< Mataayi 5 >

1 UYesu ye aghavwene amapungha ghala, akatogha pa kidunda, akikala. Avavulanisua vaake vakaluta pa mwene.
Yesu alipo uona umati, akaondoka na kuelekea Mlimani. Alipokuwa ameketi chini, wanafunzi wake wakaja kwake.
2 pe akategula kukuvavulanisia, akati,
Akafunua kinywa chake na akawafundisha, akisema,
3 “Vafunyilue vano vikumlonda uNguluvi kukila ifingi fyoni ulwakuva vilikwupila uluvonolo lwane ku vutwa uvwa kunyanya.
“Heri walio maskini wa roho maana ufalme wa mbinguni ni wao.
4 Vafunyilue vano vali nu lusukunalo, ulwakuva uNguluve ilikuvanyamasia.
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
5 Vafunyilue avakoola, ulwakuva uNguluve ilivapeela uvuhaasi uvwa iisi.
Heri wenye upole, maana watairithi nchi.
6 Vafunyilue vano visyukua kuvomba sino ikeela uNGuluve, ulwakuva uNguluve ilikuvapeela fyoni.
Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watashibishwa.
7 Vafunyilue vano vali nu lusungu, ulwakuva uNguluve ilikuvasungukila.
Heri wenye rehema maana hao watapata Rehema.
8 Vafunyilue vano vali nu mwojo um'balafu, ulwakuva vilikumwagha uNguluve.
Heri wenye moyo safi maana watamwona Mungu.
9 Vafunyilue vano vikusambania avaanhu, ulwakuava vitambulwagha vana va Nguluve.
Heri wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu.
10 Vafunyilue vano vipumusivua vwimila kuvomba sino ikeela uNguluve, ulwakuva uvutwa vwa kukyanya vwane.
Heri wale wanaoteswa kwa ajili ya haki, maana ufalme wa mbinguni ni wao.
11 Mufunyilue umue, avaanhu pano vikuvaligha, vikuvapumusia na kukuvajova fivi mu nyinga vwimila une.
Heri ninyi ambao watu watawatukana na kuwatesa, au kusema kila aina ya ubaya dhidi yenu kwa uongo kwa ajili yangu.
12 Muhovokaghe fiijo na kuuva nu lukeelo, ulwakuva uluvonolo lwinu kukyanya, lugome. Enendiiki nava vavili vano valyalongwile fye valyapumusivue.
Furahini na kushangilia, maana thawabu yenu ni kubwa juu mbinguni. Kwa kuwa hivi ndivyo watu walivyo watesa manabii walioishi kabla yenu.
13 Umue muli mwinyo ku vaanhu va mu iisi. Neke umwinyo ghungasupuke lwoni, ndepoonu ghuviika kiki kugomosia ulunoneesi? Umwinyo ughuo, naghunoghiile nambe padebe, looli ghuuva ghwa kutaghua, ghukanyweghe na vaanhu.
Ninyi ni chumvi ya dunia. Lakini kama chumvi imepoteza ladha yake, itawezaje kufanyika chumvi halisi tena? Kamwe haiwezi kuwa nzuri kwa kitu kingine chochote tena, isipokuwa ni kutupwa nje na kukanyagwa na miguu ya watu.
14 “Umue muli lumuli ku vaanhu va mu iisi. Ilikaaja lino lijengilue pakyanya pa kidunda, nalingifise.
Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojegwa juu ya mlima haufichiki.
15 Kange, vaanhu navikunga itaaala na kukupikila ni liteneka, looli viviika pa kyimilo kuuti jivamulikaghe vooni vano vali mu nyumba.
Wala watu hawawashi taa na kuweka chini ya kikapu, bali kwenye kinara, nayo yawaangaza wote walio ndani ya nyumba.
16 Fye enendiiki, ulumuli lwinu lumulikaghe, kuuti avaanhu valolaghe imbombo siinu inofu, mu uluo vamughiniaghe, uNhaata ghwinu juno ali kukyanya.
Acha nuru yenu iangaze mbele za watu kwa namna ambayo kwamba, wayaone matendo yenu mema na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.
17 “Mulekaghe kusaagha kuuti nisile kuvusia indeaghilo sa Moose, nambe imbulanisio isa vavilu, jeeje? Looli nisile kukwilanisia.
Msifikiri nimekuja kuiharibu sheria wala manabii. Sijaja kuharibu lakini kutimiza.
18 Kyang'haani nikuvavuula kuuti, uvulanga ni iisi pano fikyale kusovanika, nakwekale nambe akakelo kamo aka ndaghilo kano ndepoonu kivusivua, kuhanga fyoni fino uNguluve alyalaghile, fivombeke.
Kwa kweli nawaambia kwamba mpaka mbingu na dunia zote zipite hapana yodi moja wala nukta moja ya sheria itaondoshwa katika sheria hadi hapo kila kitu kitakapokuwa kimekwisha timizwa.
