< 1 Wakoritho 14 >

1 Mululondaghe ulughano na kunoghelua kyongo ifipelua ifya munumbula, looli mughinaghe kyongo ulwakuuti muka kyongo uvuviili.
Utafuteni upendo na kutamani sana karama za rohoni, zaidi sana mpate kutoa unabii.
2 Ulwakuva umwene juno ijova injovele imia naijova na vaanhu looli ijova nu Nguluve. Ulwakuva nakwale juno ajitang'inie ulwakuva ijova sino sifisime mu Mhepo.
Maana yeye anenaye kwa lugha hasemi na watu bali husema na Mungu. Maana hakuna aelewaye kwa sababu anena mambo yaliyofichika katika Roho.
3 Looli umwene juno ivila uvuviili, ijova navaanhu na pikuvakangasia inumbula, nakuvanyamasia.
Lakini yeye atoaye unabii, asema na watu na kuwajenga, kuwatia moyo, na kuwafariji.
4 Umwene juno ijova injovele imia ikujimika mwene, looli umwene juno ivila uvuvili ikujenga ulukong'ano.
Yeye anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, lakini yeye atoaye unabii hulijenga kanisa.
5 Lino ninoghelua kuuti umue mweni mujovaghe injovele imia. looli pa isio sooni, ninoghelua kuuti muvilaghe uvuviili. Umwene juno ivila uvuviili ghwe mbaha kukila juno ijova injovele imia (nakuava avisaghe ughwa kughanula), ulwakuuti ulukong'ano lukagule kujengeka.
Sasa natamani kwamba ninyi nyote mnene kwa lugha. Lakini zaidi ya hayo, natamani ya kwamba mtoe unabii. Yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha (labda awepo wa kutafasiri), ili kwamba kanisa lipate kujengwa.
6 Looli lino, vakuulu numue va mwanilumbu vango, ningise kulyumue nakujova injovele imia, nikuvavumbulila kiki umue? Nanighwesia, ulwene kuuti nijova numue kusila ija lusetulilo, nambe kusila ija vumang'anyi, nambe uvuvili, nambe kusila ija luvulanisio.
Lakini sasa, kaka na dada zangu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini ninyi? Siwezi, isipokuwa nasema nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya maarifa, au unabii, au kwa njia ya fundisho.
7 Nambe ifinu ifisila vwumi heene filimbi nambe kilongilongi fingaleke kuhumia ilisio lino lipungilanile, kwande fikagulika ndani kye kiliku kino kinenilue?
Ikiwa vitu visivyo na uhai kama filimbi au kinubi visipotoa sauti zilizo na tofauti, itatambulikanaje ni chombo gani kinachezwa?
8 Ulwakuva nave lukelema luhumia ilisio lino nalimanyika, luvisaghe ndani umuunhu ikagula kuuti ghwe nsiki ghwa kuling'ania ku lilugu.
Kwa maana ikiwa baragumu itatoa sauti isiyojulikana, ni jinsi gani mtu atatambua ya kuwa ni muda wa kujiandaa kwa vita?
9 Lulivulevule najumue. Mungahumie nulumili ilisio lino nalyelyene, pe luva ndani umuunhubakagule kino mujova? Mujovaghe, nakwele juno kwande ikuvaling'ania.
Vivyo hivyo na ninyi. Mkitoa kwa ulimi neno lisilo dhahiri, ni jinsi gani mtu ataelewa mnachosema? Mtakuwa mkiongea, na hakuna atakayewaelewa.
10 Nasakughanania kuuti kuliinjovele nyinga sili papinga mu iisi, nakwili nambe jimo insila luvumbulilo.
Hakuna shaka kwamba kuna lugha nyingi mbalimbali duniani, na hakuna hata moja isiyo na maana.
11 Looli nave nanijikagwile injovele jiiti kiki, niva mesia kwa mwenejuno ijova, ghwop juno ikujijova iva mesia kulyune.
Lakini ikiwa sijui maana ya lugha, nitakuwa mgeni kwake yeye anenaye, naye anenaye atakuwa mgeni kwangu.
12 Fye lulivuo kulyumue, Ulwakuva munoghelua kyongo kulola ivusilo sa Mhepo, mulondaghe kuuti lughinaghe kyongo kukulujenga ulukong'ano.
Vivyo hivyo na ninyi. Kwa kuwa mnatamani sana kuona uthihirisho wa Roho, takeni kwamba mzidi sana kulijenga kanisa.
