< 1 Wakoritho 15 >

1 Lino nikuvakumbusia, mwe vakuulu numue va mwanilumbu, vwimila vwa livangili lino nikavadalikile, lino mulyupile na kukwima kuvanave.
Sasa ninawakumbusha, akina kaka na akina dada, juu ya injili niliyowahubiria, ambayo mliipokea na kusimama kwayo.
2 Mulivangili iili muvanguike, nave mukulikola vunofu ilisio lino nivadalikile umue, nakwekuuti mulyitike vuvule.
Ni katika injili hii mmeokolewa, kama mkilishika imara neno nililowahubiri ninyi, isipokuwa mliamini bure.
3 Nave ulwakwasia vuli nilyupile nhu lukangasio nilyaletile kulyumue ndavule lilivuo: kuuti kuhuma mumalembe, u Kilisite alyafwile vwimila vwa vuhosi vwitu,
Kama kwanza nilivyo ipokea kwa umuhimu niliileta kwenu kama ilivyo: kwamba kutokana na maandiko, Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu,
4 kuhuma mumalembe alya syililue, nakuuti alya syukile ikighono kya vutatu.
kutokana na maandiko alizikwa, na kwamba alifufuka siku ya tatu.
5 Nakwekuuti ulya muhumile u Kefa, kange kuvala kijigho na fivili.
Na kwamba alimtokea Kefa, kisha kwa wale kumi na wawili.
6 Looli alyavahumile mu nsikighumo avakuulu na vamwanilombu kukila ifilundo fihano. Vinga vavanave vajighe vwumi, looli vamo muvanave vighona ituulu.
Kisha aliwatokea kwa wakati mmoja akina kaka na akina dada zaidi ya mia tano. Wengi wao bado wako hai, lakini baadhi yao wamelala usingizi.
7 Kange alyahumile u Yakobo, kange n'sungua ghwa vooni.
Kisha alimtokea Yakobo, kisha mitume wote.
8 Muvusililo vwa ghoni, alyanihumile une, nave vule kwa mwaanha juno alyaholilue mu nsiki ghuno na ghweghwene.
Mwisho wa yote, alinitokea mimi, kama vile kwa mtoto aliye zaliwa katika wakati usio sahihi.
9 Ulwakuva une nilin'debe pavasung'ua. Naninoghile kutambulua n'sung'ua, ulwakuva niya pumwike mulukong'ano lwa Nguluve.
Kwa kuwa mimi ni mdogo kati ya mitume. Sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa kanisa la Mungu.
10 Looli kulusungu lwa Nguluve Pwenile heene nilivuo, kange ulusungu lwa mwene kulyune nalulivulevule. Pa uluo, nilyavombile ku ngufu kukila vooni. Looli ulusungu lwa Nguluveb luno lulimun! kate mulyune.
Lakini kwa neema ya Mungu nipo kama nilivyo, na neema yake kwangu haikuwa bure. Badala yake, nilifanya bidii kuliko wote. Lakini haikuwa mimi, bali neema ya Mungu iliyo ndani yangu.
11 Pa uluo nave nene nambe aveene, tudalikila anala kange tukwitika anala.
Kwa hiyo kama ni mimi au wao, tuna hubiri hivyo na tunaamini hivyo.
12 Lino nave u Kilisite akadalikivue heene asyukile kuva fue, luve ndani mulyumue mujova na kwevule uvusyuke kuvafue?
Sasa kama Kristo alihubiriwa kama aliyefufuka kwa wafu, iweje baadhi yenu mseme hakuna ufufuo wa wafu?
13 Looli nave kwevule uvusyuke kuvafue, kange nave u Kilisite nakasyukile.
Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Kristo pia hakufufuka.
14 Nave u Kilisite nasyukile, pa uluo amadalikile ghitu vwe vuvule, kange ulwitiko lwinu lwe vuvule.
Na kama Kristo hakufufuka, hivyo mahubiri yetu ni bure, na imani yenu ni bure.
15 Kange tuvonike kuuva volesi va vudesi vwimila u Nguluve, ulwakuva tulyolelile u Nguluve sino na sesene kuuti alya syusisie u Kilisite, unsikibghuno nakan'syusisie.
Na tumepatikana kuwa mashahidi wa uongo kumuhusu Mungu, kwa sababu tulimshushuhudia Mungu kinyume, kusema alimfufua Kristo, wakati hakumfufua.
16 Ndavule avafue nave navisyuka, u Yesu kange nakasyukile.
Kama ikiwa wafu hawafufuliwi, Yesu pia hakufufuliwa.
