< Mataayi 11 >

1 UYesu ye amalile kukuvavuula avavulanisvua vaake kijigho na vavili sino vanoghiile kuvomba, akavuuta pala, akaluta mu makaaja gha kighavo ikya Galilaya kupulisia na kuvulanisia avaanhu ilisio lya uNguluve.
Ikawa baada ya Yesu kumaliza kuwaelekeza wanafunzi wake kumi na wawili aliondoka plae kwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao,
2 UYohani alyadindilue mu ndinde. Ye ali mu ndinde, akapulika imbombo sino uKilisite akava ivomba. Pe akasuung'ha avavulanisivua vaake.
na Yohana akiwa gereszani aliposikia akiwa juu ya matendo ya Kristo, alituma ujumbe kupitia wanafunzi wake,
3 vamposie uYesu kuuti, Uve veeve KIlisite juno avavili valyavilile kuuti ilikwisa? Nave naveeve, tuhuvilaghe ujunge?
na wakamuuliza, “Wewe ni yule ajaye, au kuna mwingine tunapaswa kumtazamia?”
4 UYesu akavamula akati, “Mulute mum'buule uYohani sooni sino musivwene na kupulika.
Yesu akajibu na kusema kwao “Nendeni mkamtaarifu Yohana yale mnayoyaona na yale mnayoyasikia.
5 Avabofu vilola, avalema vighenda, avanya buuba vivalal, avanya mapula vipulika, avafue visyuka. Kange, avakotofu vipulisivua iMhola iNofu.
Watu wasioona wanapata kuona, viwete wanatembea, wakoma wanatakaswa, watu wasiosikia wanasikia tena, watu waliokufa wanafufuliwa kupata uhai, na watu wahitaji wanahubiriwa habari njema.
6 Avafunyilue umuunhu juno ikunyitika une kisila nganighani”
Na amebarikiwa yule asiyeona shaka juu yangu.
7 Avavulanisivua va Yohani ye vavukile, UYesu akatengula kukulivuula ilipugha lila imhola isa Yohani, akati, 'Mukalutile ku lihaka kulola ikiki? Mwahuvilagha kukumwagha umuunhu juno ikeela kwitika ndavule ilitete lino likeela kudepa nui mhepo? Jeeje!
Pindi watu hawa walipoondoka, Yesu alianza kusema na umati juu ya Yohana, “Ni nini mlikwenda kuona katika jangwa tete likitikiswa na upepo?
8 Pe mukalutile kukola umuunhu juno ali ndaani? Asi, mukalutile kukola umuunhu juno afwalile amenda agha ndalama nyinga? Pulikisia, vaanhu vano vifwala amenda agha ndalama nyinga vikukala mu nyumba isa vatwa
Lakini nini mlikwenda kuona mtu aliyevaa mavazi mololo? Hakika, wale wavaao mavazi mololo hukaa katika nyumba za wafalme.
9 Lino pe mukalutile kulola umuunhu juno ali ndaani? Mukalutile kukumulola um'bili? Se seene! Nikuvavuula kuuti ujuo nam'bili lwene, looli ujuo m'baha kukila um'bili.
Lakini mliondoka kuona nini-Nabii? Ndiyo, nawaambia, na zaidi ya Nabii.
10 Ujuo ghwe juno imhola saake silembilue mu Malembe aMimike kuuti, 'Lolagha, nikusuung'ha unyamhola ghwango akulongolele. Ujuo ghwe ikukuling'hanikisyagha isila jaako.'
Huyu ndiye aliyeandikiwa, 'Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako, ambaye ataandaa njia yako mbele yako.
11 “Kyang'haani nikuvavuula kuuti, ku vaanhu vooni naaghelile kuvoneka umuunhu um'baha kukila uYohani uMwofughi. Neke juno n'debe mu vutwa vwa kukyanya, m'baha kukila Yohani.
Mimi nawaambia kweli, kati ya waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkubwa kuliko yeye.
12 Kuhuma ifighono fino uYohani uMwofughi ipulisia kuhanga kufika umusyughu, uvutwa vwa kukyanya vulondua ku ngufu, ve vano vighela pikwingila mu vutwa uvuo.
Toka siku za Yohana Mbatizaji mpaka sasa, ufalme wa Mbinguni ni wa nguvu, na watu wenye nguvu, huuchukua kwa nguvu.
13 Avavili vooni ni ndaghilo sa Moose filungika sino silivoneka kufika unsiki ughwa Yohani.
Kwa kuwa manabii na sheria, ikamelcuwa wakitabiri mpaka kwa Yohana.
14 Lino, nave mukwitika uvuvili vwave, uYohani ghwe Eliya jula juno alyajovilue kuuti ikwiisa.
Na kamamko tayari kukubali, huyu ni Eliya, yule ajaye.
15 Unya kupulika, apulikaghe.
Aliye na masikio ya kusikia na asikie.
