< Yohani 7 >

1 Pambele uYesu atakaluta mufikaaja ifya mu kighavo ikya Galilaya, naakalondagha kuluta kukighavo ikya Yudea, u'wakuva aVayahudi vakalondagha kukum'buda.
Na baada ya mambo haya Yesu alisafiri hivi katika Galilaya, kwa sababu hakupenda kwenda Uyahudi kwa sababu wayahudi walikuwa wakifanya mipango ya kumwua.
2 Unsiki ughwa kikulukulu kya Vayahudi ikya fyeve, ghulyale piipi kufika.
Sasa sikukuu ya Wayahudi, sikukuu ya Vibanda, ilikuwa karibu.
3 Avanuuna va Yesu vakam'buula uYesu vakati, “Lino uvuuke apa, ulute kukighavo ikya Yudea kuuti avavingilili vaako vafyaghe ifidegho fyako fino ghuvomba.
Ndipo ndugu zake walipomwambia, “Ondoka mahali hapa uende Uyahudi, ili kwamba wanafunzi wako vile vile wayaone matendo ufanyayo.
4 Umuunhu juno ilonda kukagulika, naivomba imbombo saake kuvusyefu, lino ulwakuva ghuvomba isi sooni, ghuhufie kuvaanhu vooni.”
Hakuna afanyaye lolote kwa siri iwapo yeye mwenyewe anataka kujulikana wazi. Iwapo unafanya mambo haya, jionyeshe mwenyewe kwa ulimwengu.”
5 Avanuuna valyajovile enendiiki, ulwakuva voope navalyamwitiike.
Hata ndugu zake pia hawakumwamini.
6 Pe uYesu akavavuula akati, “Unsiki ghwango ghukyale pifika, looli umue ndepoonu muluta amasiki ghooni.
Ndipo Yesu alipowaambia, “Wakati wangu haujafika bado, lakini wakati wenu kila mara uko tayari.
7 Avaanhu ava mu iisi muno navangavakalalile umue, looli vikung'halalila une, ulwakuva nikuvaavuula kuuti, sino vivoomba mbiivi.
Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, bali unanichukia mimi kwa sababu ninaushuhudia kuwa matendo yake ni maovu.
8 Umue lutaghi kukikulukulu ikio; une naniluta ulwakuvaunsiki ghwango ghukyale pifika.
Pandeni kwenda katika sikukuu; mimi siendi katika sikukuu hii kwa sababu muda wangu haujakamilika bado.”
9 U Yesu ye ajovile aghuo akajigha mu kighavo ikya Galilaya.
Baada ya kusema mambo hayo kwao, alibaki Galilaya.
10 Neke avanuuna ye valutile ku kikulukulu, ghwope u Yesu akaluta, neke akaluta kisyefu, kisila kuhufia kuvaanhu. Kukikulukulu ukuo,
Hata hivyo, ndugu zake walipokuwa wamekwenda katika sikukuu, ndipo naye alienda, siyo kwa wazi bali kwa siri.
11 aVayahudi vakava vikumulonda u Yesu viposia kuvaanhu vitii, “Alikuughi?”
Wayahudi walikuwa wakimtafuta katika sikukuu na kusema, “Yuko wapi?”
12 Avaanhu vinga mulipugha lila. Vakava vikujovasia, vamo vitii, “Umuunhu ujuo nnofu.” Avange vitii, “Ndali, umuunhu ujuo isofia avaanhu.”
Kulikuwa na majadiliano mengi miongoni mwa makutano juu yake. Wengine walisema, “Ni mtu mwema.” Wengine walisema, “Hapana, huwapotosha makutano.”
13 Neke nakwealyale umuunhu juno alyale ijova imhola saake pa vuvalafu, ulwakuva vakoghopagha aVayahudi.
Hata hivyo hakuna aliyezungumza wazi juu yake kwa kuwaogopa Wayahudi.
14 Pakate pa fighono ifya kikulukulu u Yesu akingila mu luviika ulwa nyumba inyimike ija kufunyila, akatengula kuvulanisia avaanhu.
Wakati sikukuu ilipofika katikati, Yesu alipanda kwenda Hekaluni na kuanza kufundisha.
