< Yohani 18 >

1 UYesu ye amalile pikufuunya, akavuuka palikimo na vavulanisivua vaake, vakakila uluvonde ulwa Keduloni, vakingila mumughundo ughwa miseituni.
Baada ya Yesu kusema maneno haya, aliondoka na wanafunzi wake kuelekea bonde la Kidron, ambako kulikuwa na bustani, ambako yeye na wanafunzi wake wakaingia ndani yake.
2 UYuuda unya kumwohela uYesu, alyaghumanyile umughunda ughuo, ulwakuva kekinga uYesu na vavulanisivua vaake vakakong'hanagha apuo.
Sasa yule Yuda, aliyetaka kumsaliti, naye alilijua eneo hilo, kwani Yesu alikuwa akienda hili eneo mara kadhaa akiwa na wanafunzi wake.
3 Pe akakilongosia ikipugha kya vasikali na valoleleli kuhuma ku vavaha va vatekesi na ku Vafalisayi, akaluta navo mu mughunda kumo vakolile itaala, imuli ni filwilo.
Naye Yuda, baada ya kuwa amepata kundi la maaskari na maofisa toka kwa wakuu wa makuhani, wakaja wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
4 UYesu alyakagwile sooni sino kyasikumwagha, akaluta kuveene, akavaposia akati, “Mukumulonda veeni?”
Naye Yesu, hali akijua kila kitu kilichokuwa kikifanyika dhidi yake, alijitokeza mbele na akawauliza, “Ni nani mnayemtafuta?”
5 Pe aveene vakamwamula vakati, “Tukumulonda uYesu uMunasaleti.” UYesu akavavuula akati, “Neene” UYuda umwohesi alyimimile palikimo na vaanhu avuo.
Nao wakamjibu, “Yesu Mnazareth.” Yesu akawaambia, “Mimi ndiye” Naye Yuda aliyemsaliti, alikuwa amesimama pamoja na wale askari.
6 UYesu ye avavulile kuuti, “Neene” vakagomoka kinsana nsana vakaghua.
Kwa hiyo alipowaambia, “Mimi ndiye” walirudi kinyume na kuanguka chini.
7 Kange akavaposia akati, “Mukumulonda veeni?” Vakamwamula vakati, “Tukumulonda uYesu uMunasaleti.”
Halafu akawauliza tena, “Ni nani mnayemtafuta? Nao wakamjibu tena “Yesu mnazareth.”
8 UYesu akavamula akati, “Nivavulile kuuti neene. Lino nave mukundonda une, muvaleke avaanhu ava valutaghe.”
Yesu akawajibu, “Nimekwisha kuwaambia kuwa Mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa wengine waende.”
9 UYesu akajovile enendiiki kukwilanisia sino alyajovile kuuti, “Vano ulyamheliile nanisofisie nambe jumo.
Haya yalikuwa hivyo ili lile neno litimilike; pale aliposema; “Katika wale ulionipa, sikumpoteza hata mmoja.”
10 USimoni uPeteli alyale ni bamba, akasomola, akadumula imbulughutu ija kundio ija m'bombi ughwa ntekesi um'baha. Um'bombi ujuo akatambuluagha Maluko.
Ndipo Simon Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani mkuu. Na jina lake mtumishi yule lilikuwa Malko.
11 Neke uYesu akam'buula uPeteli akati, “Gomosia ibamba jaako mu nyambe. Une ninoghiile kukwupila ulupumuko luno uNhaata anding'hanikisie?”
Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Kwa nini nisikinywee kikombe kile alichonipa Baba?”
12 Avasikali vala nu mbaha ghwave na valoleleli va valongosi va Vayahudi vakankola uYesu, vakankunga.
Basi lile kundi la askari na jemedari, na watumishi wa Wayahudi, walimkamata Yesu na kumfunga.
13 Vakantwala taasi kwa Hanasi, unkwive ghwa Kayafa. UKayafa ujuo alyale ghwe ntekesi umbaha unsiki ughuo.
Nao wakamwongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani yeye alikuwa mkwe wa Kayafa, ambaye ndiye aliyekuwa Kuhani mkuu kwa mwaka huo.
14 Kange ghwe juno alyavavuulile aVayahudi kuuti, lunoghile umuunhu jumo afue vwimila avaanhu vooni.
Sasa Kayafa ndiye aliyekuwa amewapa ushauri Wayahudi ya kwamba ilimpasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.
15 USimoni uPeteli nu m'bulanisivua ujunge vakava vikum'bingilila uYesu mumbele. Umbulanisivua ujunge ujuo, alyakaguliike nu ntekesi um'baha, akingila palikimo nu Yesu muluviika ulwa ntekesi umbaha.
