< Vagalatia 6 >

1 nyalukolo ndeve umuunhu ghweni akolilue mu vuhosi, umue mwe va Mhepo, lunoghile kukun'gomosia unyalukolo ujuo ku numbula ija vukola. kuno mukujilololela jumue kuuti namungaghesivuaghe.
Ndugu, ikiwa mtu amekamatwa katika uovu, ninyi mlio wa kiroho, mnawiwa kumrejesha huyo ndugu katika roho ya upole. Huku mkijiangalia wenyewe ili msijaribiwe.
2 mutolelanilanaghe amasigho, mu uluo mukujikamilisia indaghilo ja Kilisite.
Mchukuliane mizigo, na kwa hiyo mtaikamilisha sheria ya Kristo.
3 ndeve umuunhu ghweni ukughinia kuuti umwene ghw nono kukila himbe na kiinu, ikujisyanga jujuo.
Ikiwa mtu yeyote anajiona ni bora wakati si kitu, anajidanganya mwenyewe.
4 amuunhu ghweni na akagule imbombo jake, pepano iva ni kiinu kyake mwene ikya kukughinia, kisila kukulinganisia umwene nu junge.
Kila mmoja na aipime kazi yake. Kisha atakuwa na kitu mwenyewe peke yake cha kujisifu, bila kujilinganisha mwenyewe na mtu yeyote.
5 ulwakuva umuunhu ghweni litola un'sigho ghwake jujuo.
Maana kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe.
6 umuunhu juno avulanisivue ilisio lunoghile kuhanga amanono ghoni nu m'bulanisi ghake.
Mtu aliyefundishwa neno lazima amshirikishe mazuri yote mwalimu wake.
7 namungasyanguaghe. uNguluve naihighua, kino avyalile jumonga kye ilitavula.
Msidanganyike. Mungu hadhihakiwi. Kila apandacho mtu, ndicho atakachovuna pia.
8 juno ivyala imbeju jake mu sambi ilitavula uvunangifu, looli juno ivyala imbeju mwa Mhepo ilitavula uvwumi vwa kusila na kusila kuhuma kwa Mhepo. (aiōnios g166)
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios g166)
9 natungakatalaghe kuvomba sino sinoghiile ulwakuva mu nsiki ghwake tulipeta ndeve natilidenyeka inumbula.
Tusichoke katika kutenda mema, maana kwa wakati wake tutavuna ikiwa hatutakata tamaa.
10 pe lino unsiki ghuno tuuva ni nafasi umuunhu ghweni atendaghe sino sinoghile. looli vano vali mu n'kate ja lwitiko.
Hivyo basi, wakati tutakapokuwa na nafasi, tutende mema kwa kila mmoja. Tutende mema zaidi hasa kwa walio ndani ya imani.
11 lola uvukome vwa kalata sino nikavalembile ku luvoko lwango june.
Angalieni ukubwa wa barua nilizowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe.
12 vala vano vinoghua kuvomba inono isa m'bili vevene vikuvalasimisia kukekua. vivomba ndikio kuuti navangingilaghe mu mhumhuko sa kikovekano kya Kilisite.
Wale wanaotaka kufanya mema kwa mtazamo wa mwili ndiyo wenye kuwalazimisha mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu wasiingie kwenye mateso ya msalaba wa Kristo.
13 ulwakuva vope avuo vano vakekilue avene navivomba inaghilo. pe pano vilonda umue mukekue neke viise kukughinia amavili ghinu.
Maana hata hao waliotahiriwa wenyewe hawaishiki sheria. Badala yake wanataka ninyi mtahiriwe ili waweze kujivunia miili yenu.
14 nalungahumilaghe kukughinia kisila kikovekano kya Mutwa ghwitu uYesu Kilisite. mwa mwene iisi jikapumusivue kulyune, nu mwene mu iisi.
Isitokee nikajivuna isipokuwa kwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo. Ni katika yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu na mimi katika ulimwengu.
15 ulwakuva tukakekilue nambe kisila kukekua kuuva kye kiinu. pe pano uluholuo ulupia lwe lunghanike.
Kwa kuwa haijalishi kutahiriwa au kutokutahiriwa kuwa ni kitu. Badala yake uzao mpya ni muhimu.
16 ku vooni vano vikukala muvutavike uvu, vavisaghe nu lughano ni kisa fivisaghe lu vooni, na ku Isilaeli ja Nguluve.
Kwa wote wenye kuishi kwa kanuni hii, wawe na amani na rehema iwe juu yao wote, na juu ya Israel ya Mungu.
17 kuhuma lino umuunhu ghweni nangamhumhusiaghe, lwakuva nipindile ilitavua lya Yesu mu m'bili ghwango.
Tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, maana nimebeba chapa za Yesu mwilini mwangu.
18 uvumosi vwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite vuve mu numbula sinu vanyalukola vango. Ameni
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu, ndugu. Amina.

< Vagalatia 6 >