< Yakovo 1 >

1 Yakobo, m'bombi ghwa Nguluve nu Mutwa uYesu kilisite, nikuvahungila umwe mwefisinakijigho name fivili mwevano mupalasine.
Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mbili yaliyotawanyika, salaam.
2 vanyalukolo vango, muhovokaghe pano mughelua no ngelo sino silipapinga
Hesabuni kuwa ni furaha zaidi, ndugu zangu, mnapopita katika matatizo mbali mbali,
3 ulwakuva mukaguile kuuti pano mughelua pa lwiitiko lwinu kukuvapela ulugodo
mkijua kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huwapa uvumilivu.
4 Ulugudo uluo muleke lunyilisie imbombo jake kuuti vakangasie lwoni, kisila. kwaghilua kimonga mulwitiko lwinu.
Acheni uvumilivu uikamilishe kazi yake, kwamba muweze kukomaa kikamilifu, bila kupungukiwa katika lolote.
5 Lino nave jumonga mulyumue ilonda uvukagusi, ansuume uNguluve Juno ikuvapela avanhu vooni muvukoola vwake kisila kuhimba kuvano vikunsuuma, kange ikuvapele uvukagusi.
Lakini kama mtu kati yenu anahitaji hekima, aiombe kutoka kwa Mungu, ambaye hutoa kwa ukarimu na pasipo kukemea kwa wote wamwombao, na atawapa hekima.
6 Neke asumaghe my lwitiko, alekaghe piiva ni nganighani, ulwakuva umunhu unyanganighani alindavule amaviingo munyanja, ghano ghitaghua ni mhepo kuno na ukuo.
Lakini omba kwa imani, bila shaka, kwa kuwa mwenye kutia shaka ni kama mawimbi katika bahari, huchukuliwa na upepo na kutupwa huku na huko.
7 Umuunhu unya luvelo uluo nangahuvilaghe kukupila nambe kimonga kuhuma kwa Mutwa;
Kwa hakika mtu huyu asifikirie kwamba atapokelewa ombi lake kutoka kwa Bwana;
8 Ulwakuva akolile amasaghe ghavili ghano naghikwiting'ana, naila vwimo ku sila saake sooni
mtu huyu ana nia mbili, si imara katika njia zake zote.
9 witiki unkotofu ahovokage ulwakuva asindamile kwa mwene kukyanya,
Ndugu maskini anapaswa kujivuna katika kusimama kwake juu,
10 ghwope umhofu mulwakujisia, ulwakuva umofu ilijoghotoka ndavule ililuva ilya mumasoli mu mughunda ghuno ikila.
wakati huo huo ndugu tajiri katika unyenyekevu wake, kwa sababu atatoweka kama ua la kondeni katika shamba analopita.
11 Ilijuva lidibula, Nike vwimila ulujuva ulukali, amamela ghikwuuma, uvuluva vusanguka, uvunono vwa livuva ilio vunangika. ndavule anala avanhu avamhofu vilitipulivua ye vijiigha vitigha ni mbombo saave.
Jua huchomoza na joto la kuunguza kukausha mimea, na maua huanguka na uzuri wake hufa. Vivyo hivyo watu matajiri watachakaa katikati ya kazi zao.
12 Afunyilue umhunu juno ikuguda mu ngelo, ulwakuva angasileme ingelo isiio, ilikwupila ingela ija vwumi, jino uNguluve akalaghile kukuvapeela vano vikumughana.
Amebarikiwa mtu yule anayevumilia majaribu, kwa kuwa baada ya kushinda jaribu hilo, atapokea taji ya uzima, ambayo imeahidiwa kwa wale wampendao Mungu.
13 Umunhu ghweni naghanilue pijova pano alimungelo, “Iingelo iiji jihuma Kwa Nguluve,” ulwakuva uNguluve naighelua nu vuviivi, Kange uNguluve jujuo na ikumughela umunhu ghweni.
Mtu yeyote hapaswi kusema anapojaribiwa, “Jaribu hili linatoka kwa Mungu,” kwa sababu Mungu hajaribiwi na uovu, na Mungu mwenyewe hamjaribu yeyote.
14 Loli umunhu ghweni ighelua nuvunoghelua vwake jujuo uvuvivi vuno vukamulongwisie na kusyangua kuvomba inyivi.
Kila mtu hujaribiwa na tamaa zake mbaya zinazomshawishi na kumvuta mbali.
