< 1 Vathesalonike 3 >

1 Mu uluo panonatukale natuwesia kufumilia kyongo, kutasaghile kuva kanono kujigha ku athene kula twevene.
Kwa hiyo, tulipo kuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tulifikiri kuwa ilikuwa vema kubaki kule Athene peke yetu.
2 Tulyan'sughile u timotheo, unyalukolo ghwitu nu n'sughwa ghwa Nguluve mulivangili lya Kilisite, kukuvakangasia na kuvavavighilila kulutia ulwitiko lwinu.
Tulimtuma Timotheo, ndugu yetu na mtumishi wa Mungu katika injili ya Kristo, kuwaimalisha na kuwafariji kuhusiana na imani yenu.
3 Tulyavombile agha neke kuti nangavisaghe ghoghoni ughwa kutetema nulupumuko ulu, lwakuva jumue mkagula kuti tusalulivue mu ili.
Tulifanya haya ili kusudi asiwepo yeyote wa kuteteleka kutokana na mateso haya, kwa kuwa wenyewe mnajua kwamba tumekwisha teuliwa kwa ajili ya hili.
4 Lwa lweli, un'siki ghunotulyale palikomo numue, tulyalongwile kukuvelesia kuva tulyale pipi kupata ulupumuko, naghuo ghakahumile ndavule mkagula.
Kwa kweli, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulitangulia kuwaeleza ya kuwa tulikuwa karibu kupata mateso, na hayo yalitokea kama mjuavyo.
5 Kunangile ja iji panonikale naniwesia kufumilila kange, nilyan'sung'ile neke nipate kukagula mulwitiko lwinu. labda umuhesi alyale avaghesisie, ni mbombo jinu jikiva vuvule.
Kwa sababu hii, nilipo kuwa siwezi kuvumilia tena, nilituma ilikusudi nipate kujua juu ya imani yenu. Huenda mjaribu alikuwa angalau amewajaribu, na kazi yetu ikawa ni bure.
6 Neke lelo utumotheo alisile kuyusue kuhumila kulymue akatuletela imhola inofu ja lwitiko nulughano lwinu. alyatuvulile ja kuti mulinikumbukumbu jitu nakuti munoghelua kukutuvona ndavule pano najusue tunoghelua kukuvavona umue.
Lakini Timotheo alikuja kwetu kutokea kwenu na akatuletea habari njema juu ya imani na upendo wenu. Alitwambia ya kuwa mnayo kumbukumbu nzuri juu yetu, na kuwa mnatamani kutuona kama ambavyo nasi twatamani kuwaona ninyi.
7 Mu uluo, vanyalukolo tukahovwike kyongo numue vwimila mu lwitiko lwinu, taabu ni mumuko situ soni.
Kwa sababu hii, ndugu tulifarijika sana na ninyi kwa sababu ya imani yenu, katika taabu na mateso yetu yote.
8 Lino tukukala tukukala, ndeve mukwima kikangafu mwa Mutwa.
Kwa sasa tunaishi, kama mkisimama imara kwa Bwana,
9 Neke lwe luhongesio luki tum'pele u Nguluve kwaajili jinu, mulukelo lwoni tulinalwo pamaso gha Nguluve kulyumue?
Kwani ni shukurani zipi tumpe Mungu kwa ajili yenu, kwa furaha yote tuliyonayo mbele za Mungu juu yenu?
10 Tusuma kyongo pakilo napamwisi neke tuwesie kukusagha isula sinu na kukuvongelesia kinokipunguka mu lwitiko lwinu.
Tunaomba sana usiku na mchana ili tuweze kuziona nyuso zenu na kuwaongezea kinachopungua katika imani yenu.
11 Unguluve ghwitu nu Naata jujuo, nu Mutwa ghwitu u Yesu atulongosie isila jitu tufike kulyumue,
Mungu wetu na Baba mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atuongoze njia yetu tufike kwenu.
12 nu Mutwa avavombe mwongelele na kukila mu lughano, mungaghanane nakuvaghana avanhu voni, ndavule finotukuvavombela umue.
Na Bwana awafanye muongezeke na kuzidi katika pendo, mkipendana na kuwapenda watu wote, kama tunavyowafanyia ninyi.
13 Naavombe ndiki neke kukangasia amojo ghinu ghave kisila lupiko muvwimike pamaso gha Nguluve ghwitu nu Naata ghwitu mulwisilo/pavugomokele vwa Mutwa Yesu palikimo na vimike vake vooni.
Na afanye hivi ili kuiimarisha mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu na Baba yetu katika ujio wa Bwana Yesu pamoja na watakatifu wake wote.

< 1 Vathesalonike 3 >