< 1 Petro 1 >

1 Petro, nsung'ua ghwa Yesu kilisite, kulyumue vabaghulivua, kuvasalulua, mu Pontoon joni, Galatia, Kapadokia, Asia ni Bithinia,
Petro, mtume wa Yesu Kristo, kwa wageni wa utawanyiko, kwa wateule, katika Ponto yote, Galatia, Kapadokia, Asia, na Bithinia,
2 kuhuma muvwelevua vwa Nguluve, Nhata, kuvalasivua nu Mhepo Mwimike, mulwa kumwoghopa u Yesu kiliste, na kuvalasivua vwimila idanda jaake. Uvumofu vuve numue, nu lutengano lwinu lwongelele.
kutokana na ufahamu wa Mungu, Baba, kwa kutakaswa na Roho Mtakatifu, kwa utiifu wa Yesu Kristo, na kwa kunyunyuziwa damu yake. Neema iwe kwenu, na amani yenu iongezeke.
3 U Nguluve uNhaata ghwa Mutwa ghwitu Yesu kilisite aghinuaghe. Mulusungu ulwake uluvaha, alyatuholile vupia vwimila kukunsusia u Yesu kilisite kuhuma muva vufue,
Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na abarikiwe. Katika ukuu wa rehema yake, alitupa kuzaliwa upya kwa ujasiri wa urithi kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka katika wafu,
4 kuuti twupile silo uNguluve alyalaghile kukuvapeela avanhu vaake avaviikile isio kukyanya kuno nasivola, nambe kunangika, nambe kusakala.
kwa urithi usioangamia, hautakua na uchafu wala kupungua. Umehihifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu.
5 Unguluve mungufu sake, ikuvalola vunofu vwimila ulwitiko lwinu kuvupoki vuno alig'hanisie kukuvahufia unsiki ughwa vusililo.
Kwa uwezo wa Mungu mnalindwa kupitia imani kwa wokovu ambao upo tayari kufunuliwa katika nyakati za mwisho.
6 Muhovokaghe vwimila uluo, napanolino munoghile kusukunala vwimila ingelo sino silipapinga.
Furahini katika hili, ingawaje sasa ni lazima kwenu kujisikia huzuni katika majaribu ya aina mbalimbali.
7 Uluo, ulwakuva ulwitiko lwinulwinu luve mungelo, ulwitiko luno lunoghile kukila isahabu, jino jinangika mu mwoto ghuno ghughela ulwitiko lwinu, ulu luhumile kuuti ulwitiko lwinu luuve ulunyakupaala, ulunyakughinia, muvwoghopua mukighono ikya kugomoka u Yesu kilite.
Hii, ni kwa sababu imani yenu iweze kujaribiwa, imani ambayo ni ya thamani kuliko dhahabu, ambayo inapotea katika moto ambao hujaribu imani yenu. Hii hutokea ili imani yenu ipate kuzaa sifa, utukufu, na heshima katika ufunuo wa Yesu Kristo.
8 Umwene namumbwene, looli mumughanile. Namukumwagha lino, poope vwimila vwamwene muli nu lukeelo luno nalujoveka kulukelo luno lumemilue nu lughinio.
Hamjamuona yeye, lakini mnampenda. Hamumuoni sasa, lakini mnaamini katika yeye na mna furaha isiyoweza kuelezeka kwa furaha ambayo imejawa na utukufu.
9 Vwimila ulwitiko lwinu lino mukwupila jumue, uvupoki vwa mojo ghinu.
Sasa mnapokea wenyewe matokeo ya imani yenu, wokovu wa nafsi zenu.
10 Avavili vakalolesyagha fijo na vakaposelesia vakagule vule ilikuvapoka
Manabii walitafuta na kuuliza kwa umakini kuhusu wokovu huu, kuhusu neema ambayo ingekuwa yenu.
11 Ulwakuva uMhepo kilisite juno alyale mun'kate muveene, ilipumuka napambele iiva nu vuvaha. Valonda kuuti vakagule unsiki muki uMhepo wa kilisite juno alimun'kate muvanave alyale ijova keke navene. Ulu lulyahumile unsiki ghono alyale ikuvavula kuuti imumuko sa Kilisite nuvwimila vuno ngalivumbingilile.
Walitafuta kujua ni aina gani ya wokovu ambao ungekuja. Walitafuta pia kujua ni muda gani Roho wa Kristo aliye ndani yao alikuwa anazungumza nini nao. Hii ilikua inatokea wakati alipokuwa anawaambia mapema kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ambao ungemfuata.