15 Avayahudi vakava videgha vitii, “Umuunhu uju akaghwile ndaani isi, kisila kwimba?
Wayahudi walikuwa wakishangaa na kusema, “Kwa jinsi gani mtu huyu anajua mambo mengi? Hajasoma kamwe.”
16 Pe pano U Yesu akavamula akati, “Imbulanisio soni nivulanisia na sango, looli sihumile kwa juno asung'hile.
Yesu akawajibu na kuwaambia, “Mafundisho yangu siyo yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
17 Umuunhu juno ilonda kuvomba isa vughane vusa Nguluve, ikagula kuuti imbulanisio isi sihumile Nguluve, nambe kuuti nijova muvutavulilua vwango juune.
Iwapo yeyote atapenda kufanya mapenzi yake yeye, atajua kuhusu mafundisho haya, kama yanatoka kwa Mungu, au kama ninazungumza kutoka kwangu mwenyewe.
18 Umuunhu juno ijova muvutavulilya vwake jujuo, ilonda avaanhu vamug'hiniaghe. Neke umuunhu juno ilonda vamughiniaghe juno ansunghile, ujuo ijova isa kyang'haani, naijova isa vudesi.
Kila anayezungumza yatokayo kwake mwenywe hutafuta utukufu wake, bali kila atafutaye utukufu wake yeye aliyemtuma, mtu huyo ni wa kweli, na ndani yake hakuna kutotenda haki.
19 U Moose naalyavapeliile umue indaghilo? Neke nakwalemambe jumo pakate palyumue juno ivingilila indaghilo isio. Lino kiki milonda pikumbuda?”
Musa hakuwapa nyinyi sheria? Lakini hakuna hata mmoja kati yenu atendaye sheria. Kwa nini mnataka kuniua?
20 Avaantu mu lipugha lila vakamwamula vakati, “Uli ni lipepo uve. Ghwe veeni juno ilonda pikukubuda?”
Makutano wakajibu, “Una pepo. Nani anataka kukuua?”
21 U Yesu akavamula akati, “Une nikavombile ikidegho kimo, umue mweni mukakenyemuka.
Yesu akajibu na akawaambia, “Nimetenda kazi moja, nanyi nyote mmeshangazwa kwa sababu yake.
22 U Moose alyalaghiile kuvomba ikivungo ikya kudumula ingola ija kidiimi avaana viinu. Ululaghilo uluo nalulyahumile kwa Moose, looli lulyahumile kuvakuulu viinu. Umue muvomba uluo nambe nambe kive kighono kya Sabati.
Musa aliwapa tohara (siyo kwamba inatoka kwa Musa, bali ile inatoka kwa mababa), na katika Sabato mnamtahili mtu.
23 Lino nave lukwitikisivua umwana kuvombelua ikivungo ikio mukighono ikya Sabati kuuti muleke kudeenya ululaghilo ulwa Moose, kiki mukung'halalila une. Kukunsosia umuunhu mu kighono ikya Sabati?
Iwapo mtu atapokea tohara katika siku ya Sabato ili kwamba sheria ya Musa isivunjwe, kwa nini mnanikasirikia mimi kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa katika Sabato?
24 Mulekaghe kuhiga umuunhu mulwa kulola pamaaso, looli muhighaghe mu vwakyang'haani.
Msihukumu kulingana na mwonekano, bali hukumuni kwa haki.
25 Avaanhu vamonga ava mu likaaja ilya Yelusalemu vakava viposania vitii, Asi, umuunhu uju naghwe juno avalongosi va Vayahudi vilonda kukumbuda?
Baadhi yao kutoka Yerusalemu wakasema, “Siye huyu wanayemtafuta kumwua?
26 Lolagha ijova pa vuvalafu, neke avene naijova kimonga! Pamo aveene avolongosi vitii umuunhu uju lweli ghwe Kilisite!
Na tazama, anaongea wazi wazi, na hawasemi chochote juu yake. Haiwezi ikawa kwamba viongozi wanajua kweli kuwa huyu ni Kristo, inaweza kuwa?
