< Ulusetulilo 10 >

1 Kange nikam'bona umunyamola ujunge um'baha ikwika pasi kuhuma kukyanya. akadindilue mulifunde, kwelilyale ilin'ganga lyosi pa mutu ghwa mwene. Uvweni vwa mwene vukale ndavule inguzo ja mwoto.
Kisha nikaona malaika mwingine mkuu akishuka chini kutoka mbinguni. Alikuwa amefungwa katika wingu, na kulikuwa na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulikuwa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
2 Alyakolile iligombo ilidebe muluvoko lwa mwene lino likale livalulilue, najumwene akavikile ulughulu lwa mwene ulwa ndyo pakyanya pa nyanja nulughulu lwa mwene ulwa ng'ighi pakyanya pa iisi.
Alishikilia gombo dogo katika mkono wake lililokuwa limefunuliwa, naye aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na mguu wake wa kushoto juu ya nchi kavu.
3 Kange akatova ilisio ilivaha ndavule inyalupala pano jiguluma, nunsiki ghuno akatovile ilisio iragi lekela lubale sikagulwima.
Kisha alipaza sauti ya juu kama simba aungurumapo, na wakati alipopaza sauti radi saba ziliunguruma.
4 Unsiki iragi lekela lubale ysigulwime, nikale pipi pilemba, looli nikapulika ilisio kuhuma kukyanya liti, “Lolelagha sileke pihuma kino iragi lekela lubale sijovile. Ulekaghe pilemba.”
Wakati radi saba zilipounguruma, nilikuwa nakaribia kuandika, lakini nilisikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Tunza iwe siri kile ambacho radi saba zimesema. Usiiandike.”
5 Kange unyamola juno nikamwaghile imile pa kyanya pa nyanja na pa iisi, aliinuile uluvoko lwa mwene kukyanya
Kisha malaika niliyemwona amesimama juu ya bahari na nchi kavu, aliinua mkono wake juu mbinguni
6 nakukujigha kwajula juno ikukala kuvusila nakusila juno akapelilue kuvulanga ni fyoni fino mwefile, iisi ni finu fyoni fino mwefile, ninyanja ni finu fyoni fino mwefile: “Nakwekule kudila kange. (aiōn g165)
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn g165)
7 Looli mikighono kiila, unsiki umunyamola lekela lubale iliva pipi kukuva ulukelema lwa mwene, pe ulusyefu lwa Nguluve luliva lukwiline pano apulisie kuvavomba mbombo vamwene vavili.”
Lakini katika siku ile, wakati malaika wa saba atakapokaribia kupiga tarumbeta yake, ndipo siri ya Mungu itakuwa imetimizwa, kama alivyotangaza kwa watumishi wake manabii.”
8 Ilisio lino nikapulike kuhuma kukyanya likambula kange: “Lutagha, tola iligombo ilidebe lino livalulilue lino lilimuluvoko lwa munyamola juno imile pakyanya pa nyanja na pakyanya pa iisi.”
Sauti niliyosikia kutoka mbinguni iliniambia tena: “Nenda, chukua gombo dogo lililofunuliwa ambalo kiko katika mkono wa malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
9 Kange nikaluta kwa munyamola na pikum'bula anipele iligombo ilidebe. Akam'bula, “Tola iligombo kange ulie. Nikukuvika ilileme lyako live nuvuvafi, looli mumulomo gjwako liliva linofu ndavule uvwuki.”
Kisha nilikwenda kwa malaika na kumwambia anipe gombo dogo. Aliniambia, “Chukua gombo na ule. Litalifanya tumbo lako liwe na uchungu, lakini katika mdomo wako litakuwa tamu kama asali.”
10 Nikatoolile iligombo ilidebe kuhuma muluvo ulwa munyamola na kulia. likale linofu ndavule uvwuki mumulomo ghwango, looli ye nilile ilileme lyango likale nuvuvafi.
Nilichukua gombo dogo kutoka mkononi mwa malaika na kulila. Lilikuwa kitamu kama asali katika mdomo wangu, lakini baada ya kula, tumbo langu lilikuwa na uchungu.
11 Kange ilisio lika mbulile, “Lunoghile kuviila kange vwimila vwa vaanhu viinga, ikisina, injovele na vatua.”
Kisha baadhi ya sauti ziliniambia, “Unapaswa kutabiri tena kuhusu watu wengi, mataifa, lugha, na wafalme.”

< Ulusetulilo 10 >