< Ulusetulilo 3 >

1 Kwa munyamola ughwa lukong'ano ilya ku Sardi lemba: 'Amasio ghajula juno akalolile imhepo sila lekela lubale isa Nguluve ni nondue lekela lubale. “Nikaguile kino uvombile. Uli nulughinio ulwakuva mwumi, looli uli-mfue.
Kwa malaika wa kanisa la Sardi andika: 'Maneno ya yule anayeshikilia zile roho saba za Mungu na nyota saba. “Najua ambacho umefanya. Una sifa ya kuwa hai, lakini u-mfu.
2 Simuka nakukangasia sino sisighile, looli ghasighile padebe pifua, ulwakuva nanikasivwene imbombo sako kuuti sikwiline pa maso gha Nguluve ghwango.
Amka na kuimarisha yaliyosalia, lakini yako karibu kufa, kwa sababu sikuyaona matendo yako yamekamilika machoni pa Mungu wangu.
3 Lino, kumbukagha, ghala ghano ukupile na kupulika. Ughalekaghe na kulata. Looli nave naghusisimuka, nikwisa hene miiji, nakange nungakagule n'siki muki ghuno kwande nikwisa kulyuve.
Kwa hiyo, kumbuka, yale uliyoyapokea na kusikia. Yatii na kutubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwivi, na hutajua saa ipi nitakayokuja juu yako.
4 Looli kweghale amatavua madebe agha vaanhu ku Sardi vano navakanyasisie amenda ghavanave. vighendagha palikimo numue, vafwalile amenda amavalafu, ulwakuva vanoghile.
Lakini kuna majina machache ya watu katika Sardi ambao hawakuchafua nguo zao. Watatembea pamoja nami, wamevaa nguo nyeupe, kwa sababu wanastahili.
5 Umwene juno ilefia ifwikua amenda amavalafu, nambe padebe nanisimia, ilitavua lya mwene kuhuma mukitabu kya vwumi, kange nikulitambula ilitavua lya mwene pavulongolo pa Nhata ghwango, na pavulongolo pavanyamola.
Yeye ashindaye atavikwa mavazi meupe, na kamwe sitalifuta jina lake kutoka katika kitabu cha uzima, na nitalitaja jina lake mbele ya Baba yangu, na mbele ya malaika.
6 Nave ulinimbughulutu, pulikkisia u Mhepo ndavule ikusivula ing'ong'ano.”
Ukiwa na sikio, sikiliza Roho ayaambiavyo makanisa.”
7 “Kwa munyamola ughwa lukong'ano ulwa ku Philadefia lemba: amasio gha jula mwimike kanga kyang'ani - juno alinifidindulilo fya Daudi, idindula nakwale kange juno idinda, idinda nakwale juno idindula.
“Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: Maneno ya aliye mtakatifu na kweli - aliye na funguo za Daudi, hufungua na hakuna afungaye, hufunga na hakuna awezaye kufungua.
8 Nikagwile kino uvombile. Lolaa, nikubikile pavulongolo palyuve ghuno ghudindwike ghuno nakwale juno idinda. Nikaguile kuuti uli ningufu ndebe, looli ulyitike ilisio lyango kange kange nukanile ilitavua lyango.
Najua ambacho umetenda. Tazama, nimekuwekea mbele yako mlango uliofunguliwa ambao hakuna awezaye kuufunga. Najua unazo nguvu kidogo, lakini umelitii neno langu na hujalikana jina langu.
9 Lolagha! Vooni valinyumba ja kufunyila ja setano, vala vano viiti va Yahudi kumbe navevene, pa uluo videsania. Nikuvavika vise kukufunya pavulongolo pa maghulu ghako, kange vikagula kuuti nikakughanile.
Angalia! Wote walio wa sinagogi la shetani, wale wasemao wao ni Wayahudi na kumbe siyo, badala yake wanadanganya. Nitawafanya waje na kusujudu mbele ya miguu yako, na watajua ya kuwa nilikupenda.
10 Ulwakuva ugadilile ululaghilo lwango nu ligudo ulwa vupesie, nikukudimagha kange mufivalilo fyako ifya kughelua kino kikwisa mu iisi jooni, kukuvaghela vala vooni vano vikukala mu iisi.
Kwa kuwa umetunza amri yangu kwa uvumilivu wa uthabiti, nitakulinda pia katika saa yako ya kujaribiwa ambayo inakuja katika ulimwengu wote, kuwajaribu wale wote wanaoishi katika nchi.
