye ananyatia, akisaka mtu wa kumrarua.
9 Yisinan ghe nin nakara. Yitan nin nakara nan nya in yinnu sa uyenu mine. Yinnon nworu nuana mine nan nyan yie din tecu ayi nin nimusun nniu uremere.
Simameni kinyume chake. Kuweni na nguvu katika imani yenu. Mkijua kwamba ndugu zenu walioko ulimwenguni wanapitia mateso kama hayo.
10 Kimal na ima niu nin kubi bat, Kutelle nvat nbolu nanit, alenge na na yicila minu nan nya ngongong me m sali ligang nan nyan Kristi, ma kulu minu, ma ciu minu, amnin ni munu akara. (aiōnios g166)
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios g166)
11 Kiti mere tigo maso sa ligang. Uso nani. (aiōn g165)
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn g165)
12 Meng yira Silvanisu ku nafo gwana nciu kibinai, nmini na nyertin minu bat unuzu kit me, Nwunun minu atuf nminin nduro minu nworu imon ilenge na nna nyerti minu kidegen nbolu kutelleari. Yisinan kitene ni ning.
Namthamini Silwano kama ndugu mwaminifu, na nimewaandikia ninyi kwa ufupi kupitia kwake. Ninawatia moyo na ninashuhudia kwamba nilichokiandika ni neema ya kweli ya Mungu. Simameni ndani yake.
13 Kishono kanga na kidi in Babila, ulenge na ina fere ghe ligowe nan ghinu, din lissu minu; a Marku, usaun nin, din lissu minu.
Waamini waliloko Babeli, waliochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu, na Marko mwanangu, anawasalimu.
14 Lisson ati mine nin nilip in nyukunu tinnu un su. na lissosin lisheu so nan ghinu vat anung na idi nan nyan Kristi.
Salimianeni kila mmoja kwa busu la upendo. Na amani iwe kwenu mliondani ya Kristo.

< 1 Bitrus 5 >