< Yohani 13 >

1 Ye kikyale kufika ikyimike ikya Pasaka, uYesu alyakagwile kuuti unsiki ghwake ughwa kuvuuka mu iisi, kuluta kwa Viise ghufikile, alyavaghanile avaanhu vaake ifighono fyoni, ahufisie ulughono lwake kufika kuvusililo vwa vwumi vwake mu iisi muno.
Sasa kabla ya sikukuu ya pasaka, kwa sababu Yesu alifahamu kuwa saa yake imefika ambayo atatoka katika dunia hii kwenda kwa baba, akiwa amewapenda watu wake ambao walikuwa duniani, aliwapenda upeo.
2 USetano akava ampeliile uYuda umwana ghwa Simoni Iskalioti amsaaghe agha kumwohela uYesu.
Na ibilisi alikuwa amewekwa tayari katika moyo wa Yuda Isikariote, mwana wa simoni, kumsaliti Yesu.
3 UYesu alyakagwile kuuti uNhaata ampeliile uvutavulilua vwoni, na kuuti alyahumile kwa mwene kange igomoka kwa mwene.
Yesu alifahamu kuwa baba ameweka vitu vyote katika mikono yake na kwamba ametoka kwa Mungu na alikuwa anakwenda tena kwa Mungu.
4 Ye vali mu kyakulia, akiima, akafuula isopeka jaake akatandika paasi, pe akatoola ikitambala, akidenga.
Aliamka chakulani na akatandika chini vazi lake la nje. Kisha alichukua taulo na akajifunga mwenyewe.
5 Akaviika amalenga mu likalai akatengula kukuvofugha amaghulu avavulanisivua vaake na kupulusia ni kitambala kino idingile.
Kisha akatia maji katika bakuli na akaanza kuwaosha miguu wanafunzi wake na kuwafuta na taulo ambayo alijifunga yeye mwenyewe.
6 Pe akafika pa Simoni uPeteli, pe uPeteli akati, “Ghwe Mutwa, ghulonda pikunyofugha une amaghulu?”
Akaja kwa Simoni Petro, na Petro akamwambia, “Bwana, Unataka kuniosha miguu yangu?”
7 UYesu akamwamula akati, “Luno nivomba, uve naghukulutang'hania lino, looli kyaghukuluta ng'hania pambele.”
Yesu akajibu na kumwambia, “Nifanyalo hulijui sasa, lakini utaelewa baadaye.”
8 UPeteli akambuula akati, “Uve nung'anyafughe une amaghulu nambe padebe.” UYesu akamwamula akati, “Nave nanikukwofugha, naghuuva nu vuhangilanisi nuune.” (aiōn g165)
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn g165)
9 USimoni Peteli akati, “Ghwe Mutwa, navefyelulivua uleke pikunyafugha gha maghulu, looli unyafughe nagha mavoko naghu mutu.”
Simoni Petro akamwambia, “Bwana, usinioshe miguu yangu tuu, bali pia na mikono na kichwa changu.”
10 UYesu akamwamula akati, “Umuunhu juno oghile um'bili, anoghiile kukwogha gha maghulu gheene, ulwakuva um'bili ghwoni ghuvaliile, najumue muvaliile, neke jumonga mulyumue mulyumue naavaliile.”
Yesu akamwambia, “Yeyote ambaye amekwisha kuoga haitaji kuoga isipokuwa miguu yake, na amekuwa safi mwili wake wote; ninyi mmekuwa safi, lakini si nyote.”
11 UYesu alyankagwile juno kyande ikumwohela, fye nambe alyatiile, “Jumonga mulyumue naavaliile.
Kwa kuwa Yesu alijua yule atakaye msaliti; hii ndiyo sababu alisema, si nyote mmekuwa safi.”
12 UYesu ye amalile kukuvofugha amaghulu avavulanisivua vaake, akafwala isopeka jaake, akagomoka pano akikalile, pe akavaposia avavulanisivua vaake akati, “Asi, Mulutang'hinie luno nivombile kulyumue?
Wakati Yesu alipokuwa amewaosha miguu yao na akiisha chukua vazi lake na kukaa tena, aliwaambia, “Je Mnaelewa kile ambacho nimewafanyia?