15 Liino uvughelelua uvuo vungakangale vupelela kuvomba inyivi, kwoope kuvomba inyiivi kupelela uvufue.
Ndipo baada ya tamaa ya dhambi kubeba mimba, dhambi huzaliwa, na baada ya dhambi kukomaa sawasawa, huishia katika mauti.
16 Vanyalukolo vango vaghanike, namungasyanguaghe.
Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
17 Uluvonolo lwooni ulukwilanifu luhuma kukyanya, kwa Nguluve Nhata. Umwene na nsyetughani ndavule umusulua.
Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika hutoka juu, hushuka chini kutoka kwa Baba wa nuru. Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo.
18 U Nguleve alyasaluile alyatupelile usue uvwuumi vwimila ilisiio lyake ilya lying'ani, Kuuti tuuve vake vasalulua va kwanda mufipelua fyooni finished apelile.
Mungu alichagua kutupa sisi uzima kwa Neno la kweli, ili kwamba tuweze kuwa kama uzao wa kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
19 Vanyalukolo vango vaghanike, mulikaguile iili. umunhu ghweni apulikisiaghe tasia, alekaghe piva mwoghofi ghwa kujova nambe kukalala,
Mnajua hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mmoja anapaswa kuwa mwepesi wa kusikia, siyo mwepesi wa kuongea wala kukasirika,
20 ulwakuva umhunu angave neng'alasi nangavombe sino sinoghile Pamaso gha Nguluve. Lino mughaleke amaghe delelo ghinu amavivi
kwa kuwa hasira ya mwanadamu haiwezi kutenda haki ya Mungu.
21 na masaghe amavivi ghano ghamemile mu moojo ghinu, mwupilaghe vunono illusion lino uNguluve abikile mumoojo ghinu, ilisio ilio lol ni ngufu isa kuvapoka inumbula sinu.
Kwa hiyo wekeni mbali uchafu wa dhambi na ubaya wote ulio mahali popote, na kwa unyenyekevu lipokeeni neno lililopandwa ndani yenu, ambalo lina uwezo wa kuokoa roho zenu.
22 Mulitikaghe ilisio, mulekaghe pipulikisia kewene, mungisyange munumbula sinu jumuie.
Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
23 Ulwakuva umunhu ghweni juno ipulika ilisio kisila kuvomba sino lilungika ujuo along'ine nu munhu juno ikuulola mukilolelo.
Kwa kuwa kama yeyote alisikiaye neno bila kulitendea kazi ni sawa na mtu ajiangaliaye uso wake halisi katika kioo.
24 Niki kyande amalile pikulola, ivuuka nakaliingi ikusyamua vile asivue.
Hujitathimini uso wake, na huenda zake na baada ya muda mfupi husahau anavyofanana.
25 Looli umunhu juno isagha vunono indaghilo sa Nguluve Sino sikuvapelela avaanhu kuva vavuke, na kukusivikila mwoojo, aleke piva munhu wa kupuliika na kusyamua, ulwene avombaghe luno silungika, ujuo uNguluve ikumfuunya kusoni Sino ivomba.
Bali mtu yule anayeiangalia kwa uangalifu sheria kamili, sheria ya uhuru, na kuendelea kuitii, si kwa sababu yeye ni msikilizaji anayesahau, huyu mtu atabarikiwa anapoitenda.
26 Nave umuunhu isagha kuuti ikum'bingilila uNguluve, neke naikuloleleela munjovele jaake, umunhu ujuo ikusyanga mwene kuviingilila ukuo kusila luvumbulilo.
Ikiwa mtu yeyote atafikiri mwenyewe kuwa ni mtu wa dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, huudanganya moyo wake na dini yake ni bure.
27 Kukum'bingilila uNguluve u Nhata kunokunoghile, kwe kuvomba isi: kukuvatlanga avapina na vafwile mu vukaming'hanilua vwave name kukolelela juice vwimila imbombo inyali isa mu iisi iji.
Dini iliyo safi na isiyoharibiwa mbele za Mungu wetu na Baba ni hii: kuwasaidia yatima na wajane katika mateso yao, na kujilinda wenyewe na ufisadi wa dunia.

< Yakovo 1 >