< 1 Yuhana 4 >

1 Kinnayi, na iwa yinin ni yeme fip ba, bara nanin dumuzunan koyeme nfip inin yene sa min Kutelleri, bara among anan kinu madk gbardan inani malu nuzu udu nanya nye.
Wapendwa, msiiamini kila roho, lakini zijaribuni roho muone kama zinatokana na Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea duniani.
2 Kikanere ima yinu Nfip Kutelle - nfip mona miyina Yesu Kristi na dak nanya kidawo minare min Kutelle.
Kwa hili mtamjua Roho wa Mungu - kila roho itakayokiri kuwa Yesu Kristo amekuja katika mwili ni ya Mungu,
3 Nin vat nfip mona miyinna nin Yesu ba na min Kutelleri ba. Monere infip ni vira Kristi, mona ina malin lanzu adin chinu, amin di nanya inye nene.
na kila roho isiyomkiri Yesu si ya Mungu. Hii ni roho ya mpinga kristo, ambayo mliyoisikia kuwa inakuja, na sasa tayari iko duniani.
4 Anun un Kutelleri, nono ni nibebene, inamalin katu likara mine, bara ame ulena adi nanya bit akatin likara inle na adi nanya inye.
Ninyi ni wa Mungu, watoto wapendwa, na mmekwisha washinda kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika ulimwengu.
5 Inin anan inyeri di, bara nani ilemon na ibele in inyeri di, uye din latiszu nanin.
Wao ni wa ulimwengu, kwa hiyo wanachokisema ni cha ulimwengu, na ulimwengu unawasikiliza.
6 Arik anan Kutelleri. Ulena yiru Kutelle ama latiszu nari. Bara nanere tima yinu infip min kidegen nin infip min kinu.
Sisi ni wa Mungu. Yeye amjuaye Mungu hutusikiliza sisi. Yeye asiye wa Mungu hawezi kutusikiliza. Katika hili tunajua roho wa kweli na roho wa uongo.
7 Kinnayi, suu kogha ku ukauna, bara Kutelle ukaunari, vat ulena adini ukauna ina maru ghe kiti Kutelleri ani yiru Kutelle.
Wapendwa, tupendane sisi kwa sisi, kwa vile upendo ni wa Mungu, na kila mmoja apendaye amezaliwa na Mungu na kumjua Mungu.
8 Unit ulena adin suu ukauna ba na ayiru Kutelle ba, bara Kutelle ukaunari.
Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.
9 Nani ukauna Kutellere ana durso nari, Kutelle na tuu gono me kirum nanya inye ti nan se ulau nuzu me.
Katika hili pendo la Mungu lilifunuliwa miongoni mwetu, kwamba Mungu alimtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni ili tuishi kupitia yeye.
10 Ai ukaunere ule, na arike ti din kauna Kutelle, amere na din suu bit, amini na tuu gono me bara alapi bit.
Katika hili pendo, si kwamba tulimpenda Mungu, lakini yeye alitupenda, na akamtuma Mwanawe awe fidia ya dhambi zetu.
11 Knnayi, andi Kutelle din suu bit kang, ariki wang tisu usuu nwana bit.
Wapendwa, ikiwa Mungu alitupenda sisi, vile vile tunapaswa kupendana sisi kwa sisi.
12 Na umomg nayene kutelle ba, andi tidinin suu li nwana bit Kutelle ma soo nanya bite nin usuu me mayitu nanya bit.
Hakuna hata mmoja aliyemuona Mungu. Kama tukipendana sisi kwa sisi, Mungu anakaa ndani yetu na pendo lake limekamilika ndani yetu.
13 Bara nanere tiyino tidi nanya me ame nanya bit, bara ana ni nari Nfip mi lau.
Katika hili tunajua kuwa tunakaa ndani yake na yeye ndani yetu, kwa sababu ametupa Roho wake.
14 Tina yene tinani ta suu ushaida ucife na tuu gone ayita unan tucu inye.
Na tumeona na kushuhudia kuwa Baba amemtuma Mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.
15 Vat ulena ayina Yesu gono Kutelleri, Kutelle di nanya me ame ma di nanya Kutelle.
Kila anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anakaa ndani yake na yeye ndani ya Mungu.
16 Tiyiru nin yinu sauyenu usuu me na Kutelle dimong nanya bi. Kutelle ukaunari, ulena adini ukauna ama suo nanya me, Kutelle ma suu nanya me.
Na tunajua na kuamini upendo alio nao Mungu ndani yetu. Mungu ni pendo, na yeye anayekaa ndani ya upendo anakaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.
17 Ulel usuware mali tii likara nanya bit, tinan yita nikibinai salin feu mbungme nliri mawucuwuce, bara na adi, nanere tidi nanya nye.
Katika pendo hili limekwisha kamilishwa kati yetu, ili tuwe na ujasiri siku ya hukumu, kwa sababu kama yeye alivyo, na sisi ndivyo tulivyo katika ulimwenngu huu.
18 Na ifeu di kiti nsuu ba. Bara usuu likar din kuo infeu piit, bara infeu di kusarin kpizu. Bara ulena adinin infeu na adini likara kitin suu ba.
Hakuna hofu ndani ya pendo. Lakini pendo kamili huitupa hofu nje, kwa sababu hofu huhusiana na hukumu. Lakini yeye aogopaye hajakamilishwa katika pendo.
19 Tidinin suu bara Kutelle na chizu ussu bite.
Tunapenda kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20 Andi umong woro, “Adini suu Kutelle” amine nari gwaname, ame unan kinuwari. Bara ulana adinin suu gwana me ba naadin yejugye, iyizari ama yitu nin suu Kutelle ulena asa tabina uyenugye ba.
Ikiwa mmoja atasema, “Nampenda Mungu” lakini anamchukia ndugu yake, ni mwongo. Kwa sababu asiyempenda ndugu yake, anayemuona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamuona.
21 Tone tinare tidokoki tona tina se kitime: Ulena adinin suu Kutelle doleri ayita nin suu gwana me.
Na hii ndiyo amri tuliyo nayo kutoka kwake: Yeyote ampendaye Mungu, anapaswa kumpenda ndugu yake pia.

< 1 Yuhana 4 >