13 Umue mukunhambula mwiti, 'Mbulanisi, kange mwiti Ntwa, Mujova seseene, ulwakuva nili m'bulanisi, kange nili Ntwa.
Mnaniita mimi “Mwalimu” na Bwana hii mnasema kweli, maana ndivyo nilivyo.
14 Lino nave une ne juno nili m'bulanisi, kange nili Ntwa nivofwighe amaghulu, enendiiki na jumue fye muvombelanilaghe.
Ikiwa mimi Bwana na mwalimu, nimewaosha miguu yenu, ninyi pia imewapasa kuwaosha wenzenu miguu.
15 Nivahufisie ikihwanikisio iki, kuuti najumue muvavombelaghe avajiinu ndavule nivavombiile umue.
Kwa kuwa nimewapa mfano ili kwamba ninyi pia mfanye kama mimi nilivyo fanya kwenu.
16 Kyang'haani nikuvavuula, unkami nam'baha kukila untwa ghwake, nambe unsung'hua na m'baha kukila juno ansung'hile.
Amini, Amini, nawambia, mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala yule ambaye ametumwa ni mkuu kuliko yule aliye mtuma.
17 Lino, ndave ughatang'hinie amasio agha, ufunyile nave ghuvomba isio.
Ikiwa unafahamu mambo haya, umebarikiwa ukiyatenda.
18 Nanijova isi kulyumue mweni, ulwakuva vano nivasalwile nivakagwile, neke nijova kukwilanisia aMalembe aMimike ghano ghiiti, “Umuunhu juno tuhangile kulia, angalukiile.
Sisemi kuhusu ninyi nyote, kwa kuwa nawajua wale ambao nimewachagua - bali nasema haya ili kwamba maandiko yaweze kutimilizwa: 'Yeye alaye mkate wangu ameniinulia kisigino chake.'
19 Nikuvavuula isi lino pano sikyale pivoneka, neke kya sivoniike mwitike kuuti une NEENE.
Ninawambia hili sasa kabla halijatokea ili kwamba litakapotokea, muweze kuamini kuwa mimi NDIYE.
20 “Kyang'haani nikuvavuula, juno ikumwupila umuunhu juno ninsung'hile, ikunyupila une, ghwope juno ikunyupila une ikumwupila juno asung'hile une.
“Amini, amini, nawambia, anipokeaye mimi humpokea ambaye nina mtuma, na yule anipokeaye mimi humpokea yule aliye nituma mimi.”
21 ye ajovile isio, akapumuka mu mwojo, akavavuula avavulanisivua vaake akati, “Kyang'haani nikuvavuula, jumonga mulyumue itapikunyohela.”
Wakati Yesu aliposema haya, alisumbuka rohoni, alishuhudia na kusema, “Amini, amini, nawambia kwamba mmoja wenu atanisaliti.”
22 Avavulanisivua vaake vakava vilolane, navakakagula kuuti ikun'jova veeni.
Wanafunzi wake wakatazamana, wakishangaa ni kwa ajili ya nani alizungumza.
23 Umo muvavulanisivua va Yesu juno uYesu alyamughanile fiijo, alikalile piipi nu Yesu.
Kulikuwa katika meza, mmoja wa wanafunzi wake ameegama kifuani mwa Yesu yule ambaye Yesu alimpenda.
24 USimoni uPeteli akamposia um'bulanisivua ujuo akati, “Tuvuule ghwe veeni juno ikunjova.”
Simoni Petro alimuuliza mwanafunzi huyu na kusema, “Twambie ni yupi ambaye kwake anazungumza.”
25 Pe um'bulanisivua jula juno eghiime pa kifuva kya Yesu akamposi akati, “Mutwa, ghwe veeni?”
Mwanafunzi yule aliye egama kifuani mwa Yesu na akamwambia, “Bwana, ni nani?”
26 UYesu akamula akati, “Juno nikumpeela ikinkate kino nitapisaasa, ghwe mwene. “Pe akasaasa ikinkate, akampeela uYuuda umwana ghwa Simoni Isikalioti.
Kisha Yesu alijibu, “Ni kwake yule nitakaye chovya kipande cha mkate na kumpatia.” Hivyo alipo kuwa amechovya mkate, alimpatia Yuda mwana wa Simon Iskariote.
