< Vaebrania 4 >

1 Pauluo, lutunoghile kuva maso ulwakutu mulyumue napweangavisaghe nambe jumonga juno kwande ikunua kuva nulufingo ulukwilanifu lwakwingila muvwavuke vwa Nguluve.
Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
2 Ulwakuva tulinimola inofu vwimila ulupumo lwa Nguluvelikapulisivue mulyusue ndavule ava Israeli luno valyale nalo, looli imola ijio najikavatanga vala vano vakapulikekisila kulungika ulwitiko uluo.
Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
3 Mu lyusue, twevano twitike-usue ena muvamo tulikwingila mu lupumo lula, ndavule vule jijova, “Ndavule nikijiighile mu lyoojo lyango, Navangingile mulupumo lango.” Akajovile ulu, ulwakuva imbombo soni sna akavombile skakwilanile kuhima muvutengulilo vwa iisi.
Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
4 Lino ye ajovile pala oamonga vwimila ikighono kya lekela lubale, “UNguluve alyapumile mukighono kya lekela lubale kusoni sino akavombile.”
Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
5 Kange ajovile, “Navangingile mululumo lwango.”
Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
6 Pauluo, kutengulila ulupumo lwa Nguleve bado lwigho vwimila vwa vamo kukwingilla, kuvutengulilo vwa vaisraeli vinga vano vakapulike imola inofu vwimila ulupumo lwa mwene navakingile ulwakuva nava kamwitike,
Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
7 UNguluve akabik a kange ikighono kimonga, kikemelua, “Umusyughu.” Umwene akatemile ikighono iki ye ajovile kukilila u Daudi, juno alyajovile kunsiki n'tali jukila ghano ghakajovilue kuvutengulilo, “Umusyughu nave mupulika ilisio lya mwene, namulabikagha amojo ghinu kuva magumu.”
Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
8 Ndavule u Yoshua yevavapelile ulupumo, uNguluve asaleka kujova mu kighono ikinge.
Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
9 Pa uluo kuliva ni Sabati ja lupumo jino jibikilue vwimila vwa vaanhu va Nguluve.
Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
10 Juno ikwingila muvupuumo vwa Nguluve umwene jujuo apumile kuhumilanila ni mbombo sa mwene, ndavule u Nguluve vule avombile wa mwene.
Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
11 Lutunoghile kuva nikyumilyua kya kwingila muvupuumo, neke napwengavisaghe juno ighwila mufihwani fya vugalusi vono vavombile.
Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
12 Ulwaku ilisio lya Nguluve lili nu vwumi ni ngufu kange lili nuvutemi kukila uvwa bamba jejoni inya vutemi kuvili. Kange jihoma nakufikila kughavania inafusi sa numbula, nifilungo fya muunhu nifino nafighwesia kughaving'haana. Nilino likagula gha numbula gha mwene.
Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
13 Nakwekile kino kifisime pa vweni vwa Nguluve. Pa uluo, ifinu fyoni fikuvonesia pa vweli ku maso gha jumo juno ighanilue kuhumia ifivalilo.
. Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
14 Pambele kuva nu n'tekesi um'baha juno alingile mu iisi, uYesu mwana ghwa Nguluve, kuvukangali tugadilile ulwitiko lwitu.
Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
15 Ulwakuva tusila n'tekesi um'baha juno na ikagula ulusungu vwimila uvuvotevote vwitu, looli umwene juno isila sa mwene soni akale ighwelua ndavule usue, looli unsila nyivi.
Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
16 Pe tuise nuvukangali pa kitengo ikya vutua ika lusungu, neke kuuti twupile uvumofu kange kupelua ulusungu ulwa vupoki unsiki ghwa vufumbue.
Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.

< Vaebrania 4 >