Simon Petro alimfuata Yesu, na vivyo hivyo mwanafunzi mwingine. Na yule mwanafunzi alikuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, naye akaingia pamoja na Yesu katika behewa ya Kuhani mkuu;
16 Nene uPeteli akiima akiima paanji pa mulyango, Umbulanisivua ujunge jula juno alyakaguliike nu ntekesi umbaha, akahuma panji akajova nu mhinja juno alyale ikuvadindulila avaanhu umulyango, pe akamwitikisia uPeteli kukwingila muluviika.
lakini Petro alikuwa amesimama nje ya mlango. Basi yule mwanafunzi aliyekuwa akifahamika kwa kuhani mkuu, alitoka nje akaenda kuongea na yule mwanamke mtumishi aliyekuwa akilinda mlango na kumwingiza Petro ndani.
17 Umhinja jula akamposia uPeteli akati, “Asi, uve nuli umo ghwa vavulanisivua va muunhu uju?” UPeteli akamwamula akati, “Ndali, une nanili m'bulanisivua ghwake.”
Basi yule kijakazi aliyekuwa akilinda mlango, alimwambia Petro, “Je wewe si mmoja wa wafuasi wa huyu mtu?” Naye akasema, “Mimi siye.”
18 Avavombi na valoleleli valyapembile umwoto ulwakuva jilyale mhepo, vakava vikwota. Ghwope uPeteli akava palikimo na veene ikwota umwoto.
Na wale watumishi na wakuu walikuwa wakisimama mahali pale; wamekoka moto wa kwa maana, kulikuwa na baridi, na hivyo walikuwa wakiota moto ili kupata joto. Naye Petro alikuwa nao, akiota moto akiwa amesimama.
19 Untekesi um'baha akamposia uYesu vwimila avavulanisivua vaake ni mbulanisio saake.
Kuhani mkuu alimhoji Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
20 UYesu akamwamula akati, “Une najovaghe na vaanhu pavuvalafu, ifighono fyoni navulanisyagha mu masinagogi na Nyumba inyimike ija kufunyila, muno vikong'hana aVayahudi vooni. Nanajovagha nambe lisio limonga ku vusyefu.
Yesu akamjbu, “Nimeuambia waziwazi ulimwengu; Mimi nilifundisha mara kwa mara kwenye masinagogi na hekaluni mahali ambapo wayahudi hukusanyika. Nami sikusema lolote katika siri.
21 Lino kiki ghukumhosia une? Uvaposie vano vapulikagha, aveene vakagwile sino najovagha.
Kwa nini mliniuliza? Waulizeni walionisikiliza juu ya kile nilichosema. Hawa watu wanajua mambo yale niliyosema.
22 UYesu ye ajovile isio, umo mu valoleleli juno alyale piipi nu mwene, akantova ni lipi akati, “kiki ukumwamula enendiiki untekesi um'baha?”
Yesu alipokwisha sema hivyo, mmoja wa wakuu aliyekuwa amesimama akampiga Yesu kwa mkono wake na kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo inavyokupasa kumjibu kuhani mkuu?”
23 UYesu akamwamula akati, “Nave nijovile fivi, jova uvuviivi vwango. Neke nave nijovile vunofu, kiki ghukunova?”
Naye Yesu akamjibu, “Kama nimesema jambo lolote baya basi uwe shahidi kwa ajili ya uovu, na kama nimemjibu vyema kwa nini kunipiga?
24 UYesu ye ajiighe akungilue, uAnasi akalaghila kuuti atwalue kwa ntekesi um'baha uKayafa.
Ndipo Anasi alipompeleka Yesu kwa Kayafa kuhani mkuu akiwa amefungwa.
25 Lino uPeteli ye ikwota umwoto, vamo mu vano valyale vikwota umwoto vakamposia vakati, “Asi uve nuli umo mu vavulanisivua va muunhu uju?” Umwene akakaana akati, 'Ndali, une nanili m'bulanisivua ghwake.”
Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha joto mwenyewe. Halafu wale watu wakamwambia. “Je, wewe pia si mmoja wa wanaafunzi wake?” Akakana akisema “Mimi siye.”
26 Neke umo mu vuvombi va ntekesi um'baha, juno alyale nyalukolo ghwa muunhu jula juno uPeteli akan'dumwile imbulughutu akamposia akati, “Asi, naveeve nivele nikwaghile uli palikimo nu Yesu mu mughunda?”
Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ambaye alikuwa ndugu wa yule mwanaume ambaye Petro alimkata sikio, alisema, “Je si wewe niliyekuona naye kule bustanini?”
27 UPeteli akakaana kange, nakalingi ing'hongove jikavika.
Petro akakana tena, na mara Jogoo akawika.
28 Palwakilo, vakantoola uYesu kuhuma kwa Kayafa, vakantwala munyumba ija kitwa ija ntwa ghwa Valooma. Neke aveene navakingili munyumba ijio, ulwakuva vangingile viiva valamafu. Mu uluo navaale vilia ikyakulia ikyimike ikya Pasaka.