17 Nave u Kilisite nakasyukile, ulwitiko lwinu lwe vuvule kange mujighe kwe mule muvuhosi vwinu.
Na kama Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni bure na bado mko kwenye dhambi zenu.
18 Pa uluo nambe vaala vano vakafwile mwa Kilisite kange voope vatipulue.
Hivyo hata wale waliokufa katika Kristo pia wameangamia.
19 Nave kuvukalo uvu umwene jujuo tulinulukangasio munsiki ghuno ghukwisa mun'kate mwa Kilisite, avaanhu vooni, usue tuli vakusaghilua kukila avaanhu vooni.
Ikiwa kwa maisha haya peke yake tunaujasiri kwa wakati ujao ndani ya Kristo, watu wote, sisi niwakuhurumiwa zaidi ya watu wote.
20 Looli lino u Kilisite asyukile kuhuma kuva fue, imeke sa kwasia savaala vano vafwile.
Lakini sasa Kristo amefufuka kutoka kwa wafu, matunda ya kwanza ya wale waliokufa.
21 Ulwakuva uvufue vukisile kukila umuunhu, kange kukila umuunhu uvusyuke vwa vafue.
Kwa kuwa kifo kilikuja kupitia mwanadamu, pia kupitia mwanadamu ufufuo wa wafu.
22 Ulwakuva nave u Adamu vooni vifua, pa uluo u Kilisite vooni vivombua vwumi.
Kwa kuwa kama katika Adam wote wanakufa, hivyo pia katika Kristo wote watafanywa hai.
23 Looli umuunhu ghweeni mu mbombo ja mwene: Kilisite, imeke sa kwasia kange sino silikuvala vano va Kilisite vivombua vwumi unsiki ughwa kwasia kwa mwene.
Lakini kila moja katika mpango wake: Kristo, matunda ya kwanza, na kisha wale walio wa Kristo watafanywa hai wakati wa kuja kwake.
24 Pe vuva vwe vusililo, pala u Kilisite pano ikum'pela uvutua kwa Nguluve Nhaata. Ulu pe pala pano iiliva ivusia ipumusia uvutemi vwoni nhuvu tavulilua vwoni ni ngufu.
Ndipo utakuwa mwisho, pale Kristo atakapo kabidhi ufalme kwa Mungu Baba. Hii ni pale atakapo komesha utawala wote na mamlaka yote na nguvu.
25 Ulwakuva anoghile kutema m'paka iliiva iviika avalugu va mwene vooni paasi pa sajo sa mwene.
Kwa kuwa lazima atawale mpaka atakapoweka maadui zake wote chini ya nyayo zake.
26 Umulugu ghwa vusililo kunanganisivua uvufue.
Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo.
27 Ulwakuva “avikile kila kiinu paasi pa sajo sa mwene.” Looli pano lijoveka “aviikile kila kinu,” pa vwelu kuuti najiling'anisivue na vaala vano valyam'bikile kiila kiinu paasi pa mwene jujuo.
Kwa kuwa “ameweka kila kitu chini ya nyayo zake.” Lakini inaposema “ameweka kila kitu,” ni wazi kwamba hii haihusishi wale walioweka kila kitu chini yake mwenyewe.
28 Unsiki ifinu fivikilue pasi pa mweene, looli umwana jujuo ibika pasi kwa mwene. Umwene juno afibikile ifinu fyoni mwene. Ulu lukahumile ulwakuuti u Nguluve u Nhaata ave ghooni mu fyooni.
Wakati vitu vyote vimewekwa chini yake, kisha Mwana mwenyewe atawekwa chini kwake Yeye ambaye aliviweka vitu vyote chini yake. Hii itatokea ili kwamba Mungu Baba awe yote katika vyote.
29 Nambe kange vivomba kiki vaala vano vofughilue vwimila vwa vafue? Nave avafue navisyuka, nakiki kange vikwofughua vwimila vu vanave?
Au pia watafanya nini wale waliobatizwa kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kabisa, kwa nini tena wanabatizwa kwa ajili yao?
30 Nakiki tulimuvutalamu kiila nsiki?
Na kwa nini tuko katika hatari kila saa?
31 Vakuulu numue vamwanilumbu vango, kukila kukughinia kulyune mulyumue, luno nilinalwo mwa Kilisite Yesu Mutwa ghwitu, nipulisia ndiiki: nifua mu fighono fyoni.
Kaka na dada zangu, kupitia kujisifu kwangu katika ninyi, ambayo ninayo katika Kristo Yesu Bwana wetu, natangaza hivi: nakufa kila siku.
