< Vakolosai 1 >

1 u ne Paulo nu n'sunghua ghwitu u Timoteo twevasung'ua va Yesu kilisite mu lughano lwa Nguluve.
Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu,
2 kulyumue mwe vitiki na vanyalukolo vanywilifu mwa kilisite mwe vano muli ku Kolosai, uvumosi vuve kulyumue, nu lutengano kuhuma kwa Nguluve Nhaata ghwitu.
kwa waumini na ndugu waaminifu katika Kristo walioko Kolosai. Neema iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3 tuku muhongesia uNguluve, Nhhata ghwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite, kange tukuvasuumila ke kinga ifighono fyoni.
Tunatoa shukrani kwa Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, na tunawaombea mara kwa mara.
4 tupuliilke ulwitiko lwinu mwa Yesu Kilisite nu lughano luno mulinalwo ku vaanhu vooni vano vabaghulivue vwimila Nguluve.
Tumesikia imani yenu katika Yesu Kristo na upendo mlionao kwa wale wote waliotengwa kwa ajili ya Mungu.
5 mili nu lughano ulu lwakuva nihuviila ulwa kyang'haani kuuti, lino livikilue kukyanya vwimila jiinu. mulyapulike muluhuvilo uluo ulwa kyang'haani ye likyale ilivangili ilya kyang'haani. lino lisile kulyumue.
Mna upendo huu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu. Mlisikia kuhusu taraja hiyo ya uhakika kabla katika neno la kweli, injili,
6 ilivangili ili lyalihola imheke nakupulikika mu iisi sooni. kuhuma ikighono kino mulyapulike na kumanyila uvumosi vwa Nguluve mu kyang'haani.
ambayo imekuja kwenu. Injili hii inazaa tunda na inaenea ulimwenguni kote. Imekuwa ikifanya hivi ndani yenu pia tangu siku mlipoisikia na kujifunza kuhusu neema ya Mungu katika kweli.
7 ili lye livangili lino mulyamanyile kuhuma kwa Eupafula, mughanike kange m'bomba mbombo n'jiitu, juno ghwe m'bombi nyilifu ghwa Kilisite,
Hii ndiyo injili mliyojifunza kutoka kwa Epafra, mpendwa wetu mtumishi mwenzetu, ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
8 UEpafula ghwe alyavombile kuuti tukagule ulughano lwinu mwa Mhepo.
Epafra ameufanya ujulikane kwetu upendo wenu katika Roho.
9 kuhuma ikoghono kino tulyapuliike ulughano ulu natughele tubuhile kukuvasumila. jaatu tusuuma kuuti mumemesevue nu luhala lwa Nguluve.
Kwa sababu ya upendo huu, tangu siku tuliposikia hivi, hatujaacha kuwaombea. Tumekuwa tukiomba kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa kiroho.
10 tukuvasuumila kuuti mughendaghe mu lugudo vwa Mutwa mu sila sino sinoghiile. kange tukuvasuumila kuuti mlihola imheke mu nono sooni sino muvomba muliiva mu luhala la Nguluve.
Tumekuwa tukiomba kwamba mtatembea kwa ustahimilivu wa Bwana katika njia zipendezazo. Tumekuwa tukiomba kwamba mtazaa tunda katika kila tendo jema na kwamba mtakua katika maarifa ya Mungu.
11 tukuvasuumia kuuti muwesie kuponekesevua ingufu kuling'hana ni ngufu sa vwimike vwake mu lugudo lwoni.
Tunaomba mweze kutiwa nguvu katika kila uwezo kulingana na nguvu za utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu wote.
12 tukuvasuumila kuuti ke lukeelo muli kumuhosngesia uNhaata juno avavombile umue muwesie kuva nu lubale ulwa kukwimilila avitki mu lumuli.
Tunaomba kwamba, kwa furaha, mtatoa shukrani kwa Baba, aliyewafanya ninyi mweze kuwa na sehemu katika urithi wa waumini katika nuru.
13 atupokile kuhuma mu vutavike vwa ng'iisi na kukututwala ku vutwa vwa n'swambe mughanike.
Ametuokoa kutoka katika utawala wa giza na kutuhamishia katika ufalme wa Mwana wake mpendwa.
14 mwa n'swambe tuli nu ... nu lu saghilo lwa sambi.
Katika Mwanae tuna ukombozi, msamaha wa dhambi.
15 Un'swambe kye kihwani kya Nguluve kino nakivooneka. ghwe muholua ghwa kwasia mu vuvumbi vwoni.
Mwana ni mfano wa Mungu asiyeonekana. Ni mzaliwa wa kwanza wa uumbaji wote.
16 ulwakuva kwa ifinu fyoni fikavumbilue, vino fili kukyanaya na fino fili pa iisi, ifinu fino fivoneka na fino nafivoneka. ndeve fya muvwandilo vwa iisi, nambe muvutavulua, nambe vutavike nambe uvunya ngufu, ifinu fyoni fikavumbilue vwimila jaake.