13 Pa uluo, umwene juno ijova injovele imia ifunyaghe ulwakuuti apelue kukusighanula.
Hivyo, yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kutafasiri.
14 Ulwakuva ningifunye injovele imia, inumbula jaango jikufunya, looli uluhala lwango lusila meke.
Kwa maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.
15 Nivomba kiki? Nikufunyagha mu numbula jaango, looli kange nikufunyagha nuluhala lwango. Nikwimbagha mu numbula jaango, nikwimbagha nhuluhala lwango kange.
Nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini pia nitaomba kwa akili zangu. Nitaimba kwa roho yangu, na nitaimba kwa akili zangu pia.
16 Neke looli, ungamughinie u Nguluve mu numbula, umwene juno mesia mu numbula ikwitika “Ameni” pano ghuhumia uluhongesio, nambe nasikagwile sino ghujova?
Vinginevyo, ukimsifu Mungu kwa roho, yeye aliye mgeni ataitikaje “Amina” utoapo shukurani, akiwa hayajui usemayo?
17 Ulwakuva kyang'haani uve ghuhongesia vunofu, looli ujunge jula naijengeka.
Maana ni kweli wewe washukuru vema, lakini yule mwingine hajengwi.
18 Nikumongesia u Nguluve ulwakuva nijova injovele imia kukuvakila umue mweni.
Namshukuru Mungu kwa kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote.
19 Looli mu ng'ong'ano kiba nijovaghe amasio ghahano muno nikitang'anisie une ulwakuuti nikagule kukuvavulanisia avange, kukila amasio imbilima kijigho khu njovele imia.
Lakini katika kanisa ni heri ninene maneno matano kwa ufahamu wangu ili nipate kuwafundisha wengine, zaidi ya kunena maneno kumi elfu kwa lugha.
20 Vakuulu numue va mwanilumbu vango, mulekaghe kuuva vaanha musaghile jiinu, pa uluo pipuling'ana nuvu hosi, muvisaghe heene vaanha vafyele. Looli mulwa kusagha mulyumue muvisaghe vaanhu vagoyo.
Kaka na dada zangu, msiwe watoto katika kufikiri kwenu. Badala yake, kuhusiana na uovu, iweni kama watoto wachanga. Lakini katika kufikiri kwenu mkawe watu wazima.
21 Jilembilue mu ndaghilo, “Kuvaanhu va munjovele ijinge na mumalomo agha vahesia nijovaghe na vaanhu ava. Looli nave vulevule navangamulikaghe,” ijova u Mutwa.
Imeandikwa katika sheria, “Kwa watu wa lugha nyingine na kwa midomo ya wageni nitasema na watu hawa. Wala hata hivyo hawatanisikia,” asema Bwana.
22 Pa uluo, imili fye fidegho, nakwekuuti kuvala vala vano vitike, looli kuvano navitike. Looli kuhumia uvuviili kye kidegho, nakwekuuti kuvano navitike, looli vwimila vala vano vitike.
Hivyo, ndimi ni ishara, sio kwa walioamini, bali kwa wasioamini. Lakini kutoa unabii ni ishara, sio kwa wasioamini, bali kwa ajili yao waaminio.
23 Lola, nave ulukong'ano lwoni lukong'anile palikimo neke vooni vajovaghe injovele imia, navahesia navala vano navitiki viingilevuuli navanoghile kukuvavula kuuti muli namapepo?
Haya, ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja na wote wanene kwa lugha, na wageni na wasioamini wameingia, je hawawezi kusema kwamba mna wazimu?
24 Looli nave mweni muvila uvuvili juno naitike nambe mesia ingela, ikwesuagha ku sooni sino ipulika. Ihighuagha kusoni sino sijovua.
Lakini ikiwa wote mnatoa unabii na asiyeamini au mgeni akaingia, atashawishiwa na yote asikiayo. Atahukumiwa na yote yasemwayo.
25 Uvusyefu vwa mwoojo ghwa mwene vwale vwifwikuka. Sino kwande sihumila, ale ighua na pikupama na pikufunya kwa Nguluve. Ale ilaata kuuti u Nguluve alinumue.
Siri za moyo wake zingefunuliwa. Matokeo yake, angeanguka kifudifudi na kumwabudu Mungu. Angekiri ya kwamba Mungu yu kati yenu.
