< 3 Yohani 1 >

1 Umughogholo, kwa gayo umughane, unonimughani le nhu vwakyang`ani.
Mzee, kwa Gayo mpenzi, ninayempenda katika kweli.
2 Mughanike, nikukusumulia ukagule ku iisi sooni kange nha kuuti uve nhu mbiili unofu, ndavule vule inhumbula jako vule jikagulike.
Mpendwa, nakuombea ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema, kama vile roho yako inavyofanikiwa.
3 Ulwakuva nikahovwike kyoongo unsiki yenivulilue nikahovwike kyoongo unsiki yenivulilue nha vanyalukolo vanovakisile kange nakuhumia uvwolesi nhu vwakyang`ani vwako, ndavule vule ghuluta mu vwakyang`ani.
Maana nilifurahi sana wakati nilipoambiwa na ndugu waliokuja na kutoa ushuhuda juu ya kweli yako, kama vile unavyoenenda katika kweli.
4 Nilivuvule ulukelo uluvaha kyoongo mu ulu, kupulika kuuti avana vango vighenda muvwakyang`ani.
Sina furaha kubwa zaidi ya hii, kusikia kwamba watoto wangu wanatembea katika kweli.
5 Mughanike, ghuuta mu vwitike panoghukavavombela avanyalukolo nha vahesia.
Mpendwa, unaenenda kwa uaminifu unapowahudumia ndugu na wageni,
6 Vano vahumisie uvwa lughano lwako pavulongolo palukong`ano. Ghuvombia vunofu pikuvaghendesia mulughendo luvanave ku siila jino jimunoghile u Nguluve.
ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa. Unafanya vizuri kuwasafirisha katika safari zao kwa namna ambayo inampendeza Mungu.
7 Ulwakuva vwimila vwa, valyalutile nambe kutoola ikinu kimongo kuhuma muvaanhu ava mufisina.
Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda bila kuchukua kitu chochote kutoka kwa watu wa Mataifa.
8 Pauluo, tunoghile kukuvupila avaanhu ndavule ava, ulwakutive vavomba mbombo vanofu vwimila kyang`ani.
Hivyo, tunatakiwa kuwakaribisha watu kama hawa, ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli.
9 Nikalilembiile ilipugha ilisio ilio, looli u Diotrofe, juno ilonela kuuti ave ghwa kwasia muvamo muvanave naikwiting`ana nusue.
Nililiandikia kusanyiko jambo fulani, lakini Diotrofe, anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao, hakubaliani na sisi.
10 Pauluo, nave nikwisa nikusikumbuka imbombo sa mweene sino ikusivomba, ndavule pannoijova nhi mbombo iisi umweene jujuo naikuvupila avanyalukolo. Kange ikuvaka na avange vanovinoghelua pikuvupila avanyalukolo avuo napikuvadagha vahuume mulipugha.
Hivyo, kama nikija nitayakumbuka matendo yake anayoyafanya, jinsi anavyosema maneno mabaya kinyume nasi. Hajaridhika na matendo haya, yeye mwenyewe hawapokei ndugu. Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao ndugu na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
11 Mughane, nungeghaghe kino kivivi, looli ighagha kino kinofu. Umweene juno ivomba vunofu ghwe ghwa Nguluve; kange nhumweene junoivomba amavivi namwaghile u Nguluve.
Mpenzi, usiige kilicho kibaya, bali iga kilicho chema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; na yeye atendaye mabaya hajamwona Mungu.
12 U Demetrio avolelilue kange vooni nuvwakyang`ani vuvuo. Najusue kange tulivolesi, kange ghukagula kuuti uvwolesi vwiitu vwakyang`ani.
Demetrio ameshuhudiwa na wote na kweli yenyewe. sisi pia ni mashahidi, na unajua kuwa ushahuhuda wetu ni wa kweli.
13 Nilinagho minga aghakukulembela, looli nanilonda pikukulembela nhi kalamu ija n`kala nambe nhi kalamu ija vwiino.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kukuandikia kwa kalamu na wino.
14 Looli nihuvila kukuvona anala pipi, kange tujovagha nune maaso na maaso. U lutengano luve palikimo nuve. Amanyani vikukuhungila. Vahungilaghe avamanyani umunhu ghweeni nhilitavua lya mweene.
Bali ninatarajia kukuona hivi karibuni, na tutaongea nawe ana kwa ana. Amani iwe pamoja nawe. Marafiki wanakusalimu. Wasalimu marafiki kila mmoja kwa jina lake.

< 3 Yohani 1 >