27 Ukilisite iliiva ikwisa nakwale nambe muunhu juno ilikagula kuno ihumila! Umuunhu uju kuno ihumatukagwile.
Tunajua huyu mtu anatokea wapi. Kristo atakapokuja, hata hivyo, hakuna atakayejua wapi anakotoka.”
28 U Yesu ye ajhighe ivulanisia mu luviika ulwa nyumba inyimike ija kufunyila, akajova fiijo akati, “Lweli umue mweni mung'haghwile une, kange mukaghwile kuno nihuma. Nambe mwiti mukagwile uluo,
Yesu alikuwa akipaza sauti yake hekaluni, akifundisha na kusema, “Ninyi nyote mnanijua mimi na mnajua nitokako. Sikuja kwa nafsi yangu, bali yeye aliyenituma ni wa kweli, na hamumjui yeye.
29 une nanilisile mu vutavulilua vwango, ulwene juno asung'hile une ghwa kyang'haani, umue namunkagwile.
Ninamjua yeye kwa sababu nimetoka kwake na alinituma.”
30 Une ninkagwile ulwakuva nihumile kwa mwene, kange ghwe juno asung'hile. Pepano vakava vilonda kukunkola, neke nakwealyale umuunhu juno akaghela kukunkola, ulwakuva unsiki ghwake ughwa kukolua ghulyakyale kufika.
Walikuwa wanajaribu kumkamata, lakini hakuna hata mmoja aliyeinua mkono wake juu yake kwa sababu saa yake ilikuwa bado haijafika.
31 Avaanhu vinga mu lipugha lila vakamwitika. Vakava vijova viiti, “Iliiva ikwisa uKiliste ilivomba ifidegho kukila fino avombile uju?”
Hata hivyo, wengi katika makutano walimwamini. Walisema, “Kristo atakapokuja, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”
32 Avafalisayi vakapulika ilipugha lya vaanhu vipwepa vwimila imhola sa Yesu, pe avavaha va vatekesi na Vafalisayi vakasuung'ha avasikali kuuti vankole.
Mafarisayo waliwasikia makutano wakinong'onezana mambo haya kuhusu Yesu, na wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma maafisa ili kumkamata.
33 Pepano uYesu ajajova akati, “Niiva numue unsiki n'debe vuvule, neke pambele nigomoka kwa juno asun'ghile.
Ndipo Yesu aliposema, “Bado kuna muda kitambo niko pamoja nanyi, na baadaye nitakwenda kwake yeye aliyenituma.
34 Mulikundoonda, neke namulikunyaagha, kange kuno niliiva, umue namungafike.”
Mtanitafuta wala hamtaniona; kule niendako, hamtaweza kuja.”
35 Pe aVayahudi vakava viposania viiti, “Umuunhu uju iluta kuughi kuno usue natunga mwaghe? Asi, iluya ku vano Vapalasiine vano nkate mu vaYunani na kukuvavulanisia avaYunani?
Kwa hiyo Wayahudi wakasemezana wao kwa wao, “Mtu huyu atakwenda wapi kwamba tusiweze kumuona? Ataenda kwa Waliotawanyika kati ya Wayunani na kuwafundisha Wayunani?
36 Asi, kwe kuti kiki pano iiti, 'Mulikundonda, neke namulikunyaagha, kange kuno niliiva umue namungafike?”
Ni neno gani hili alilolisema, 'Mtanitafuta wala hamtaniona; kule niendako hamtamweza kuja'?”
37 Ikighono ikya vusililo ikya kikulukulu kya fyeve, kino kilyale kighono kivaha, uYesu akiima akajova fiijo akati, “Umuunhu nave ali ni kyumilua, iise kulyune anyue.
Sasa katika siku ya mwisho, siku kubwa ya sikukuu, Yesu alisimama akapaza sauti, akisema, “Ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu anywe.
38 Umuunhu juno ikunyitika une, iiva ndavule ghijova amalembe amimike kuuti, isaasa isa malenga amanya vwumi sidwivuka mu mwojo ghwake.
Yeye aniaminiye mimi, kama maandiko yalivyosema, kutoka ndani yake itatiririka mito ya maji ya uzima.”
