< 1 Vathesalonike 1 >

1 UPaulo, Silwano nu Timoi kutembile ja va Thesalonike mwa Nguluve Nhaata nu Mutwa Yesu Kilisite. Ulusungu nulutengano fivisaghe numue.
Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo. Neema na amani iwe nanyi.
2 Jatu tukumwongesia uNguluve vwimila panotukuvatambula munyifunyo situ.
Tunatoa shukrani kwa Mungu kila mara kwa ajili yenu nyote, wakati tunapowataja katika maombi yetu.
3 Tukujikumbuka kisila kudugha pamaso gha Nguluve Nhaata ghwitu, imbombo jinu ija lwitiko, nulwakughimba mulughano, na mulugudo ulunyalukangafu vwimila nu lwa pa Mutwa Yesu Kilisite.
Tunaikumbuka bila kukoma mbele ya Mungu na baba yetu kazi yenu ya imani, juhudi ya upendo, na uvumilivu wenye ujasiri kwa ajili ya baadaye katika Bwana Yesu Kristo.
4 Vanyalukolo mwevano mughanilue nu Nguluve, tukagula ulwitiko lwinu.
Ndugu Mnaopendwa na Mungu, tunajua wito wenu.
5 Na vule ilivangili litu likisile kulyumue nakwekuti kulisio lyene, looli palikimo ni ngufu, mwa Mhepo mwimike na mwa kyang'ani. mu uluo, mkagula kange kuti tulyale vanhu vaki n'kate mulyumwe Kwaajili jinu.
Na jinsi injili yetu ilivyokuja kwenu si kwa neno tu, bali pia katika nguvu, katika Roho Mtakatifu, na katika uhakika. Kwa namna hiyo, mnajua pia sisi tulikuwa watu wa namna gani miongoni mwenu kwa ajili yenu.
6 Mulyale vanhu vakutwigha usue nu Mutwa, ndavule fino mulyupile ilisio mulupumuko, nulukelo lunoluhuma kwa Mhepo Mwimike.
Mlikuwa watu wa kutuiga sisi na Bwana, kama mlivyopokea neno katika taabu kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
7 Namahumilo ghake, mulyale kihwani ku voni mumakedonia na mukaiya vano vikwitikila
Na matokeo yake, mkawa mfano kwa wote katika Makedonia na Akaiya ambao wanaamini.
8 ulwakuva kuhuma kulyumue ilisio lya Nguluve lyeneile kwoni, nakwekuti kuvamakedonia na va kaiya vene. nimbale soni ulwitiko lwinu mwa Nuluve jeneile kyoni. namahumilo ghake, natulonda kujova kyokyoni.
Kwa kuwa kutoka kwenu neno la Mungu limeenea kote, na si kwa Mekadonia na Akaiya peke yake. Badala yake, kwa kila mahali imani yenu katika Mungu imeenea kote. Na matokeo yake, hatuhitaji kusema chochote.
9 lwakuva vavuo vene vijova uvwisilo vwitu lulyale lwa ndani mu lyumue. vipanga fino musyetukile uNguluve kuhuma mu kihwani na kukumbo mbela uNguluve juno mwumi nu ghwa lweli.
Kwa kuwa wao wenyewe wanaarifu ujio wetu ulikuwa wa namna gani kati yenu. Wanasimulia jinsi mulivyomgeukia Mungu kutoka katika sanamu na kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli.
10 Vakahumila imhola kuti mukumughula umwana ghwake kuhuma kuvulanga, juno asyukile kuhuma muvafue. Ghwope uju ghwe Yesu, junoikutuviika vweru kuhuma mung'halasi jino jikwisa.
Walitoa habari kuwa mnamsubiri Mwana wake kutoka mbinguni, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu. Na huyu ni Yesu, anayetuweka huru kutoka kwenye ghadhabu ijayo.

< 1 Vathesalonike 1 >