< Mataayi 19 >

1 U Yesu ye amalile amasio aghuo, akavuuka mhu Galilaya, akaluta kukighavo ikya Yudea imwambo ija kikogha ikya Jordani.
Ilitokea wakati Yesu alipomaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya, na akaenda mpakani mwa Yudea mbele ya mto Jordani.
2 Avaanhu viinga vakam'bingilila, ukuo akavasosia.
Umati mkubwa ukamfuata, na akawaponya huko.
3 Avafarisayi vamonga vakaluta kukumughela, vakamposia,”Asi lukwitisivua mu ndaghilo siitu umuunu kukuntavula un'dala ghwa mwene mhu nongua sooni?”
Mafarisayo wakamjia, wakamjaribu, wakamwambia, “Je ni halali kwa mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”
4 U Yesu akavamula akati,”Namwimbile mumalembe amimike kuuti kuhuma kuvutengulilo u Nguluve alyapelile umughoosi nhu n'dala?
Yesu akajibu na kusema, “Hamkusoma, kwamba yeye aliyewaumba mwanzo aliwaumba mume na mke?
5 U Nguluve akati,'Mhu uluo umughoosi ikumuleka uviise nhu ng'ina ghwa mwene neke ivisagha nu n'dala ghwa ke, vevavili ava viiva m'bili ghumo?'
Na tena akasema, 'Kwa sababu hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?'
6 Apuo na viiva vavili kange, looli viiva m'bili ghumo. Lino, kino u Nguluve alungile, umuunhu nangalekanisyaghe.”
Hivyo siyo wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, kile alichokiunganisha Mungu, mtu yeyote asikitenganishe.”
7 Avafalisayi vala vakamposia kange vakati,”Nave fyelulivuo u Moose mu ndaghilo saake alyajovile kuuti umughoosi anoghile kukumpeela un'dala ghwake ikalatai ija kuntavula na kukumuleka?”
Wakamwambia, “Sasa kwa nini Musa alituamuru kutoa hati ya talaka na kumwacha?”
8 Akavavula,”u Moose alyavitikisie kutavula avadala viinu, ulwakuva namupulika mu sino mululanisivua neke kuhuma kuvutengulilo nafye lulyale.
Akawaambia, “Kwa ugumu wenu wa mioyo Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu, lakini tangu mwanzo haikuwa hivyo.
9 Lino nikuvavula, kuuti umuunhu ghweni juno itavula un'dala ghwake, nave un'dala ujuo nam'bwafu neke itoola ujunge, iiva ivwafuka.
Nawaambieni, kwamba yeyote atayemwacha mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, na akamwoa mwingine, amezini. Na mwanaume atakayemwoa mke aliyeachwa amezini.”
10 Pe avavulanisivua vaake vakam'bula u Yesu,”Nave fye lulivuo vwimila umughoosi nu n'dala, ye kuba kubuhiila kutoola.”
Wanafunzi wakamwambia Yesu, “Kama ndivyo ilivyo kwa mume na mkewe, siyo vizuri kuoa.”
11 Looli u Yesu akavavula,”Nakwekuti avaanhu vooni ndepoonu vikwupila imbulanisivuo isi, looli va vano u Unguluve avapeliile uvukagusi uvwa kwupila imhola iiji.
Lakini Yesu akawaambia, “Si kila mtu anaweza kupokea mafundisho haya, bali ni kwa wale tu walioruhusiwa kupokea.
12 Nikuvavula isio ulwakuva kwevale vano navitoola ulwakuva vaholilue vaghumba. Kwe vale vano vavitoola ulwakuva avaanhu avange vavavombile kuuva vaghumba. Vamonga navitoola vwimila kukum'bombela u untwa ghwa kukyanya. Umuunhu juno ikwupila imhola iiji upilaghe.”
Kwa vile wapo matowashi waliozaliwa tokea tumboni mwa mama zao. Na vilevile kuna matowashi waliofanywa na watu. Na kuna matowashi waliojifanya matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kupokea mafundisho haya na ayapokee.”
13 Avaanhu vamonga vakamuletela u Yesu avaana avadebe kuuti aviike amavoko ghaake pa veene, avavulanisivua vaake vakavadalikila avaanhu vaala.
Kisha akaletewa baadhi ya watoto wadogo ili awawekee mikono juu yao na kuomba, lakini wanafunzi wake wakawakemea.
14 Neke u Yesu akavavula akati,”Muvaleke avaana avadebe, visaghe kulyune namungavasighaghe, ulwakuva uvutwa uvwa kukyanya vwa vaanhu vano valindavule avaana ava.
Bali Yesu akasema, “Waruhusuni watoto wadogo, wala msiwakataze kuja kwangu, kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama wao.
