< 1 Petro 4 >

1 Lino, ulwakuva u Kilisite alyapumusivue kim'bili, najumue mugudaghe muvufumbue vuno alyale navwo umwene. Juno ikuguda vwimila imhumuko isa pa iisi apa, asilekile inyivi.
Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteseka katika mwili, jivikeni silaha za nia ile ile. Yeye aliyeteseka katika mwili ameondokana na dhambi.
2 Unsiki ghwinu ghuno ghusighile kukukala pa iisi apa, mulekaghe kuvingilila uvunoghelua vwa mu iisi, looli muvingililaghe isavughane vwa Nguluve.
Mtu huyu haendelei tena kuishi katika tamaa za mwili, bali kwa mapenzi ya Mungu, kwa maisha yake yaliyosalia.
3 Ulwakuva unsiki ghuno ghukilile ghukwilile kuvomba sino vilonda pivomba avapanji— uvuvwafu, uvunoghelua vwa m'bili, uvughaasi, kuva nifikulukulu ifya kipanji ifyakulia na kunywaa kyongo nakukwimika ifihwani.
Kwa kuwa muda uliopita umetosha kutenda mambo ambayo wamataifa wanataka kufanya- ufisadi, nia mbaya, ulevi, ulafi, sherehe za kipagani na ibada za sanamu zenye machukizo.
4 Avapanji vikuvadegha vule vivono lino namuva palikimo navene kuvomba isio palikimo na Vene, muulio vikuvaligha.
Wanafikiri ni ajabu mnapojiepusha kutenda mambo hayo pamoja nao, hivyo wananena maovu juu yenu.
5 Mu uluo, vilikujoleka kwajuno iling'hanisie kuuti ka vumi na vafue.
Watatoa hesabu kwake aliye tayari kuhukumu walio hai na wafu.
6 Mu uluo, fyenambe imola inofu jikapulisivue na kuvafue, kuuti nambe valyahighilue kufua kim'bili, mungufu isa Mhepo Mwimike, vwumi ndavule alivuo uNguluve.
Kwa kusudi hili injili ilihubiriwa kwao waliokwisha kufa, kwamba ijapokuwa walikwisha hukumiwa katika miili yao kama wanadamu, ili waweze kuishi kulingana na Mungu katika roho.
7 Uvusililo vwa finu fyoni vuli pipi pikwisa. Mu uluo, mulolelelaghe nakuva Mason kange mufunyaghe ndavule lunoghile.
Mwisho wa mambo yote unakuja. Kwa hiyo, mwe na ufahamu ulio sahihi, na iweni na nia njema kwa ajili ya maombi yenu.
8 Ikivaha tasi kusoni, mughimbaghe kughanana nu mwoojo ghuoni ulwakuva ulughano nalulonda kufwikula uvuhosi vwa
Kabla ya mambo yote, eweni na bidii katika upendo kwa kila mmoja, kwa kuwa upendo hautafuti kufunua dhambi za wengine.
9 vaange. Muvisaghe vakola nujunge nu mwoojo umbalafu.
Onyesheni ukarimu kwa kila mmoja bila kunung'unika.
10 U Nguluve avapelile nujunge kipelua kyake, liino nujunge avombelaghe ikipelua ikio nulwakuvatanga avaange, mu uluo muva valoleli vanofu vafipelua ifio fino fili pa pinga.
Kama ambavyo kila mmoja wenu alivyopokea karama, itumieni katika kuhudumiana, kama wasimamizi wema wa karama nyingi zilizotolewa bure na Mungu.
11 U munhu juno ipulisia, amasio ghake ghavisaghe ndavule agha Nguluve, ghwope juno itanga avanhu, avatangaghe mungufu sino apelilua nu Nguluve, kuuti u Nguluve aghinisivuaghe mu soon vwimila u Yesu Kilisite. Uvuvaha ni ngufu fili nu mwenemwene fighono fyoni. Amen. (aiōn g165)
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn g165)
12 Vaghanike vaango, ingelo sino sikwisa kukuvaghela namungavalighaghe hwene kinu kighesi, kwekuuti ikiinu ikighesi kino kyahumilagha kulyumue.
Wapendwa, msihesabu jaribu ambalo huja kuwajaribu kama kitu kigeni, ingawa kuna kitu kigeni kilichokuwa kinatukia kwenu.
13 Looli muhovokaghe ulwakuva muanyana kupumuka ndavule aliyah pumuike uKilisite, mu uluo muliva nulukelo uluvaha fijo, alava ivoneka nuvuvaha vwake.
Lakini kwa kadri mnavyozidi kupata uzoefu wa mateso ya Kristo, furahini, ili kwamba mfurahi pia na kushangilia katika ufunuo wa utukufu wake.
14 Nave mulighilue vwimila kukum'bingilila u Kilisite, mufunyilue, ulwa Mhepo Mwimike ughwa Nguluve juno amemile kulyumue.
Iwapo mmetukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu ya Roho wa utukufu na Roho wa Mungu anakaa juu yenu.
15 Looli napeangavisaghe umunhu ghweni juno ipumusivua mulwakuva m'budi, mhiiji, nyamabatu, nambenambe kukwingilila imbombo isa vaange.
Lakini asiwepo yeyote mwenye kuteswa kama muuaji, mwizi, mtenda maovu, au ajishughulishaye na mambo ya wengine.
16 Neke nave umunhu ipumusivua ulwakuva N'kilisite, nangavonaghe soni, looli mulitavua ilio amuginiaghe uNguluve.
Lakini ikiwa mtu anateswa kama Mkristo, asione aibu, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.
17 Ulwakuva unsiki ughwa vuhighi ghufikile kutengulila munyumba ija Nguluve. nave uvuhighi vutengula tasia kulyusue, pe kuvona navikwitika imola inofu luva ndani?
Kwa kuwa wakati umefika kwa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Na kama inaanzia kwetu, itakuwaje kwa wale wasioitii injili ya Mungu?
18 Kange nave “Umunhu umugholofu ipokua kukila inalamu, pe luliva ndani kwa munhu juno naikwitika kange muhosi?”
Na kama “mwenye haki anaokolewa kupitia magumu, itakuwaje kwa mtu asiyehaki na mwenye dhambi?”
19 Lino, voni vano vipumuka vwimila kuvomba is vughane vwa Nguluve, vaghendelelaghe kuvomba inofu, vivike mu vuloleleli vwa mpeli ghwave unnufu.
Kwa hiyo wote wanaoteseka kutokana na mapenzi ya Mungu wakabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu ili hali wakitenda mema.

< 1 Petro 4 >