19 Lino umuunhu ghweni juno ideenya ululaghilo, nambe luno musaagha kuuti lulaghilo ludebe kukila sooni, kange ivulanisia avange kuvomba uluo, ujuo iiva n'debe fiijo mu nutwa vwa kukyanya. Neke umuunhu ghweni juno ivingilila indaghilo na kuvulanisia avange kuuti vasivingililaghe, ujuo iiva m'baha mu vutwa vwa kukyanya.
Hivyo yeyote avunjaye amri ndogo mojawapo ya amri hizi na kuwafundisha wengine kufanya hivyo ataitwa mdogo katika ufalme wa mbinguni. Lakini yeyote azishikaye na kuzifundisha ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.
20 Lino, nikuvavuula kuuti, nave uvugholofu vwinu navukika uvugholofu uvwa Vafalisayi nu vwa vavulanisi va ngaghilo, namulingila lusiku mu vutwa vwa kukyanya.
Kwa maana nawaambia haki yenu isipozidi haki ya waandishi na Mafarisayo, kwa vyovyote vile hamtaingia katika ufalme wa mbinguni.
21 “Mupuliike vule avakuulu viinu valyavulilue kuuti, 'Nungabudaghe, umuunhu ghweni juno ibuda un'jaake, anoghiile kuhighua,'
Mmesikia ilinenwa zamani kuwa, “usiue” na 'yeyote auaye yuko katika hatari ya hukumu.'
22 Neke une nikuvavuula kuuti umuunhu ghweni juno kalalila un, jaake, anoghile kuhighua. Kange, umuunhu ghweni juno iligha un, jaake kuuti n, jasu, anoghile kuhighua pa kipugha kya valongosi. Umuunhu ghweni juno iligha un'jaaake kuuti mululute, anoghiile kutaghua ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku. (Geenna g1067)
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
23 “Lino, nave uletile ilitekelo lyako pa kitekelelo kukuntavulila uNguluve, neke ghukumbuka kuuti un, jaako ali ni lisio nuuve.
Hivyo kama unatoa sadaka yako katika madhabahu na unakumbuka kuwa ndugu yako ana jambo lolote dhidi yako,
24 Lileke ilitekelo ilio pa kitekelelo, neke ulute asambane taasi nu n'jaako, pe ghwise utavule ilitekelo lyako ilio.
iache sadaka mbele ya madhabahu, kisha shika njia yako. Kapatane kwanza na ndugu yako, na kisha uje kuitoa sadaka yako.
25 “Kange, nave umuunhu jumonga ikukutwala kwa mhighi, unsuume ng'haning'haani kuuti musambane vul, e mujiighe. mu sila. Nave naghuvomba uluo, ikukuviika mu mavoko gha mhighi. Ghwope umhighi ikukutwala kwa masinjala kuuti akudindile mu ndinde.
Patana na mshitaki wako upesi, ukiwa pamoja naye njiani kuelekea mahakamani, vinginevyo mshtaki wako anaweza kukuacha mikononi mwa hakimu, na hakimu akuache mikononi mwa askari, nawe utatupwa gerezani.
26 Kyang'haani nikukuvuula, nungahume munkate umuo kuhanga uhombe fyoni fino ghusighilua.
Amini nawaambieni, kamwe hutawekwa huru hadi umelipa senti ya mwisho ya pesa unayodaiwa.
27 “Mupuliike vule avaanhu valyavulilue kuuti, 'Nungavwafukaghe.'
Mmesikia imenenwa kuwa, 'Usizini.'
28 Neke une nikuvavuula kuuti, umuunhu ghweni juno ikumulola umukijuuva mukwa kunnoghelua, iiva avwafwike naghwo mu mwojo ghwake.
Lakini nawaambieni yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
29 Lino, iliiso lyako lingakwambusie, ng'omotola, utaaghe ku vutali. Yekuba kusofia ikilungo kimo m'bili, ghwoni kutaghua ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku. (Geenna g1067)
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
30 Kange, uluvoko lwako lungakwambusie dumula attaghe ku vutali. Ulwakuva yekuba kusofia ikilungo kimo mu m'bili, kukila um'bili ghwoni kutaghua ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku. (Geenna g1067)
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
31 “Kange, lilyajovilue kuuti, 'Umuunhu juno ikuntavula un'dala ghwake, ampelaghe ikalata ija kuntavula.'
Imenenwa pia, yeyote amfukuzaye mkewe, na ampe hati ya talaka.'
32 Neke une nikuvavuula kuuti, umuunhu ghweni juno itavula un'dala ghwake, nave un'dala ujuo nam'bwafu, ikumpelela kuuva m'bwafu. Kange, umuunhu angatoole un'dala juno umughoosi antwavil, e, ghwope ivva ivwafuka.