32 Lukunivumbulila kiki, mundolele ija vaanhu, nave nikatovine nifikanu ifilefi ukuo ku Efeso, nave avafue navisyuka? “Buhila kange tulie na kunyua, ulwakuva pakilavo tufua.”
Inanifaidia nini, katika mtazamo wa wanadamu, kama nilipigana na wanyama wakali huko Efeso, kama wafu hawafufuliwi? “Acha basi tule na kunywa, kwa kuwa kesho tunakufa.”
33 Namungasyanganaghe: “Ifupugha ifivivi finangania uluvelo ulunofu.
Msidanganywe: “Makundi mabaya huharibu tabia njema.
34 “Mughelaghe! mukalaghe muvwakyang'haani namungajighaghe kuvomba uvuhosi. Ulwakuva vamo mulyumue namulinuvu mang'anyi vwa Nguluve. Nijova n'diki sooni sinu.
“Muwe na kiasi! muishi katika haki! msiendelee kutenda dhambi. Kwa kuwa baadhi yenu hamna maarifa ya Mungu. Nasema hivi kwa aibu yenu.
35 Looli umuunhu ujunge ijova, “Vuuli avafue visyuka? Voope vikwisa nu m'bili ghuki?”
Lakini mtu mwingine atasema, “Jinsi gani wafu wanafufuliwa? Nao watakuja na aina gani ya mwili?”
36 Uve ulinjasu kyongo! kiila kino ukavyalile nakinoghile kutengula kumela looli na kwekuuti kifwile.
Wewe ni mjinga sana! Kile ulichopanda hakiwezi kuanza kukua isipokuwa kimekufa.
37 Nikila kino ghuvyala naghwe m'biili ghuno ghukula, looli se seke sino silemba. Lunoghile kuva ngano nambe ikinhu kiinge.
Na kile unachopanda sio mwili ambao utakuwa, bali ni mbegu iliyochipua. Inaweza kuwa ngano au kitu kingine.
38 Looli u Nguluve ikughupela um'bili ndavule ighanile, na museke ghwe m'bili ghwa mwene jujuo.
Lakini Mungu ataipa mwili kama apendavyo, na katika kila mbengu mwili wake mwenyewe.
39 Amaviili ghoni naghiling'ana. looli na kwekuuti, kweghule um'bili ghumo ughwa muunhu, kange um'bili ughunge ughwa fikanu, num'bili ughunge ughwa fijuni, nu ghunge vwimila vwa samaki.
Miili yote haifanani. Isipokuwa, kuna mwili mmoja wa wanadamu, na mwili mwingine wa wanyama, na wili mwingine wa ndege, na mwingine kwa ajili ya samaki.
40 Kange kweghale amaviili agha ku kyanya namaviili agha mu iisi. Looli uvwitike vwa maviili gha kukyanya ghwe ghumo nu vwitike vwa iisi je jinge.
Pia kuna miili ya mbinguni na miili ya duniani. Lakini utukufu wa miili ya mbinguni ni aina moja na utukufu wa duniani ni mwingine.
41 Kwe vuule uvwitike vuumo uvwa lijuva, kenge nuvwitike uvunge uvwa mwesi, nu vwitike uvunge uvwa nondue. Ulwa kuva inondue jiimo najiling'ana ni nondue ijinge mu vwitike.
Kuna utukufu mmoja wa jua, na utukufu mwingine wa mwezi, na utukufu mwingine wa nyota. Kwa kuwa nyota moja inatofautiana na nyota nyingine katika utukufu.
42 Pa uluo fyefino ulivuo kange uvusyetulilo vwa vufue. Kino kivyalua kinangika, kange kino kimela nakinangika.
Hivyo ndivyo ulivyo pia ufufuo wa wafu. Kinacho pandwa kinaharibika, na kinacho ota hakiharibiki.
43 Kivyalilue mumavombele gha vulevule, kivyalilue mu vwitike. Kivyalilue mu vuvotevote, kimela mu ngufu.
Kimepandwa katika matumizi ya kawaida, kinaoteshwa katika utukufu. Kimepandwa katika udhaifu, kinaoteshwa katika nguvu.
44 Kivyalilue mu m'bili ghwa lwiho, kimela mu m'bili ghwa Kimhepo. Nave kweghule u m'bili ghwa lwiho, kweghule u m'bili ughwa Kimhepo kange.
Kimepandwa katika mwili wa asili, kinaoteshwa katika mwili wa kiroho. Kama kuna mwili wa asili, kuna mwili wa kiroho pia.
45 Pa uluo kange lilembilue, “Umuunhu ghwa kwasia u Adamu alyavombike mhepo jino jikukala.” U Adamu ghwa vusililo alyavombike Mhepo jino jihumia uvwumi.