12 Akavahufia avaviili kuuti imbombo jave ijakuvila najilyale vwimila aveene, loolilooli jilyale vwimila umue - imola isio musipulike kuhuma kuvaanhu vano vipulisia imola inofu mungufu isa Mhepo Mwimike Juno alyasung'hilu kuhuma kukyanya, imola isio avanyamola vinoghelua kukusikagula.
Ilifunuliwa kwa manabii kwamba walikua wanayatumikia mambo haya, na si kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yenu - masimulizi ya mambo haya kupitia wale wanaoleta injili kwenu kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, mambo ambayo hata malaika wanatamani kufunuliwa kwake.
13 Mu uluo muling'aniaghe kuluhala lwinhu. Muvesaghe nu lujisio mumasaghe ghinu. Mukangasiaghe na kuhuvila fijo ulusungu luno mulipelua ikighono kinno iligomoka.
Kwa hiyo fungeni viuno vya akili zenu. Muwe watulivu katika fikra zenu. Muwe na ujasiri mkamilifu katika neema ambayo italetwa kwenu wakati wa kufunuliwa kwa Yesu Kristo.
14 Ndavule avaana avakundi, mulekaghe kulongosivua nuvunoghelua vwinu vuno mulyale navwo ye mukyale kukunkagula unguluve.
Kama watoto watiifu, msifungwe wenyewe na tamaa ambazo mlizifuata wakati mlipokua hamna ufahamu.
15 Looli, muvisaghe vimike mumikalile agha vwumi vwinu vwoni, ndavule juno avakemelile vule mwimike.
Lakini kama vile aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi, pia, muwe watakatifu katika tabia yenu yote maishani.
16 Ulwakuva lilembilue, “Muvesaghe vimike, ulwakuva une nilimwimike.”
Kwa kuwa imeandkwa, “Iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu.”
17 Kange ndave mukuntambula “Nhata” juno ikuvahigha avanhu vooni mumaghendele ghave, mujisiaghe nakuvingilila muvwumi vwinu vwoni
Na kama mkiita “Baba” yule ahukumuye kwa haki kulingana na kazi ya kila mtu, tumia muda wa safari yako katika unyenyekevu.
18 Mugagwile vule muvangilue kuhuma mumaghendele ghiinu ghano naghanoghile ghano mulyupile kuvakuulu viinu, nalyavavangile ni finu fino finangike ndavule indalama nambe isahabu.
Mnafahamu kwamba haikuwa kwa fedha au dhahabu - vitu vinavyoharibika- ambavyo mmekombolewa kutoka kwenye tabia zenu za ujinga ambazo mlijifunza kutoka kwa baba zenu.
19 Looli muvangilue ni danda inalamu ija Yesu kilisite, ndavule ija ng'holo ija litekelo, isila vulema nambe lideha.
Lakini mmekombolewa kwa damu ya heshima ya Kristo, kama ya kondoo asiye na hila wala doa.
20 Ukilisite alyasalulilue kuhuma m'bukuuku ye jikyale kupelua iisi, neke mumasiki agha aghavusililo, amuhofisie vwimila umue.
Kristo alichaguliwa kabla ya misingi ya dunia, lakini sasa siku hizi za mwisho, amefunuliwa kwenu.
21 Mukumwitika uNguluve vwimila umwene, juno u Nguluve alyansusisie kuhuma kuvafue nakumpeela uvuvaha kuuti mumwitikaghe na kukumuhuvila u Nguluve.
Mnamwamini Mungu kupitia yeye, ambaye Mungu alimfufua toka kwa wafu na ambaye alimpa utukufu ili kwamba imani yenu na ujasiri uwe katika Mungu.
22 Muvalisie amoojo ghiinu vwimila kukunda uvwakyang'aani, nakukuvaghana avajinu kisila vukedusi, lino muvaghanaghe nu mwoojo ghwoni.
Mmefanya nafsi zenu kuwa safi kwa utii wa ile kweli, kwa dhumuni la pendo la kidugu lililo na unyofu, hivyo pendaneni kwa bidii toka moyoni.
23 Muholilue vupia, nakwekuti kuholua kim'bili ghuno ghufua ulwene muholilue kuuva nu vwumi uvusila kusila, mungufu isalisio lya Nguluve ilyafighono fyoni. (aiōn g165)
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
24 Ulwakuva “Amavili ghooni ghalindavule ilisoli, utogo lwake lwoni lulindavule ililuva lya lisoli. ilisoli linyala, ililuva lijoghotoka nakusanguka,
Kwa maana “miili yote ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la jani. Jani hunyauka, na ua hudondoka,
25 looli ilisio lya Nguluve lijigha kisila kusila lusiku.” Ili lye lisio lino je mola jino jipulisivue kulyumue. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >