< Tiito 1 >

1 Ikalata iji jihumile kulyune ne Paulo ne m'bombi ghwa Nguluve, kange ne n'sung'hua ghwa Yeesu Kilisite. Une nisung'ilue nivalungike avabaghulua va Nguluve mulwitiko namuvukagusi uvwa kyang'ani vuno vukuvalongosia mumaghendele amimike.
Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo, kwa imani ya wateule wa Mungu na maarifa ya kweli iletayo utauwa.
2 valinuluhuvio ulwa vumi uvwa kisila na kusila vuno uNguluve alyalaghile kuhuma iisi ye jikyale kupelua umwene naijova uvudesi. (aiōnios g166)
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
3 Mun'siki ghwa Nguluve ghuno ghufikile, alyavonesisie ilisio lyake mu mhola jinoalyamelile une kudalikila. jikanighanile kuvomba ndiki kululaghilo lya Nguluve mpoki ghwitu.
Kwa wakati muafaka, alilifunua neno lake katika ujumbe alionipa mimi kuhubiri. Ilinipasa kufanya hivi kwa amri ya Mungu mwokozi wetu.
4 kwa Tiito, umwana ghwa lweli mu lwitiko lwitu. ulusungu, ikisa nulutengano kuhuma kwa Nguluve Nhaata nu Yesu Kiisite mpoki ghwitu.
Kwa Tito, mwana wa kweli katika imani yetu. Neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Yesu Kristo mwokozi wetu.
5 mu uluo nikakulekile kuti, usitende sooni sinasikao kamilike na kuvika avalolesi va tembile mumakaja ghoni ndavule finonikakulaghiile.
Kwa sababu hii nalikuacha Krete, kwamba uyatengeneze mambo yote yaliyokuwa hayajakamilika na kuweka wazee wa kanisa kwa kila mji kama nilivyokuagiza.
6 umulolesi ghwa tembile avaghile kuva kisila lupiko, mughosi ghwa n'dala jumo, unyavana vitiki vanonavilolela na vasila lwitiki.
Mzee wa kanisa lazima asiwe na lawama, mme wa mke mmoja, aliye na watoto waaminifu wasioshuhudiwa mabaya au wasio na nidhamu.
7 luvaghile kuvalolesi ndavule umwimilisi ghwa likaaja lwa Nguluve, alekaghe piva nulupiko. nangavisaghe munhu ghwa njeghelo au juno naikujisigha, nangavisaghe munhu ghwa kutengulisia uvuhovesi kange nagavisaghe mhojofu.
Ni muhimu kwa mwangalizi, kama msimamizi wa nyumba ya Mungu, asiwe na lawama. Asiwe mtu wa kelele au asiye jizuia. Lazima asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi, asiwe mtu wa kusababisha ugomvi, na asiwe mwenye tamaa.
8 looli avisaghe ntengeleli, junoikela inofu, avisaghe nyaluhala lunolukwiliine, mugholofu juno ikum'bingilila uNguluve nyakughela.
Badala yake: awe mtu mkaribishaji, apendaye wema. Lazima awe mtu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mungu, anayejitawala mwenyewe.
9 junoiwesia kukwimilia imbulanisio sa lweli sinosivulanisivue, neke awesie kuvakangasia mu mbulanisio inono juno iwesia kukuvavunga vooni vanovikunkana.
Awezaye kusimamia mafundisho ya kweli yaliyofundishwa, ili aweze kuwatia moyo kwa mafundisho mazuri na awezaye kuwarekebisha wote wanaompinga.
10 ulwakuva kulinavahosi vinga, vinga vala vano navakundi. amasio ghavanave gheghakijasu, visyanga na kukuvalongosia avanhu muvusyovi.
Kwa kuwa kuna waasi wengi, hasa wale wa tohara. Maneno yao ni ya upuuzi. Wanadanganya na kuwaongoza watu katika upotovu.
11 luvaghile kukuvasigha avanhu ndavule avuo. vivulanisia ghala ghano naghavavaghile kuluvumbulilo lwa soni nakunangania ikaja soni.
Ni lazima kuwazuia watu kama hao. Wanafundisha yale wasiyopaswa kwa faida za aibu na kuharibu familia zote.
12 jumonga muvanave, umunhu unyaluhala alyatiile,”avakelete valinuvudesi vusila vusililo, vahene fikanu, voolo na vanyamwojo,”
Mmoja wao, mtu mwenye busara, alisema, “Wakrete wana uongo usio na mwisho, wabaya na wanyama wa hatari, wavivu na walafi.”
13 injovele iji je ja lweli, lino uvasighe ku ngufu neke kuti wawesie kujova ilweli mu lwitiko.
Haya maelezo ni ya kweli, kwa hiyo uwazuie kwa nguvu ili kwamba waweze kusema kweli katika imani.
14 uleke kupulikisia ifipango fino nafyalweli ifya kiyahudi ni ndaghilo sa vanhu, vano vavulekile uvunyakyang'ani.
Wewe usijihusishe na hadithi zisizo za kweli za Kiyahudi au amri za watu, ambao hurudisha nyuma ukweli.
15 kuvanhu voni vano valogholofu, ifinu fyoni fivalasivue, looli kuvala voni vano vanavano na valamafu kange navitiki, ifinhu fyoni filamafu. ulwakuva amasaghe ghave nuluvumbulilo lwave lulamafu.
Kwa wote walio safi, vitu vyote ni visafi. Lakini kwa wote walio wachafu na wasioamini, hakuna kilicho kisafi. Kwa kuwa mawazo yao na dhamira zao zimechafuliwa.
16 vikujova veene kuti vamanyile unguluve, neke kumaghendele ghaave vikun'kaana. avuo vahosi kange navitiki. navanoghile nambe mumbombo jimonga inofu.
Wanakiri kumjua Mungu, lakini kwa matendo yao wanamkana. Wao ni waovu na wasiotii. Hawakuthibitishwa kwa tendo lolote jema.

< Tiito 1 >