Lakini mimi nawaambia, yeyote anaye mwacha mke wake, isipokuwa kwa kwa sababu ya zinaa, amfanya kuwa mzinzi. Na yeyote amuoaye baada ya kupewa talaka afanya uzinzi.
33 “Kange, mupuliike vule avakuulu viinu valyavulilue kuuti, ulekaghe kujiigha isa vudesi, 'Looli pano ujighile, uvombaghe sooni sino ujighile,'
Tena, mmesikia ilinenwa kwa wale wa zamani, 'Msiape kwa uongo, bali pelekeni viapo vyenu kwa Bwana.'
34 Neke une nikuvavuula kuuti, namungajighaghe nambe pedebe. Namungajighaghe mulwa kutambula kukyanya, ulwakuva kye kitengo ikya vutwa ikya Nguluve,
Lakini nawaambia, msiape hata kidogo, ama kwa mbingu, kwa sababu ni enzi ya Mungu;
35 Nambe kujiisha mulwa kutambula iisi ulwakuva pepano uNguluvi iviika amaghulu ghaake; nambe kujiigha mulwa kutambula ilikaaja ilya Yelusalemu, ulwakuva lye likaaja lya Ntwa um'baha.
wala kwa dunia, maana ni mahali pa kuweka kiti cha kukanyagia nyayo zake, ama kwa Jerusalemu, maana ni mji wa mfalme mkuu.
36 Kange, namungajighaghe mulwa kutambula amatu ghiinu, ulwakuva namungadule nambe ulunyele lumo kuuva luvalafu nambe kuuva lutiitu.
Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi.
37 Lino, nave mukwitika, mutisaghe, 'Eena,' nave mukaana mutisaghe, 'Ndali', ulwakuva sooni sino ikwangelela mu isio, sihuma kwa Mhosi uSetano.
Bali maneno yenu yawe, 'Ndiyo, ndiyo, Hapana, hapana.' Kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.
38 “Mupulike vule lilyajovilue kuuti, 'Umuunhu angakung'omotole iliiso, na juuve ng'omotola ilyake, angakukuule iliino, na juuve kuula ilyake.'
Mmesikia imenenwa kuwa, 'Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.'
39 neke une nikakuvuula kuuti, umuunhu juno akuvombiile uvuviivi, nungavangilaghe. Umuunhu angakusevula uvudili uvwa kundio, unsyetukisie nu vwa kung'highi.
Lakini mimi namwambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie na jingine pia.
40 Nave umuunhu ikukutwala pa vuhighi kuhighua mu vufumbue uvwa kutoola ighwandi jaako, mulekele atoole nali likooti.
Na kama yeyote anatamani kwenda na wewe mahakamani na akakunyang'anya kanzu yako, mwachie na joho lako pia.
41 Nave umuunhu ikukwumilisia kupinda unsigho ghwake mu lughendo ulwa kavalilo kamo, uve ulghendaghe ifivalilo fivili.
Na yeyote akulazimishaye kwenda naye maili moja, nenda naye maili mbili.
42 Kange, umuunhu angakusuume kimonga, mpeele. Nav e umuunhu ilinda kukopa kulyuve, nungankanaghe.
Kwa yeyote akuombaye mpatie, na usimwepuke yeyote anayehitaji kukukopa.
43 Mupuliike vule lilyajovilue kuuti, Umughanaghe unnino, na kukunkalalila umulugu ghwako.'
Mmesikia imenenwa, 'Umpende jirani yako, na umchukie adui yako.'
44 Neke une nikuvavuula kuuti, muvaghanaghe avalugu viinu, kange muvasumilaghe kwa Nuluve vano ali vikuva pumusia.
Lakini nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanao waudhi,
45 Apuo pe muuva vaana va Nhaata ghwinu juno ali kukyanya, ulwakuva umwene ikuvapeela ulujuva avaanhu avanofu na vaviivi. Kange, ilikuvapeela ifula avagholofu na vano navagholofu.
Ili kwamba muwe watoto wa baba yenu aliye mbinguni. Kwa kuwa anafanya jua liwaangazie wabaya na wema, na anawanyeshea mvua waovu na wema.
46 Mungavaghane va vano vikuvaghana umue, muuva nu luvumbililo luki? Ongo voope avasongesia songo vivomba vulevul, e.
Kama mkiwapenda wanaowapenda ninyi, mwapata thawabu gani? Kwani watoza ushuru hawafanyi hivyo?
47 Kange, nave mukuvahungila va vajiinu muvomba kiki ikinofu kukila avange? Ongo voope avapanji vihungilana vule vule.
Na kama mkiwasalimia ndugu zenu tu mwapata nini zaidi ya wengine? Je!, Watu wa mataifa hawafanyi vivyo hivyo?
48 Lino, muvisaghe vagholofu ndavule uNhaata ghwinu juno ali kukyanya vule mugholofu.
Kwa hiyo yawapasa kuwa wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

< Mataayi 5 >