< 2 Petulo 1 >

1 USimon Petulo un'sung'hua ghwa Yesu Kilisite, ku vano vooni vano vupiile ulwitiko lwa lutalama ndavule fino tulyupile usue, ulwitiko luno luli mun'kate ja Nguluve nu mpoki ghwitu uYesu Kilisite.
Simon Petro, Mtumwa na Mtume wa Yesu Kristo, Kwa wale walioipokea imani ile ile ya thamani kama tulivyoipokea sisi, imani iliyo ndani ya haki ya Mungu na mwokozi wetu Yesu Kristo.
2 uvumosi vuvisaghe kulyumue; ulutengano lwongelele kukilila uluhala lwa Nguluve nu Mutwa ghwitu uYesu
Neema iwe kwenu; amani iongezeke kupitia maarifa ya Mungu na Bwana wetu Yesu.
3 kukilila uluhala lwa Nguluve tukavile imbombo sa mwene sooni vwimila uvunoghelua vwa vwumi, huma kulyune juvo atukemhel. ile vwimila uvunono vwake vwa vwimike vwake.
Kupitia maarifa ya Mungu tumepata mambo yake yote kwa ajili ya uchaji wamaisha, Toka kwa Mungu aliyetuita kwa ajili ya uzuri wa utukufu wake.
4 ku sila iji akatuhuvisie mu lufingo ulukome ulwa ndalama. akavombile ndiki neke kukutuvomba kuuva vimilisi vwa vwandilo vwa Nguluve, fino tughendelela kukuvuleka uvuhosi vwa iisi iji.
Kwa njia hii alitutumainishia ahadi kuu za thamani. Alifanya hili ili kutufanya warith wa asili ya Mungu, kwa kadiri tunavyoendelea kuuacha uovu wa dunia hii.
5 mu ili vombagha ku ngufu sooni neke kukwongelesia uvunono ku sila ja lwitiko lwinu, ulwakuva uvunono nu luhala,
Kwa sababu hii, fanyeni bidii kuongeza uzuri kwa njia ya imani yenu, kwa sababu ya uzuri, maarifa.
6 kukilila uluhala, padebe, na kukilila isabuli padebe, na kukilila isabuli vwimike.
Kupitia maarifa, kiasi, na kupitia kiasi saburi, na kupitia saburi, utauwa.
7 kukilia ulughano lwa vwimike vwa vanyalukolo.
Kupitia utauwa upendo wa ndugu na kupitia upendo wa ndugu, upendo.
8 ndeve isi sooni mwesili n'kate jiinu, ghighendelela kukula n'kate jiinu, pe umue namuliiva vaanhu vano navihola imheke mu luhala lwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite.
Kama mambo haya yamo ndani yenu, yakiendelea kukua ndani yenu, basi ninyi hamtakuwa tasa au watu msiozaa matunda katika maarifa ya Bwana wetu Yesu Kristo.
9 neke ghweni juno nailiiva nisi sooni, ikusagha isa pavupipi seene, umwene ghwe nailola. ashemilue uluvalasio lwa sambi saake isa pakali.
Lakini yeyote asiyekuwa na mambo haya, huyaona mambo ya karibu tu; yeye ni kipofu. amesahau utakaso wa dhambi zake za kale.
10 lino, vanyalukolo vango, vombagha nu ngufu sooni neke kuhakikisia ulukemhelo vwimila jiinu. ndeve muvomba isi namulikuvala.
Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni juhudi ili kujihakikishia uteule na wito kwa ajili yenu. Kama mtayafanya haya, hamtajikwaa.
11 pe pano mukujikavila uvwinga vwa mulyango ghwa kwingilila muVutwa vwa kusila na kusila uvwa Mutwa nu mpoki ghwitu uYesu Kilisite. (aiōnios g166)
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios g166)
12 pe lino, une niliiva tayale kukuvakumbusia ke kinga nambe mukagula, na lino mulivakangafu mu kyang'haani.
Kwa hiyo mimi nitakuwa tayari kuwakumbusha mambo haya kila mara, hata kama mnayafahamu, na sasa mmekuwa imara katika kweli.
13 nisagha kuuuti nili ni lweli kukuvasisimula na kukuvakumbusia mu agha ghooni. pano nijighe mu tembile iji.
Nafikiria kuwa niko sahihi kuwaamsha na kuwakumbusha juu ya mambo haya, ningali nimo katika hema hii.
14 ulwakuva nikagula kuva na n'siki n'tali nikujivusia itembile jango. ndavule uMutwa Yesu Kilisite fino akanisonile.
Kwa maana najua kuwa si muda mrefu nitaiondoa hema yangu, kama Bwana Yesu Kristo alivyonionyesha.
15 nikutanga ni ngufu sango sooni vwimila jiinu neke mukumbuke isi sooni kyande nivukile.
Nitajitahidi kwa bidii kwa ajili yenu ili mkumbuke mambo haya baada ya mimi kuondoka.
16 ulwakuva usue natukafwatile injovele sino sikalembilue ku vunono kyaongo pala pano tukale tujova ingufu na kuvoneka kwa Mutwa ghwitu uYesu Kilisite, pe pano usue tulyale valolelesi va vwimike vwake.
Kwa kuwa sisi hatukufuata hadthi zilizoingizwa kwa ustadi pale tulipowaeleza juu ya nguvu na kujidhihirisha kwa Bwana wetu Yesu Kristo, bali sisi tulikuwa mashahidi wa utukufu wake.
17 umwene akupile uvwimike nu... kuhuma kwa Nguluve Nhaata pano isavuti jikapulikike kuhuma mu vwimike jikaati, “uju ghwe mwanango mughanike ghwango juno ninoghiile naghwao.
Yeye alipokea Utukufu na heshima toka kwa Mungu baba pale sauti iliposikika toka katika utukufu mkuu ikisema, “Huyu ndiye mwanangu, mpendwa wangu ambaye nimependezwa naye.”
18 tukapulike isavuti iji jikahumile ku kyanya pano tulyale nave ku kidunda ikyimike.
Tuliisikia sauti hii ikitokea mbinguni pale tulipokuwa naye kwenye ule mlima mtakatifu.
19 tuli ni lisio ilya vuvili lino lithibitike, lino mu ilio muvomba vunono. ji tala jino jivika pakilo kuhanga pano kukia ni nondue isa sino sivineka mu numbula sinu.
Tunalo hili neno la unabii lililothibitika, ambalo kwalo mwafanya vyema kulitekeleza. Ni kama taa ing'aayo gizani mpaka kuchapo na nyota za mawio zionekanazo katika mioyo yenu.
20 mukagulaghe agha kuuti, kusila vuvili vuno vulembilue ulwa kusaghua na vavili vavuo,
Tambueni haya ya kwamba, hakuna unabii unaoandikwa kwa sababu ya kujifikirisha kwa nabii mwenyewe.
21 kuuti kusili uvuvili vuno vwisile ku vunoghelua va vaanhu, pe pano vakawesisie kukilila UMhepo uMwimike juno akajovile kuhuma kwa Nguluve.
Kwa kuwa hakuna unabii uliokuja kwa mapenzi ya mwanadamu, isipokuwa wanadamu waliwezeshwa na Roho Mtakatifu aliyeongea toka kwa Mungu.

< 2 Petulo 1 >