< Ulusetulilo 22 +

1 Kange umunyamola akanisonile ikikogha kya malenga gha vwumi, amalenga ghakale ghing'ala ndavule ibingabinga. Ghakale ghisalalika kuhuma mukitengo kya vutua ikya Nguluve nikya Mwana Ng'olo.
Kisha malaika akanionesha mto wa maji ya uzima, maji yalikuwa ya mng'ao kama wa bilauri. Yalikuwa yakitiririka kutoka katika kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo
2 Kukilila pakate na kate pa mpulo ghwa likaja. Mulubale mukighavo paghulyale nu mpiki ghwa ughwa vwumi, ghuno ghukomile imeke kijigho kimo ni vili, kange ghukomile imeke kila mweesi. Amatundu gha m'piki vwimila vwa vupoki ughwa va panji.
Kupitia katikati ya mtaa wa mji. Katika kila pembe ya mto palikuwa na mti wa uzima, unaozaa aina kumi na mbili za matunda, na huzaa matunda kila mwezi. Majani ya mti ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
3 Kange napiliva nulughuno lwelyoni lula. Ikitengo ikya vutua ikya Nguluve ni kya Mwana Ng'olo kiva mun'kate mulikaja, navavombi va mwene viku m'bombelagha.
Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo kitakuwemo ndani ya mji, na watumishi wake watamtumikia.
4 Vikuvuvona uvweni vwa mwene, ni litavua lya mwene liva pakyanya pa fipelua fya vweni vuvanave.
Watamuona uso wake, na jina lake litakuwa juu ya vipaji vya nyuso zao.
5 Napiliva nikilo kange; nambe napiliva nuvufumbue vwa lumuli lwa tala nambe lijuva ulwakuva u Mutwa Nguluve imulika muvanave. Vope vitema kuvusila nakusila. (aiōn g165)
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
6 Umunyamola akam'bula, “Amasio agha ghakyang'haani kange lweli. Mutwa Nguluve ughwa mhepo ghwa vavili akamwomwola umunyamola ghwa mwene kuku vasona avavombi va mwene kino kihumila pavupipi”
Malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana Mungu wa roho za manabii alimtuma malaika wake kuwaonesha watumishi wake kitakachotokea hivi karibuni.”
7 “Lolagha! Nikwisa ng'aning'ani! Afunyilue umwene juno ileva amasio gha vavili avakitabu iiki.”
“Tazama! Ninakuja upesi! Amebarikiwa yeye anayeyatii maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
8 Une, Yohana, nejuno nilyapulike nakulola agha. Nilyatile nipulike na kughagha, nilyaghwile pasi june pavulongolo pamaghulu gha vanyamola kukufunya, umunyamola juno alyasonile iisi.
Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuona mambo haya. Nilipoyasikia na kuyaona, nilianguka chini mwenyewe mbele ya miguu ya malaika kumwabudu, malaika aliyenionesha mambo haya.
9 Akam'bula, “Nungavombaghe vule vule! Une nilim'bombinino, palikimo navanyalukolo vako avavili, palikimo navala vano vikughapulika amasio gha kitabu iiki. Ifunyaghe kwa Nguluve!”
Akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi mwenzako, pamoja na ndugu zako manabii, pamoja na wale wanaotii maneno ya kitabu hiki. Mwabudu Mungu!”
10 Akam'bula, “Nungakanyaghe umuhuli amasio amasio gha vuvili uvwa kitabu iiki, ulwakuva unsiki ghuseghelile.
Akaniambia, “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki, maana wakati umekaribia.
11 Unsila ghwa kyang'haani, ajighaghe kuva nsila ghwa kyang'haani. Juno nyali mumikalile, ajighaghe nyali mumikalile. Unyavwakyang'haani, ajighaghe kuva nuvwakyang'haani. juno mwimike, ajighaghe kuuva mwimike.
Asiye mwenye haki, aendelee kutokuwa mwenye haki. Ambaye ni mchafu kimaadili, na aendelee kuwa mchafu kimaadili. Mwenye haki, na aendelee kuwa mwenye haki. Aliye mtakatifu, na aendelee kuwa mtakatifu.”
12 “Lolagha! Nikwisa linolino. Uluhombo lwango lulipalikimo nune, kukumomba umuunhu ghweni kuling'ana nakino akavombile.
“Tazama! Naja upesi. Ujira wangu uko pamoja nami, kumlipa kila mmoja kulingana na alichokifanya.
13 Une ne Alfa kange Omega, ghwavutengulilo kange ghwa vusililo, vutengulilo kange vusililo.
Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14 Vafunyilue vala vano visuka amenda gha vanave ulwakuuti vave nuvutavulilua vwa kulia kuhuma mum'poki ghwa vwumi na pikilingila ilikaja kukilila pa mulyango.
Wamebarikiwa wale waoshao mavazi yao ili kwamba wapate haki ya kula kutoka katika mti wa uzima na kuuingia mji kupitia malangoni.
15 Kunji kuli mbua, vahavi, vavwafu, avabudi, vanofikufunya kufihwani, umuunhu ghweni juno inoghelua kange juno ikwolelela uvwolesi vwa vudesi
Nje kuna mbwa, wachawi, wazinzi, wauwaji, waabudu sanamu, na kila apendaye na ashuhudiaye ushahidi wa uongo.
16 Une, Yesu, nimwomwile umunyamola ghwango kukwolelela sooni isi ku ng'ong'ano. Une nili lilela ghwa vuholua vwa Daudi, Nondue ja Lwakilo jino jimulika.”
Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia kuhusu mambo haya kwa makanisa. Mimi ni mzizi wa uzao wa Daudi, Nyota ya Asubuhi ing'aayo.”
17 Umhepo nu Minja ghwa vutolani iiti, “Isa!” Ghoope juno ipulika ijova, “Isa!” Ghweni unya kyumilua, pe isaghe, nambe ghweni juno inoghelua, ghwe akave amalenga gha vwumi vuvule.
Roho na Bibi harusi asema, “Njoo!” Na yeye asikiaye aseme, “Njoo!” Yeyote aliye na kiu, na aje, na yeyote anayetamani, na apate maji ya uzima bure.
18 Nikumwolelela ghweni juno ipulika amasio gha vuvili ghwa kitabu iiki: Nave umuunhu ghweni ikwongelesia mu iisi, u Nguluve ikumwongelesiagha imumuko sino silembilue mukitabu iki.
Namshuhudia kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Kama yeyote ataongeza katika hayo, Mungu atamuongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19 Nave umuunhu ghweni ikughavusia amasio gha kitabu iiki ikya vuvili, u Nguluve ivusia pa vuvo vwamwene mum'piki ghwa vwumi na mulikaja ilyimike, lino imola salyene silembilue mun'kate mu kitabu iki.
Kama mtu yeyote atayaondoa maneno ya kitabu hiki cha unabii, Mungu ataondoa sehemu yake katika mti wa uzima na katika mji mtakatifu, ambayo habari zake zimeandikwa ndani ya kitabu hiki.
20 Umwene juno ikwolelela sooni isi ijova, “Ena!” Sikwisa linolino.” Ameni, Mutua Yesu!
Yeye ashuhudiaye mambo haya asema, “Ndiyo! Naja upesi.” Amina! Njoo, Bwana Yesu!
21 Ulusungu lwa Mutwa Yesu luvisaghe nu muunhu ghweeni. Ameni.
Neema ya Bwana Yesu iwe na kila mtu. Amina.

< Ulusetulilo 22 +