Kisha wakamchukua Yesu toka kwa Kayafa mpaka kwenye Praitorio. Ilikwa asubuhi na mapema. Wao wenyewe hawakuiingia ile Praitorio ili wasije wakanajisika na kuila pasaka.
29 Pe untwa uPilato akahuma kunji, akavaposia akati, “Asi, umuunhu uju avombile vuhosi vuki vuno mukumhigha?”
Kwa hiyo Pilato akawaendea akisema. “Ni shitaka gani linalomhusu huyu mtu?”
30 Aveene vakamwamula vakati, “Umuunhu uju, aale ave namhosi, natwale tukumuleeta kulyuve.”
Wakamjibu na kumwambia, “Kama huyu mtu asingekuwa mtenda maovu, tusingemleta kwako.”
31 UPilato akavavuula akati, “Lino muntoole jumue, mukamhighe ndavule silungika indaghilo siinu.” Avayahudi vakamwamula vakati, 'Usue natuli nu vutavulilua uvwa kumhigha umuunhu kuuti abudue.
Pilato akawaambia, “Mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kulingana na sheria yenu.” Nao Wayahudi wakamwambia, “Sheria haituruhusu sisi kumwua mtu yeyote.”
32 Isio silyavombike enendiiki kukwilanisia sino alyajovile uYesu vule ilifua.
Walisema haya ili neno la Yesu litimilike, neno ambalo alikuwa amekwisha sema juu ya aina ya kifo chake.
33 UPilato akagomoka munkate mu nyumba ija kitwa, akankemeela uYesu akamposia akati, “Asi, uve veeve ntwa ghwa Vayahudi?”
Basi Pilato akaingia tena Praitorio akumwita Yesu; akamwambia, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?”
34 UYesu akamwamula akati, “Sino ghukumhosia, sihuma mu masaaghe ghaako juuve, pamo avaanhu avange vakwomwile kuuti umhosie?”
Yesu akamjibu, “Je, wewe waniuliza swali hili kwa Sababu wataka kujua au kwa sababu wengine wamekutuma ili uniulize mimi?”
35 UPilato akamwamula akati, “Nili Muyahudi une? Avaanu kuhuma mukisina kyako, na vavaha va vatekesi ve vano vakuletile kulyune. Uvombile kiki?
Naye Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, au sivyo?” Taifa lako na kuhani mkuu ndio waliokuleta kwangu; wewe umefanya nini?
36 UYesu akamwamula akati, “Uvutwa vwango navwa mu iisi muno, vwale vuve vwa mu iisi muno avavombi vango vaale vikunhanga kuuti nileke kukolua na Vayahudi. Neke lino uvutwa vwango navwa mu iisi muno.”
Yesu akajibu; “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa na sehemu katika ulimwengu huu watumwa wangu wangenipigania ili nisitolewe kwa wayahudi. Kwa kweli ufalme wangu hautoki hapa” Basi
37 Pe uPilato akamposia akati, “Kwe kuti uve uli ntwa?” UYesu akamwamula akati, “Ujovile seseene kuuti une nili ntwa. Une nilyaholilue mu iisi, kuuti nivavulanisie avaanhu uvwakyang'haani. Umuunhu juno ivingilila uvwakyang'haani, ikumhulikisia.”
Pilato akamwambia, “Je, wewe basi u mfalme?” Yesu akajibu, “wewe ndivyo unanvyosema kuwa mimi ni mfalme, Kwa sababu hii mimi nilizaliwa na kwa sababu hii mimi nimekuja ulimwenguni ili niwe shahidi wa ile kweli. Yeyote aliye wa hiyo kweli huisikiliza sauti yangu.
38 UPilato akamosia akati, “Uvwakyang'haani kyekiki?” UPilato ye ajovile isio, akahuma kange kunji, akavavuula aVayahudi akati, “Une nanikuvuvona uvuhosi kwa muunu uju.
Pilato akamwambia, “Kweli ni nini?” Naye alipokwisha sema haya akaenda kwa Wayahudi na kuwaambia “Siona katika lolote mtu huyu.
39 Neke umue muli nu luno lukumhelela une kukun'dindulilia unkungua jumo ikighono ikya kyimike kya Pasaka. Asi, mulonda nin'dindulile untwa ghwa Vayahudi?”
Ninyi mna utamaduni unaonifanya nimfunfungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Je mnataka nimfungulie mfalme wa Wayahudi.”
40 Neke avaanhu vooni vakoova vakati, “Ndali ujuo ndali, utudindulile uBalaba.” uBalaba ujuo, alyale mhijimbudi.
Kisha walipiga kelele wakisema, siyo huyu, tufungulie Baraba.” Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.

< Yohani 18 >