Hivyo pia imeandikwa, “Mtu wa kwanza Adamu alifanyika roho inayo ishi.” Adamu wa mwisho alifanyika roho itoayo uhai.
46 Looli ughwa Kimhepo naalisiile tasi looli ghwe vutengulilo, pa mbele ughwa Kimhepo.
Lakini wa kiroho hakuja kwanza bali wa asili, na kisha wa kiroho.
47 Umuunhu un'tasi ghwa mu iisi, alya vumbilue nuli ng'unde. Umuunhu ghwa vuviili ihuma ku kyanya.
Mtu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi. Mtu wa pili anatoka mbinguni.
48 Ndavule juula junonalyavumbilue nulu ng'unde, vulevule kange vaala vanovakavumbilue nulu ng'unde. Ndavule kange umuunhu ughwa kukyanya alivuo kange vulevule vala avakukyanya.
Kama vile yule aliyetengenezwa kwa mavumbi, hivyo pia wale waliotengenezwa kwa mavumbi. Kama vile mtu wa mbinguni alivyo, hivyo pia wale wa mbinguni.
49 Ndavule kange tupiindile ikihwani kya muunhu ughwa lung'unde, vule kange tulipinda ikihwani kya muunhu ughwa kukyanya.
Kama ambavyo tumebeba mfano wa mtu wa mavumbi, tutabeba pia mfano wa mtu wa mbinguni.
50 Lino nikuvavula, vakuulu numue va mwanilumbu vaango, kuuti um'bili ni danda nafikagwile ku hara uvutua vwa Nguluve. Nambe ughwa kunangania kuhala vano navinangika.
Sasa nawaambia, kaka na dada zangu, kwamba mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu. Wala wakuharibika kurithi wakutoharibika.
51 Lolagha! Nikuvavula umue uvusyefu vwa kyang'haani: Natulifua twevooni, looli usue tweni tulihambusivua.
Tazama! Nawaambia ninyi siri ya kweli: Hatutakufa wote, bali wote tutabadilishwa.
52 Tulihambusivua mumasiki, ku sisila na kulola ni liso, mu lukelema ulwa vusililo. Ulwakuva ulukelemo lulakuta, navafue valasyusivuagha nu lwakuleka ku nangika, kange pe tulahambusivua.
Tutabadilishwa katika wakati, katika kufumba na kufumbua kwa jicho, katika tarumbeta ya mwisho. Kwa kuwa tarumbeta italia, na wafu watafufuliwa na hali ya kutoharibika, na tutabadilishwa.
53 Ulwakuva uvu uvwa kunangika ghunoghela kufwala ghuno naghunangika, ghwope ughu ughwa kufua ghunoghile kufwala ghuno naghufua.
Kwani huu wa kuharibika lazima uvae wa kutoharibika, na huu wa kufa lazima uvae wa kutokufa.
54 Looli unsiki ughu ughwa kunangika ghungafwikue ghuno naghunangika, ghwope ughu ughwa kufua ghungafwale ghuno naghufua, apuo pelukwisa ulujovo luno lulembilue, “ifua jigulubukue mu vulefie.”
Lakini wakati huu wa kuharibika ukivikwa wa kutokuharibika, na huu wa kufa ukivaa wa kutokufa, ndipo utakuja msemo ambao umeandikwa, “Kifo kimemezwa katika ushindi.”
55 “Ghwe fua, uvulefie vwako vulikughi? Ghwe fua, vulikughi uvuvafi vwako?” (Hadēs g86)
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs g86)
56 Uvuvafi vwa fua se yivi, ni ngufu sa nyivi se ndaghilo.
Uchungu wa kifo ni dhambi, na nguvu ya dhambi ni sheria.
57 Looli hongera kwa Nguluve, juno ikutupela usue kulefia kukilila mwa Mutwaghwiti Yesu Kilisite!
Lakini shukurani kwa Mungu, atupaye sisi ushindi kupitia Bwana wetu Yesu Kristo!
58 Lino, vaghanike vakuulu numue va mwanilumbu vango, mwimaghe mukangalaghe namungasukanikaghe. Jaatu muvombaghe imbombo ja Mutwa, ulwakuuva mukagwile kuuti imbombo jinu mwa Mutwa namulivuvule.
Kwa hiyo, wapendwa kaka na dada zangu, iweni imara na msitikisike. Daima itendeni kazi ya Bwana, kwa sababu mnajua kuwa kazi yenu katika Bwana siyo bure.

< 1 Wakoritho 15 >