< Waefeso 2 >

1 Ndavule mulivuo kuuti mufwile mu vuhosi ni nyivisinu.
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Lukale mu agha kuuti ulwakwasia mukalutile kuling'ana nuvnsiki ughwa iisi iji. ukale muluta kuvingilila untemi ughwa vutavulilua ughwa vulanga. Iiji je mhepo jamwene jula juno ivomba imbombo mu vaana agagalusi. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Usue tweni apuo pa vwasio tukale mun'kate mu aava vano na vitike. Tulyale tuluta ndavule uvu noghelelua uvuvivi vwa mavili ghitu. Tulyale tuvomba uvughane vwa m'bili na kukagula kulyusue. Tulyale va vutengulilo avaana ava lukwelo ndavule avange.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Looli u Nguluve ghwe mwinga ghwa lusungu ulwakuva ulughano lwa mwene lukome luno atughanile usue.
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 Unsiki ghuno tukale vafue nu vuhosi vwitu, alyatuletile palikimo mu vukalo uvupia mun'kate mwa Kilisite. Kulusungu kwekuuti mupokilue.
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 U Nguluve alya tusyusisie palikimo na pikutuviika kukukala palikimo pala pavulanga mun'kate mwa Kilisite Yesu.
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 Alyavombile n'diiki kuuti munsiki ghuno ghukwisaanoghile kukutusona uvumofu uvukome uvwa lusungu lwa mwene. Ikutusona usue iili kusilanija vuhugu vwa mwene mun'kate mwa Kilisite Yesu. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Mulusungu mupokilue musila ija lwitiko. Ulu naluhumile kulyumue. Luvonolo lwa Nguluve.
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 Najihumilanila ni mbombo. Ku isio nakwangavisaghe nambe jumo ughwa kughinia.
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Ulwakuva usue tuli mbombo ja Nguluve, tupelilue mwa Kilisite Yesu kuvomba imbombo inono. Nimbombo iisi sino u Nguluve alya tuvikile kuhumila pa vukulu vwimila usue, ulwakuuti tughendelelaghe mu isio.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Pauluo mukumbukaghe kuuti pa mwande paala mulyale vaanhu va paanji mu lwa m'biili. Mutambulua “Mwevasila kudumulua” ku kila kino kitambulua vu dumulua vwa m'biili vuno vuvombua na mavoko gha vaanhu.
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 Kunsiki ughuo mulyabaghulue nu Kilisite. Mulyale va hesia muvaanhu va Israeli. Mulyale va hesia mulufingo lwa kufingana. Mulyale vasila vwa kyang'haani kunsiki ghuno ghukwisa. Mulyale vasila Nguluve mu iisi.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Looli lino mwa Kilisite u Yesu umue mwevano pakali apuo mulyale patali nu Nguluve muletilua pipi nhu Nguluve mu danda ja Kilisite.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Ulwakuuva umwene ghwe lutengano lwitu. Alya vombile vavili kuva jumo. Vwimila um'bili ghwa mwene alyananginie uluvumba lwa vugalung'ani vuno vulya tughavinie, uvulugu uvuo.
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Kuuti alyimisie indaghilo sa lulaghilo nuvutavike ulwakuuti apeele umuunhu jumo umpia mun'kate mwa mweene. Akaviika ulutengano.
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Alyavombile vulevule ulwakuuti aghasambanie amapugha ghavili agha vaanhu kuuva m'bili ghumo kwa Nguluve kukilila ku kikovekano. Ku siila ja kikovekano alya budile uvulugu.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 U Yesu alisile na kupulisia ulutengano kulyumue umue mwevano mulyakutali nulutengano kuvaala vano valya pipi.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 Ulwakuva ku sila ija Yesu usue tweeni vaviili tuli nuvwelefu kwa Mhepo jula jumo kukwingila kwa Nhaata.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Pa uluo, umue mwe vaanhu mwe vapanji namulimulughendo na kuuva vahesia kange. Looli muli vanakaja palikimo navala avabaghulua vwimila u Nguluve na kuuva valetamola munyumba ja Nguluve.
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Mujengilue mulwalo lwa vasung'ua nava viili. Ukilisite yesu jujuoalyale ghwe livue ilivaha ilya pa nguuto.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 Vwimila umue lijengo lyooni lilunganisivue palikimo na kukula heene nyumba ja kufunyila ija Mutwa.
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 Mwe mun'kate mwa mwene umue najumue mujengua palikimo heene pe pala apakukala apa Nguluve mwa Mhepo.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Waefeso 2 >