Kwakuwa kwa yeye vitu vyote viliumbwa, vile vilivyoko mbinguni na vilivyoko duniani, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. ikiwa ni vya enzi au mamlaka au utawala au wenye nguvu, vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
17 umwene alya nambe ye fikyale ifinu fyoni, mwa mwene ifinu fyoni fikakoline palikimo.
Yeye amekuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
18 umwene ghwe mutu ghwa ilembile, umwene ghwe vwandilo kange muholua ghwa kwasia kuhuma mu vafue, lino alini nafasi ija kwasia mu finu fyoni.
Na yeye ndiye kichwa cha mwili yaani kanisa, yeye ni mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka miongoni mwa wafu, hivyo, ana nafasi ya kwanza miongoni mwa vitu vyote.
19 ulwakuva uNguluve akanoghilue kuuti uvufwilifu vwake vwoni vukale n'kate jaake.
Kwa kuwa Mungu alipendezwa kwamba utimilifu wake wote uishi ndani yake,
20 na kusambania ifinu fyoni ku sila ja n'swambe. UNguluve alyavikile ulutengano kukilila idanda ja kikovekano kya mwene. UNguluve akasambinie ifinu fyoni kwa mwene, nde fyalefya mu iisi nambe fya kukyanya.
na kupatanisha vitu vyote kwake kwa njia ya Mwanawe. Mungu alifanya amani kupitia damu ya msalaba wake. Mungu alipatanisha vitu vyote kwake mwenyewe, ikiwa ni vitu vya duniani au vitu vya mbinguni.
21 numue kange, un'siki ghuno mulyale vaghesi kwa Nguluve kange mulyale valugu vake ku kuhala na maghendele gha vuhosi.
Nanyi pia, kwa wakati mmoja mlikuwa wageni kwa Mungu na mlikuwa maadui wake katika akili na matendo maovu.
22 neke lino avasambinie umue ku m'bili ghake kkilila uvufue. akavombile ndiki neke kukuvaleta umue mwe vwimike mwevasila lupiko kange kisila vuhosi pa maaso ghake,
Lakini sasa amewapatanisha ninyi kwa mwili wake kupitia kifo. Alifanya hivi ili kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama na bila dosari mbele yake,
23 ndeve mulighendelela mu lwitiko, luno mukangasivue mu lweli, kisila kuvikua kutaali kuhuma ku luhivilo lwa vukangafu vwa livangili lino mukapilike. ili lwe livangili lino likapulisivue ku vaanhu vano alyavavumbile pa iisi. ili lye livangili lino une ne Paulo nilyale m'bombi.
kama mkiendelea katika imani, mliyoimarishwa na kuwa thabiti, pasipo kuondoshwa mbali kutoka kwenye taraja la ujasiri la injili mliyoisikia. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Hii ndiyo injili ambayo kwayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi.
24 lino nihovokela imhumhuko sango vwimila jiinu. najune nikamilisia mu mbili ghwango kino kipelela mu mhumhuko ja Kilisite vwimila um'bili ghwake, ghuno je tembile.
Sasa nafurahia mateso yangu kwa ajili yenu. Nami natimiliza katika mwili wangu kinachopungua kwa mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
25 une nilim'bombi ghwa tembile iji, kulinganga nu vutavike vuno nipelilue kuhuma kwa Nguluve vwimila jinu kukulimemia ilisi lwa Nguluve.
Mimi ni mtumishi wa kanisa hili, sawasawa na wajibu niliopewa kutoka kwa Mungu kwa ajili yenu, kulijaza neno la Mungu.
26 iji je kyang'haani jini jikafisime mu maka minga ni fisina fyoni. neke lino jifunulivue ku viti voni. (aiōn g165)
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
27 ve vala vano uNguluve kukuvasona vule kuli nuvutajili vwa vwimike mu lifiso lwa kyang'haani mu iisi simonga. kwe kuuti uKilisite ali n'kate jinu mu lukangasio lwa vwimike vunovukwisa.
Ni kwa wale ambao Mungu alitaka kufunua kulivyo utajiri wa utukufu wa siri ya ukweli huu miongoni mwa Mataifa. Ni kwamba Kristo yumo ndani yenu, ujasiri wa utukufu ujao.
28 uju ghwe mwene tukumpulisia. tuum'bunga na kukum'bulanisia umuunhu ghweni ku vukola vwoni, neke kuuti tumulete umuunhu ghweni fywilifu mwa Kilisite.
Huyu ndiye tunayemtangaza. Tunamwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote, ili kwamba tumlete kila mtu mkamilifu katika Kristo.
29 mu vwimike uvu, une nivomba ku ngufu sango sooni na kukujitanga ni ngufu ja mwene vule jivomba imbombo n'kate jango.
Kwa jili hii, mimi najibidisha na kujitahidi kulingana na nguvu yake ifanyayo kazi ndani yangu katika uweza.

< Vakolosai 1 >