< 1 Yohana 1 >

1 Kila kino kilyale kihuma kuvutengulilo-kila kino tulyapulike, kila kinokino tulyakyaghile na maso ghitu, kila kino tulyakyaghile, na mavoko ghitu gha kikolile-vwimila ilisio ilya vwumi.
Kile kilichokuwapo tangu mwanzo-kile tulichokisikia, kile tulichokiona kwa macho yetu, kile tulichokitazama, na mikono yetu imekishika-kuhusu Neno la uzima.
2 Na vula vwuumi vulyavombilue kutambulua pa vuelu, kange tuvwaghile, na kukuvwoleka, na kupulisia uvwumi uvwa kuvusila na kusila, vuno vuno vulyale kwa Nhaata neke vulyavombilue kutambulua kulyusue. (aiōnios g166)
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios g166)
3 Kila kino tulyakyaghile tupulisie kulyumue, kuuti najumue move palikimo nusue, nu vumo vuno tulinavo nu Nhata nu mwanake u Yesu Kilisite.
Kile tulichokiona na kukisikia twakitangaza kwenu pia, ili kwamba muweze kujumuika pamoja nasi, na ushirika wetu pamoja na Baba na Mwanae Yesu Kristo.
4 Tukuvalembela agha umue kuuti ulu hovoko lwinu luve lukwilanifu.
Na tunawandikia mambo haya ninyi ili kwamba furaha yetu iwe timilifu.
5 Iji jeje mola jino tulyapulike kuhuma kwa mwene na kuvapulisia: Kuuti u Nguluve ghwe lumuli na mun'kate mwa mwene n'siila ng'iisi nambe padebe.
Huu ndio ujumbe tuliousikia kutoka kwake na kuwatangazia: Mungu ni nuru na ndani yake hakuna giza hata kidogo.
6 Nambe tujove kuuti tulipalikimo nu mwene kange tughenda mu ng'iisi, apuo tuva tuku dengania natuva tuvomba isa kyang'haani.
Kama tukisema kwamba tunaushirika naye na twatembea gizani, twadanganya na hatutendi kweli.
7 Looli tungaghendaghe mulumuli ndavule Pene alimulumuli, apuo tuva vumo, danda ija Yesu Kilisite, u mwanake jikutuvalasia kuhuma uvuhosi vwoni.
Lakini tukitembea katika nuru kama alivyo katika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Kristo, mwanae yatutakasa kutoka dhambi zote.
8 Nave twiiti natulivahosi, tuva tukusyanga jusue, navwakyang'haani namwevule mun'kate mulyusue.
Kama tukisema hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, na kweli haimo ndani yetu.
9 Looli nave tulata uvuhosi vwiitu, umwene nnofu kange ghwa kyang'haani ikutupyanila uvuhosi vwiitu na kutuvalasia uvuhosi vwoni.
Lakini tukizitubu dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na haki kutusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote.
10 Tungati kuuti natuvombile uvuhosi, tukum'bika umwene kuuti n'desi, ni lisio lya mweene namwelili mun'kate mulyusue.
Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, twamfanya yeye kuwa muongo, na neno lake halimo ndani yetu.

< 1 Yohana 1 >