39 Alyajovile uluo mu mhola ija mhepo uMwimike, juno avaanhu vano vikumwitika vilikumwupila pambele, unsiki ughuo, uNguluve alyakyale kukunsuung'ha umhepo ghwake, ulwakuva alyakyale kuhufia kuvaanu uvuvaha vwa Yesu.
Lakini aliyasema haya kuhusu Roho, ambaye wao wamwaminio watampokea; Roho alikuwa bado hajatolewa kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.
40 Avaanhu vamonga mu lipugha lila ye vapuliike amasio aghuo, vakati, “Kyang'haani, umuunhu uju m'bili.”
Baadhi ya makutano, waliposikia maneno haya, walisema, “Kweli huyu ni nabii.”
41 Vamonga vakati, “Umuunhu uju ghwe Kilisite.” Neke avange vakati, “Ndali, uKilisite ndepoonu ihuma ku Galilaya?
Wengine walisema, “Huyu ni Kristo.” Lakini wengine walisema, “nini, Kristo aweza kutoka Galilaya?
42 Asi amalembe amimike naghiiti uKilisite ilihuma mu kikolo ikya ntwa u Daudi ku kikaaja ikya Bethelehemu, kikaaja kino alyale ikukukala untwa uDaudi?
Maandiko hayajasema kuwa Kristo atatokea katika ukoo wa Daudi na kutoka Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi alikuwa?
43 Pepano avaanhu vakalekeng'hana vivimila uYesu.
Hivyo, pale ukainuka mgawanyiko katikati ya makutano kwa ajili yake.
44 Avaanu vamonga mu lipugha lila vakava vilonda kuku nkola, neke nakwealyale umuunhu juno akaghela kuku nkola.
Wengine kati yao wangelimkamata, lakini hakuna aliyenyoosha mikono yake juu yake.
45 Avasikali vala vakagomoka ku vavaha va vatekesi na kuVafalisayi, kisila kunkola uYesu. Avavaha vala vakavaposia vakati, “Kiki namunkolile na kukumuleeta?”
Ndipo wale maofisa wakarudi kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, nao wakawaambia, “Kwa nini hamjamleta?”
46 Avasikali vala vakamula vakati, “Naaghelile kuhumila umuunhu juno ijova ndavule umuunhu jula.
Maofisa wakajibu, “Hakuna mtu aliyewahi kuzungumza kama huyu kabla.”
47 Avafalisayi vakavaposia vakati, “Kwekuti najumue musyangilue?
Ndipo Mafarisayo walipowajibu, “Na nyinyi pia mmepotoshwa?
48 Asi ghwe veeni mu valongosi viitu nambe mu Vafalisayi juno amwitiike?
Kuna yeyote kati ya watawala anayemwamini, au yeyote wa Mafarisayo?
49 Ulwene avanu avuo avuo navasikagwile indaghilo sa moose, avuo vaghunilue.”
Bali hawa makutano wasiojua sheria - wamelaaniwa.”
50 Pepano uNikodemu (umo mu valongosi va Vafalisayi, juno ikighono kimonga alyalutile kwa Yesu pakilo), akavaposia akati,
Nikodemo akawaambia (yeye aliyemwendea Yesu zamani, akiwa mmoja wa Mafarisayo),
51 “Asi indaghilo siitu sikwitikisia kukumhigha umuunhu kisila kumpulikisia na kukusitang'hania sino avombile?”
“Je sheria yetu inamhukumu mtu isipokuwa amesikilizwa kwanza na kujua anachokifanya?”
52 Aveene vakamwamula vakati, “Neke najuuve uhumile ku Galilaya? Londagha muMalembe amimike pekyaghukagula kuuti nakwale umbili juno ahumile ku Galilaya.”
Walijibu na kumwambia, “Na wewe pia unatokea Galilaya? Tafuta na uone kwamba hakuna nabii aliyetokea Galilaya.”
(Zingatia: Baadhi ya maneno ya Yohana 7: 53 - 8: 11 hayamo katika nakala bora za kale). Kisha kila mtu alienda nyumbani kwake.

< Yohani 7 >