27 UYuda ye upiile ikinkate kila, uSetano akamwingila. Apuo uYesu akambuula akati, “Sino ghulonda kuvomba, vomba ng'haning'hani!”
Na baada ya mkate, Shetani alimuingia. Kisha Yesu akamwambia, “Kile ambacho unataka kukifanya ukifanye haraka.”
28 Neke vooni vano valyale vilia pala, nakwealyale nambe jumo juno alyakagwile kuuti kiki uYesu am'bulile u Yuuda enendikio.
Sasa hakuna mtu katika meza alijua sababu ya Yesu kusema jambo hili kwake.
29 Neke ulwakuva uYuda ghwe juno alyale ikola indalama, vamonga vakati uvone uYesu am'bulile kuuti akaghule ifinu fino filondua pa kikulukulu, avange vakatisagha uvone ansung'hile akaghule fimonga ifya kuvapeela avakotofu.
Baadhi yao walidhani kwamba, kwa sababu Yuda alishika mfuko wa fedha, Yesu alimwambia, “Nunua vitu tunavyohitaji kwa ajili ya sikukuu,” au kwamba anapaswa kutoa kitu kwa masikini.
30 UYuda ye upiile ikinkate kila, akahuma kunji ng'haninghaani. Unsiki ughuo jilyale kilo.
Baada ya Yuda kupokea mkate, alitoka nje harak; na ilikuwa usiku.
31 UYuda ye ahumile kunji, uYesu akati, “Lino uNguluve ahufisie uvuvaha vwango ne Mwana ghwa Muunhu, ghwope uNguluve uvuvaha vwake vuvonike kukilila une.
Wakati Yuda alipokuwa ameondoka, Yesu alisema, “Sasa mwana wa Adam ametukuzwa, na Mungu ametukuzwa katika yeye.
32 Nave Unguluve uvuvaha vwake vuvonike kukilila une, ghwope uNguluve kyaihufia uvuvaha vwango kisila kudiila.
Mungu atamtukuza katika yeye mwenyewe, na atamtukuza haraka.
33 “Mwe vanango, nili numue unsiki n'debe vuvule, kyamukundonda, neke lino nikuvavuula ndavule nikavavulile aVayahudi kuuti, “Une kuno niluta umue namungafike. “Lino nikuvavuula na jumue.
Watoto wadogo, niko pamoja nanyi kitambo kidogo. Mtanitafuta, na kama nilivyowambia Wayahudi, 'Niendako, hamuwezi kuja.' sasa nawambia ninyi, pia.
34 Lino nikuvapeela ululaghilo ulupia kuuti, 'Mughananaghe, ndavule une vule nivaghanile umue najumue mughananaghe.
Ninawapa amri mpya, kwamba mpendane; kama mimi nilivyo wapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi pia imewapasa kupendana ninyi kwa ninyi.
35 Nave mughanana, avaanhu vooni vikagula kuuti umue muli vavulanisivua vango.”
Kwa ajili ya hili watu watatambua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu, ikiwa mna upendo kwa kila mmoja na mwingine.”
36 USimoni uPeteli akamposia akati, “Ghwe Mutwa, ghuluta kuughi?” UYesu akamwamula akati, “Kuno niluta nungam'bingilile lino, looli ghulikumbingilila pambele.
Simoni Petro alimwambia, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akajibu, “Mahali ninapokwenda kwa sasa hutaweza kunifuata, lakini utanifuata baadaye.”
37 UPeteli akati, “Ghwe Mutwa, kiki naningakuvingilile lino? Une nitavwile vwimila uve, nambe kuuve kwe kufua.”
Petro akamwambia, “Bwana, kwa nini nisikufuate hata sasa? Mimi nitayatoa maisha yangu kwa ajili yako.”
38 UYesu akamwamula akati, “Ghutavwile vwimila une, nambe kuuve kwe kufua? Kyang'haani nikukuvuula, ing'hongove ye jikyale kuvika, ghuuva ung'hanile katatu.
Yesu akajibu, “Je utayatoa maisha yako kwa ajili yangu? Amini amini nakwambia, jogoo hatawika kabla hujanikana mara tatu.”

< Yohani 13 >