15 U Yesu akaviika amavoko ghaake pa veene, pe akavuka pala.
Naye akaweka mikono yake juu yao, na kisha akaondoka pale.
16 Unsoleka jumonga akaluta kwa Yesu akaposia akati,”Ghwe M'bulanisia, nivombe kiiki ikinofu neke nikave uvwumi uvwa kusila kusila?” (aiōnios g166)
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios g166)
17 U Yesu akamwamula akati,”kiiki ukumhosia une vwimila uvunofu? U Nguluve mwene ghwe nofu, Nave ghulonda kukwingila ku vwumi uvwa kusila kusila, uvingililaghe indaghilo sa Nguluve.”
Yesu akamwambia, “Kwa nini unaniuliza ni kitu gani kizuri? Kuna mmoja tu aliye mwema, lakini kama ukitaka kupata uzima, shika sheria za Mungu.”
18 Unsoleka jula akaposia akati,”Indaghilo siliku?”u Yesu akamwamula akati,”Nungabudaghe, nungavwafukaghe, nungahijaghe, nungolekaghe isa vudesi,
Yule mtu akamwuliza, “Ni sheria zipi?” Yesu akasema, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
19 Umwoghopaghe uvaasoo nhu mamajo, na kukumughana unino ndavule ghukughana juuve.”
waheshimu baba yako na mama yako, na mpende jirani yako kama nafsi yako.”
20 Umuunhu jula akati,”Isio sooni nisigadilile. Kiinu kiiki ikinge kino naghilue?”
Mtu yule akamwambia, “Mambo yote hayo nimeyatii. Bado ninahitaji nini?
21 “U Yesu akam'bula akati,”Nave ghulonda kuuva mugholofu, ulute, ukaghusie fyoni fino ulinafyo, neke uvapeele avakotofu, apuo pe ghuuva ni kyuma kukyanya. Pepano ghwisaghe umbingililaghe.”
“Yesu akamwambia, “Kama ukitaka kuwa mkamilifu, nenda, ukauze ulivyo navyo, na uwape maskini, na utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo unifuate.”
22 Unsoleka jula ye apulike isio akavuka pala asukunile, ulwakuva alyale ni kyuma kinga.
Lakini kijana yule aliposikia yale Yesu aliyomwambia, akaondoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na amemiliki mali nyingi.
23 U Yesu akavavula avavulanisivua vaake akati,”Kyang'haani nikuvavuula, lutalaamu kyongo kwa muunhu ummofu kukwingila mu vutwa vwa kukyanya.
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni, ni vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni.
24 Nikuvavula kange kuuti, kihuugu fiijo ingamila pikila pa kalyoli kya sindano, kukila ummofu kukwingila mu vutwa vwa Nguluve.”
Tena nawaambieni, ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
25 Avavulanisivua vaake ye vapulik amasio aghuo, vakadegha kyongo vakaposia vakati,”Pe veeni lino juno anoghile kupokua?”
Wanafunzi waliposikia hivyo, wakashangaa sana na kusema, “Ni yupi basi atakayeokoka?”
26 Yesu akavalola akavavula akati,”Ku vaanhu uluo lutalamu, neke kwa Nguluve sooni sivombeka.”
Yesu akawatazama na kusema, “Kwa wanadamu hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu yote yanawezekana.”
27 Pe pano u Peteli akam'buula akati,”Lolagha, Usue tufilekile fyoni tukukuvingilila uve. Pe tuvumbulila kiiki?
Kisha Petro akamjibu na kumwambia, “Tazama, tumeacha vyote na kukufuata wewe. Ni kitu gani tutakachopata?”
28 U Yesu akavavula,”Kyang'haani nikuvavula kuuti, une ne mwana ghwa muunhu niliiva nikalile pa kitengo kyango ikya vuvaha mu iisi imia na jumue mwe vaano mukumbingilila lino mulikukala mu fitengo kijigho na fivili ifya Isilaeli.
Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, yeye aliyenifuata mimi, katika uzao mpya wakati Mwana wa Adam atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake, ninyi pia mtaketi juu ya viti kumi na viwili vya enzi, kuwahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
29 Umuunhu ghweni juno ajilekile inyumba jaake, nambe avanine, nambe avalumbu, nambe uviise, nambe ung'ina, nambe avaana vaake, nambe amaghunda ghaake vwimila une, ikwupila finga fiijo kukila fino afilekile na kukwupila uvwumi uvw kuvusila kusila. (aiōnios g166)
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
30 Neke vinga vano va kwanda, valaava va vusililo, ava vusililo valaava va kwanda.
Lakini wengi walio wa kwanza sasa, watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.

< Mataayi 19 >