< Malika 7 >

1 Pambele, avafalisayi na vavulanisi va ndaghilo vamonga kuhuma ku Yelusalemu vakakong'haana pa Yesu.
Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
2 Vakavaagha avavulanisivua vamonga vilia na mavoko amalamafu, kwekuti kisila kwogha amavoko mu lwiho.
Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
3 Ulwakuva aVyahudi vooni, kyongo aVafalisayi, nakalisagha kisila kwogha amavoko ndavule lwale lwiho lwa vakuulu vaave.
(kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
4 Kange umuunhu pano amumile ku lighulilo, naalyanoghiile kulia kisila kwogha amavoko. Nisingi nyinga sino valyupiile, ndavule isa kusuka ifikombe, ifivughaana ni fingi
Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
5 Pepano aVafalisayi na vavulanisi va ndaghilo vakamposia uYesu vakati, “Kiki avavulanisivua vaako navivingilila inyiiho isa vakuulu viitu, pano vilia na mavoko amalamafu?”
Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
6 UYesu akavamula, akati, “Umue mwe vakedusi! Unguluve kukilila um'bili uYesaya alyajovile se sene vwimila umue, ndavule lilembilue, 'Avaanhu ava vikungina'ia pa pa mulomo, neke amoojo ghaave ghali kutali nuune.
Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
7 Vikunyimika neke ulwimiko lwave lusila luvumbulilo, ulwakuva vivulanisia indaghilo isa Nguluve, neke mugadilila inyiiho isa vaanhu.”
Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
8 “Sa kyang'haani, umue musilekile indaghilo isa Nguluve, neke mugadilila inyiiho isa vaanhu.”
Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
9 UYesu akavavuula kange akati, “Umue muvona lunono kukusileka indaghilo sa Nguluve, neke muvingililaghe inyiiho siinu!
Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
10 Ulwakuva uNguluve kukilila kwa Moose alyatiile, 'Umwoghopaghe uvaaso nu mamaajo, kanviise nambe un'ina kuge alyatiile, 'Umuunhu juno bikumuligha uviise nambe ung'ina anoghiile kubudua.'
Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
11 Neke ume muvulanisia kuuti, umuunhu ndepoonu ikum'buula uviise nambe ung'ina kuuti, 'Kino niveele ninoghiile kukutanga, nihumisie, litekelo kwa Nguluve. '
Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
12 APuo, mukum'biika umuunhu ujo aleke kukuvantanga avapaafi vaake, ulkuwakuva mwiti ahumisie kwa Nguluve.
hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
13 Mu uluo mubenapula ilisio lya Nguluve, pano mugadilila inyiiho siinu sino mukwuping'hana. Kange muli ni nyiiho inyinga ndavule isio sino nasihuma kwa Nguluve.”
Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
14 UYesu akakemeela kange ilipugha ilya vaanhu akavavuula, akati, “Mumhulikisyaghe mweni, kange musitang'haniaghe sino nijova.
Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
15 Nakwekili ikiini kino ilia umuunhu kino kikumpelela kuuva mlamafu, looli fino fihuma munkate mwa mwene.
Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
16 Unya kupulika, apulikaghe!”
(Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
17 UYesu na vavulanisivua vaake vakalikela ilipugha, vakingila mu nyumba. Pe avavulanisia vaake vakamposia imhola ija kihwanikisio kila.
Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
18 UYesu akavavula avavulanisivua vaake akati, “Na jumue nakumkulutang'hania? Namukagula kuuti, nakwekili ikiinu kino ilia umuunhu kino kikum'biika kuuva mulamafu?
Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
19 Ulwakuva nakiluta mu mwojo, looli kiluta mu lileme, neke pambele kihuma kunji.” Enendiliki, alyavusisie umwiko mu fyakulia fyoni.
kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
20 Kange uYesu akajova akati, “Ikiinu kino kihuma mu mwojo, kye kino kikumpelela umuunhu kuuva mulamafu.
Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
21 Ulwakuva mu mwojo, kye kino kikumpelela umuuhnu kuuuva mulamafu. Ulwakuva mu mwojo ghwa muunhu mwe muno sihuma: inyisaghilo imbiivi, uvughendamwalu, uvuhiiji, uvubudi,
Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
22 uvuvwafu, umwojo, uvuviiji, uvusyangi, amasaka, ikivini, amaligho, amatuupa na kupunia.
uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
23 Inyivi sooni isi sihuma nkate mwa muunhu, isio se sino sikum'biika kuuva mulamafu.”
Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
24 UYesu akavuuka pala, akaluta mu makaaja gha Tiilo. Ukuo akingila mu nyumba ja muunhu jumonga, neke naakalondagha avaanhu vakagule.
Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
25 Looli unsiki ghughuo umukijuuva, juno umwana ghwa mwene n'debe alyale ni lipepo lilamafu, akapulika imhola sake, akisa, akaghua pasi pa maghulu ghamwene.
Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
26 Unkijuuva ujuo akisile Muyunani, ghwa kikolo kya Kifoeniki akansuma juue adage ilipepo kuhuma mwa mwalive
Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
27 Neke uYesu akam'buula akati, “Uleke taasi avaana valie vikute, ulwakuve nalunono kutoola ikya vaan na kukusitosekasai imbua.”
Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
28 Neke umukijuuva jula aka akamwamula uYesu akati.” Ghwa Nhaaata, ujovile se seene, poope nasi mbua sasilia ifimenyikila fino vasangwisie avaana paasi pa meesa.”
Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
29 UYesu akam'buula akati, “UYesu akam'buula akati, “Vwimila iliso lino ujovile, vujagha, ilipepo limulekile umwalivo.”
Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
30 Umukijuuva jula akavuukka ivuja. Ye afikile ku kaaja, akamwagha umwalive aghonile pa kitala, ilipepo limulekile'
Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
31 UYesu akavuuka mu maakaja agha Tiilo kukilila mu likaaja ilya sidoni, pe akafika ku lisumbe ilya Galilaya na mu isi ija Dekapoli.
Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
32 Ukuo vakamuletela umuunhu unya mapule, kangevkinuunu. Vakampelepesia uYesu am'biike amavoko kuuti sooke.
Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
33 UYesu akam'busia umuunhu jula mu kipugha ikya vaanhu, akaseghuka naghwope pa vusyefu, akingisia ifyove fyaka mu mbulughutu, akafuunya amati na kukumwabasia ulumili.
Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
34 Pepano uYesu akalola kukyanya, akasukunala, akam'buula, akati, “Efata,”Kwekuti, “Dinduka.”
Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
35 Palapala imbulughutu saake sikandinduka nalu lumili lukavopoka, pe akatengula kujova vunono.
Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
36 UYesu akavakaana avaanhu vala kuuti, navangm'bulaghe nambe muunhu sino avombile. Napano akavakanagha, aveene vakafikwisyagha imhola ku vaanhu vooni.
Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
37 Avaanhu vakadegha kyongo vakati, “Imbombo sooni sino avombile nofu! Avanya mapule avapeliile kupulika na vakinuunu avapeliile kujova.”
Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”

< Malika 7 >