11 Nikwisa ng'aning'ani. Gadililagha kyongo kila kino ulinakyo ulwakuuti napangavisaghe umuunhu ughwa kutola ingela jako.
Naja upesi. Shikilia sana kile ulichonacho ili asiwepo mtu wa kuitwaa taji yako.
12 Nikum'bika umwene juno ilefia kuva manda munyumba inyimike ijakufunyila ija Nguluve ghwango, kange naalyahuma kunji lusiku. Nilemba kwa mwene ilituvua lya Nguluve ghwango, ilitavua ilya likaja lya Nguluve ghango (Yerusalemu imia, lino likwika pasi kuhuma kukyanya kwa Nguluve ghwango), nilitavua lyango ilipia.
Nitamfanya yeye ashindaye kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, na hatatoka nje kamwe. Nitaliandika kwake jina la Mungu wangu, jina la mji wa Mungu wangu (Yerusalemu mpya, ushukao chini toka mbinguni kwa Mungu wangu), na jina langu jipya.
13 Umwene juno ali nimbughulutu, ghwe apulikaghe kino u Mhepo ikusivula ing'ano.'
Yeye aliye na sikio, na asikie ambacho Roho anasema kwa makanisa.'
14 “Kwa munyamola ghwa lukong'ano lwa Laodikia lemba: 'Amasio ghajula juno Amina, juno ihuvilua nu mwolesi ghwa kyang'ani, n'temi muvupelua vwa Nguluve.
“Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika: 'Maneno yake aliye Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu, mtawala juu ya uumbaji wa Mungu.
15 Nikaguile kino uvombile, kuuti uve nuli n'suvusu nambe m'pio, ninoghilue kuuti usavisagha n'suvusu nambe mpio!
Najua ambacho umefanya, na kwamba wewe si baridi wala moto, natamani kwamba ungekuwa wa baridi au moto!
16 Pauluo, ulwakuva uve ulimfukefu, nulimpio nambe nulinsuvusu, nikukusyetula uhume mumulomo ghwngo.
Hivyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu, si moto wala baridi, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
17 Ulwakuva ghwiiti, “Une nili mofu, nili nukyuma kiinga, nanilonda nambe kimonga.” Looli ni kagwile kuuti uve ulimughaji, kyongo, ghwa kusukunalilua, uvugholofu, um'bofu ghwa iisi.
Kwa kuwa unasema, “Mimi ni tajiri, nimekuwa na mali nyingi, na sihitaji chochote.” Lakini hujui kwamba wewe ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na uchi.
18 Pulikisyagha uluvungo lwango: ghulagha kulyune isahabu jino jisukilue nu mwoto ulwakuuti uve mofu, na menda amavalafu ghano ghilangalenga ulwakuuti ghufwasiaghe juve kange ningahuvilaghe isooni isa vufula vwako na mafuta ghako paka mu maso ghako ukagula kulola.
Sikiliza ushauri kwangu: Nunua kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili upate kuwa tajiri, na nguo nyeupe za kumetameta ili ujivike mwenyewe na usioneshe aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka katika macho yako upate kuona.
19 Ghweni juno nimughanile, nikumulungika na pikum'bulanisia ndavule lunoghile pikukala; lino, piva ghwa kyang'ani na pikulaata.
Kila nimpendaye, namwelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa hiyo, kuwa mkweli na kutubu.
20 Lolagha nimile pamuliango na kuhodesia. ghweni juno ipulika ilisio lyango na kudindula umulyango, nikwisa napikwingila munyumba ja mwene, napilia ikyakulia nu mwene ghwope palikimo nune.
Tazama nasimama katika mlango na kubisha. Yeyote asikiaye sauti yangu na kufungua mlango, nitakuja na kuingia nyumbani kwake, na kula chakula naye na yeye pamoja nami.
21 Umwene juno ilefia, nikumpela uvwa kyang'ani pikukala pasi palikimo nune pakyanya pakitengo kyango ikya vutua, ndavule une vule nikalefie na pikukala pasi palikimo nhu Nhata ghwango pakyanya pakitengo kya mwene kya vutua.
Yeye ashindaye, nitampa haki ya kukaa chini pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na kukaa chini pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
22 Umwene juno alinimbughulutu, apulikisyaghe kino u Mhepo ikusivula ing'ong'ano.”
Yeye aliye na sikio, na asikilize ambacho Roho ayaambia makanisa.”

< Ulusetulilo 3 >