16 “Asi, nihwanikisie ni kiki avaanhu ava kisina iki? Vahwaniniine na vaana vano vineena ku lighulilo, neke vikuvavuula avajanave, viiti,
Nikilinganishe na nini kizazi hiki? Ni mfano wa watoto wanaocheza maeneo ya sokoni, wanaokaa na kuitana
17 “Tuvakuviile ifilongilongi ifya lukeelo, namusejile! Tuvimbiile ulwimbo ulwa lusukunalo, namulilile!
na kusema, 'Tuliwapigia zomari na hamkucheza. Tuliomboleza, na hamukulia.'
18 Fye lulivuo na jumue! UYOhani alisile, naalisagha nambekunyua, avaanhu vakati, 'Ali ni lpepo.'
Kwa kuwa Yohana alikuja bila kula mkate au kunywa mvinyo, na wakawa wanasema, 'Ana pepo.'
19 Neke une ne Mwana wa Muunhu nisile, nilia na kunyua, aveene viiti, “Uju nyamwojo, mughaasi! kange mmanyaani ghwa vasongesia songo, na vahosi!' Neke uvukagusi vwa Nguluve, vuvoneka vwa kyang'haani mu mbombo saake.”
Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa na wakasema 'Angalia, ni mtu mlaji na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!' Lakini hekima inadhihirishwa kwa matendo yake.''
20 Pepano uYesu akatengula pikughadalikila amakaaja muno akavombile ifidegho finga, ulwakuva avaanhu mu makaaja aghuo navalyalatile inyivi saave. Akavavuula, akati,
Yesu alianza kuikemea miji ambamo baadhi ya matendo yake ya ajabu yalitendeka, kwa sababu walikuwa hawajatubu,
21 'Iga mwe vaanhu va likaaja lya Kolasini! Iga mwe vaanhu va likaaja ilya Betisaida! Ulwakuva ifidegho fino nivombile kulyumue, fyale fivombeke ku likaaja ilya Tiilo ni lya Sidoni, avaanhu mu makaaja aghuo ngale valyalatile, Vaale vifwala amagunila na kupakala ilipembo kuhufia ululaato lwave.
Ole wako, Kolazini, Ole wako Bethsaida! Kama matendo makuu yangetendeka Tiro na Sidoni yale yaliyotendeka hapa, wangekuwa wametubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
22 Lino likuvavuula kuuti, ikighono ikya vuhighi ulupumuko lwinu luliiva lukome, kukila ulwa vaanhu ava ku Tiilo na ku Sidoni.
Lakini itakuwa uvumilivu kwa Tiro na Sidoni siku ya hukumu kuliko kwako.
23 Na jumue mwe vaanhu mu likaaja lya Kapelenaumu, mukuvona kuuti mulifika kukyanya kwa Nguluve? Jeeje, nafye luliiva! Looli ilikuvataagha paasi kuvuue. Ulwakuva ifidegho fino fivombiike kulyumue fyale fivombeke ku Sodoma, ilikaaaja ilio ngale kwelili nambe umusyughu. (Hadēs g86)
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
24 Lino nikuvavula kuuti, ikighono ikya vuhighi ulupumuko lwinu luliiva lukome kukila ulwa likaaja ilya Sodoma.”
Bali nasema kwako kwamba itakuwa rahisi kwa nchi ya Sodoma kusimama siku ya hukumu kuliko wewe.
25 Unsiki ughuo uYesu akajova akati, “Ghwe Nhaata, ghwe juno utemile kukyanya na paasi, nikikuhongesia ulwakuva imhola isi uvafisile avimbi na vakagusi, neke uvahufisie avaanhu vano vikujisia hweene vaana vadebe.
Katika muda huo Yesu alisema, “Nakusifu wewe, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa sababu uliwaficha mambo haya wenye hekima na ufahamu, na kuyafunua kwa wasio na elimu, kama watoto wadogo.
26 Eena Nhaata, ulwakuva uluo lwe luno ukeliile.”
Baba kwa kuwa ilikupendeza hivyo machoni pako.
27 “UNhaata ghwango anhavuliile fyoni. Neke na kwale juno ankagwile uMwana, looli ju Nhaata mwene. Kange, nakwale juno ankagwile uNhaata, looli uMwana, nu muunhu ghweni juno uMwana ilonda kukumhu
Mambo yote yamekabidhiwa kwangu kutoka kwa Baba. Na hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba, na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana ana hamu ya kumfunulia.
28 “Mwisaghe kuklyune mweni mwe vano mupumusivua na na kulemua na masigho gha ndaghilo, une ikuvapeela kupuma.
Njoni kwangu, nyinyi nyote mnaosumbuka na mnaolemewa na mzigo mzito, nami nitawapumzisha.
29 Mukundaghe kulongosivua nuune, ndavule ing'ombe vule silongosivua ni joki. Mumanyilaghe kulyune, ulwakuva une nili nkoola kange nili nu lujisio. Apuo pe muuva nu lutengaano mu moojo ghiinu.
Jitieni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mnyenyekevu na mpole wa moyo na mtapata pumziko la nafsi zenu.
30 Ilijoki lyango nalilemasia, kange unsigho ghwango mpepe.
Kwa kuwa nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.

< Mataayi 11 >