< Tiito 2 >

1 Neke uve ghajove ghala ghanoghilutana na njovele ja kwitikila.
Lakini wewe yaseme yale yanayoendana na maelekezo ya kuaminika.
2 Avasehe vavisaghe vanya lujisio, vanovikulolelela vanya luhala vanya lwitiko lunono, mulughano na mulugudo.
Wazee wawe na kiasi, heshima, busara, imani safi, katika upendo, na katika uvumilivu.
3 Ene ndiiki navakijuva avagojo vavisaghe namaghendele ghanoghikumwiktika uNguluve valekaghe kuva vadesi. valekaghe kuuva vaghasi.
Vilevile wanawake wazee lazima daima wajioneshe wao wenyewe kama wenye kujiheshimu, na sio wasengenyaji. Lazima wasiwe watumwa wa pombe.
4 Vanoghile kuvulanisia sino nofu mulwakuvavunga avakijuuva avajeleela kukuvaghana avaghosi vaave navaana vaave.
Wanapaswa kufundisha yaliyo mazuri ili kuwaandaa wasichana kwa busara kuwapenda waume zao na watoto wao.
5 Vanoghiile kukuvavulanisia kuva vakola. vagholofu, valolelesi vanofu vamakaja ghaave, navitiki kuvaghosi vaavo. luvavaghile kuvomba imbombo isi neke kuti iliso lwa Nguluve nalingabenapulwaghe.
Wanapaswa kuwafundisha kuwa na busara, wasafi, watunzaji wazuri wa nyumba zao, na watii kwa waume zao wenyewe. Inawalazimu kufanya mambo haya ili kwamba neno la Mungu lisitukanwe.
6 Enendiiki, muvakangasiaghe inumbula avasoleka vavisaghe vanyakulolelela.
katika namna iyo hiyo, watieni moyo vijana wa kiume wawe na busara.
7 musila soni muvisaghe kuhwani mum'bombo inofu; napanomuvulanisia muhufyaghe uvwakyang'ani nuvunywilifu.
Katika njia zote jiwekeni wenyewe kuwa mfano katika kazi nzuri; na mfundishapo, onesheni uadilifu na heshima.
8 jovagha imhola isinya vwumi, neke kuti ghwoghwoni junoisigha ajejesivwuaghe lwakuva asila livivi ilyakujova mulyusue.
Ongeeni ujumbe wenye afya na usio na dosari, ili kwamba yeyote apingaye aaibishwe kwa sababu hana baya la kusema juu yetu.
9 avasung'ua navitiki avatwa vaavo kwa kila munhu. vaghanile kukuvahovosia kange valekaghe kudaling'ana navo. navanoghile kulyasa. pepano
Watumwa na wawatii mabwana zao katika kila kitu. Wanapaswa kuwafurahisha na sio kubishana nao.
10 vanoghiile kusona ulwitiko lunono lwoni neke kuti musila sooni mujovaghe imbulanisio situ kuhusu uNguluve umpoki ghwitu.
Hawapaswi kuiba. Badala yake, wanapaswa kuonesha imani yote nzuri ili kwamba katika njia zote wayapambe mafundisho yetu kumhusu Mungu mwokozi wetu.
11 ulwakuva ulusungu lwa Nguluve jihufisie ku vanhu vooni. luhuvisie kukana isiyo sino nasa Nguluve nulunoghelua lwa isi.
Kwa kuwa neema ya Mungu imeonekana kwa watu wote.
12 lutukuvulanisia kukukala kwa kulolelela, nikyang'ani, namusila sino sa Nguluve mun'siki ughu. (aiōn g165)
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
13 Un'siki ghunotuhuvila kukwupila uluhuvisio lwitu ulunya uluvoneke lwa vwimike vwa Nguluve ghwitu um'baha numpoki ghwitu uYesu Kilisite.
Wakati tunatarajia kupokea tumaini letu lenye baraka, mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 UYesu alitavwile uvwumi vwake jujuo kuti neke atupoke kuhuma muvuhosi nakutuvalasia, kwaajili jaake avanhu vanovinoghua kuvomba imbombo vunofu.
Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili kutukomboa kutoka katika uasi na kutufanya wasafi, kwa ajili yake, watu maalumu walio na hamu ya kufanya kazi nzuri.
15 Ughajove nakukughaghinia agha. dalikila kuvutavulua vwoni nungitikaghe umunhu ghwoghwoni kukubenapula.
Yaseme na kuyasisitiza mambo haya. Kemea kwa mamlaka yote. Usikubali mtu yeyote akupuuze.

< Tiito 2 >