< 1 Bitrus 5 >

1 Ndin wunu na kune ale na idi nan nya mine atuf, meng wang ukuneari nafo anunghe a ushaida nniu in Kristi, a tutung, yita nan nya ngongong mongo na mima dak.
Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:
2 Bara nani, ndin wunnun minu atuf a kune, sun libya nnono Kutelle na idi nan nya mine. Yenjen nani gegeme, na bara uso minu gbas, ama bara ita nibinai ku, nafo usu Kutelle. Yenje nani gegeme, na bara ikurfung nsalin kidegen ba, ama nin yinnu.
lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
3 Na uwa so nafo cikilari kitene na lenge na udi libya mine ba, ama so imon in yenju kiti mine.
Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.
4 Asa Idurso ugo na nan libya we, ima seru litap ligogong nin salin nshaltu.
Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.
5 Nan nya libo lirume, anung uzaman, nonkon atimine kiti na kukune. Vat mine teren atimine nin nibinai nisheu isu ati mine nitwa, bara Kutelle nari unan tikunan liti ama unan nonku liti din se ubunu Kutelle.
Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa, “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
6 Bara nani nonkon atimine kadas ncara likara Kutelle mboti anan ghatinminu kubin cin dak.
Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.
7 Toltunong imon nsu mine vat nabunume, bara a ceo kibinai nati mine.
Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.
8 Yitan nin nonku nati, yitan nin yenju. Unan nivira mine kugbergenue -masin nafo zaka unan kuculu adin galu akilo buu, npiru nlenge na ama li.
Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.
9 Yisinan ghe nin nakara. Yitan nin nakara nan nya in yinnu sa uyenu mine. Yinnon nworu nuana mine nan nyan yie din tecu ayi nin nimusun nniu uremere.
Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.
10 Kimal na ima niu nin kubi bat, Kutelle nvat nbolu nanit, alenge na na yicila minu nan nya ngongong me m sali ligang nan nyan Kristi, ma kulu minu, ma ciu minu, amnin ni munu akara. (aiōnios g166)
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
11 Kiti mere tigo maso sa ligang. Uso nani. (aiōn g165)
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
12 Meng yira Silvanisu ku nafo gwana nciu kibinai, nmini na nyertin minu bat unuzu kit me, Nwunun minu atuf nminin nduro minu nworu imon ilenge na nna nyerti minu kidegen nbolu kutelleari. Yisinan kitene ni ning.
Kwa msaada wa Silvano, ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
13 Kishono kanga na kidi in Babila, ulenge na ina fere ghe ligowe nan ghinu, din lissu minu; a Marku, usaun nin, din lissu minu.
Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.
14 Lisson ati mine nin nilip in nyukunu tinnu un su. na lissosin lisheu so nan ghinu vat anung na idi nan nyan Kristi.
Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.

< 1 Bitrus 5 >