26 Kiki kivingilila kange, vakuulu numue va mwanilumbu vaango? Pano mutang'ana palikimo, umuunhu ghweni ilulutila, imbulanisio, isyetulilo, injovele imia nambe uvughanule. Muvombaghe iisi sooni ulwakuuti mujengaghe ulukong'ano.
Nini kifuatacho basi, kaka na dada zangu? Mnapokutana pamoja, kila mmoja ana Zaburi, mafundisho, mafunuo, lugha au tafsiri. Fanyeni kila kitu ili kwamba mlijenge kanisa.
27 Nave jumonga ijova injovele imia, pe vavisaghe vaviili nambe vatatu, nujunge muvutavike. Umuunhu lunoghile kyongo aghanulaghe kino kijovilue.
Kama yeyote ananena kwa lugha, wawepo wawili au watatu, na kila mmoja katika zamu. Na mtu lazima atafasiri kilichosemwa.
28 Looli nave napwale umuunhu juno ighanula, looli umuunhu ghweni mu avuo ikalaghe kiimie mun'kate mulukong'ano. Looli umuunhu ghweni ajovaghe mwene na kwa Nguluve.
Lakini kama hakuna mtu wa kutafasiri, basi kila mmoja wao akae kimya ndani ya kanisa. Basi kila mmoja aongee peke yake na kwa Mungu.
29 Na vaviili vavili nambe vatatu vavilaghe, neke avange vapulikisiaghe na kughanula sino sijovilue.
Na manabii wawili au watatu wanene, na wengine wasikilize kwa kupambanua kilichosemwa.
30 Looli ujunge juno ikalileanga fwikulilue lumonga mumbombo, juno juno avele iviila ajikaghe.
Lakini aliyeketi akifunuliwa jambo katika huduma, yule ambaye alikuwa ananena na anyamaze.
31 Ulwakuva ghweni mulyumue anoghile kuhumia uvuvili vumo ye ujunge ulwakuuti umuunhu ghweni anoghile kumanyila kange vooni va noghele kukangasivua.
Kwa kuwa kila mmoja wenu anaweza kutoa unabii mmoja baada ya mwingine ili kwamba kila mmoja aweze kujifunza na wote waweze kutiwa moyo.
32 Ulwakuva inumbula isa vavili sili pasi pavuloleli pa vavili.
Kwa kuwa roho za manabii ziko chini ya uangalizi wa manabii.
33 Ulwakuuva u Nguluve naghwe Nguluve ughwa vulamafu, looli ghwe lutengano. Ndavule jilivuo mu ng'ong'ano sooni isa vitiki,
Kwa kuwa Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani. Kama ilivyo katika makanisa yote ya waumini,
34 lonoghile avamama vikalaghe kimie mu ng'ong'ano. Ulwakuuva navitavulilua kujova. Pa uluo, vanoghile kuva vakoola, ndavule kange indaghilo pano jijova.
imewapasa wanawake wakae kimya katika kanisa. Kwa kuwa hawaruhusiwi kuzungumza. Badala yake, wanapaswa kuwa katika unyenyekevu, kama pia sheria inavyosema.
35 Nave kulikimonga vinoghelua kumanyila, looli vavaposie avaghosi vavanave munyumba. Ulwakuva se soni kwa mumama kujova mulukong'ano.
Kama kuna chochote wanatamani kujifunza, basi wawaulize waume zao nyumbani. Kwa kuwa ni aibu kwa mwanamke kuongea katika kanisa.
36 Vuli ilisio lya Nguluve likahumile kulyumue? Vuli lilisile jumue mwe veene?
Je neno la Mungu lilitoka kwenu? Je limewafikia ninyi tu?
37 Nave umuunhu ikuvona kuuti ve vavili nambe lwa mhepo, lumunoghile aghakagule amasio ghano nikuvalembela kuuti lwe lulaghilo lwa Mutwa.
Kama mtu akijiona kuwa ni nabii au wa rohoni, inampasa ayatambue mambo ninayowaandikia ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
38 Looli nave nakagwile agha, mumuleke aleke kukagulika.
Lakini asipotambua haya, mwacheni asitambuliwe.
39 Pa uluo, vakuulu numue va mwanilumbu vango, mulondaghe fiijo kuhumia uvuviili, namungansighaghe umuunhu ghweni kujova ni njovele.
Hivyo basi, kaka na dada zangu, takeni sana kutoa unabii, na msimzuie mtu yeyote kunena kwa lugha.
40 Looli amasio ghoni gha vombeke vunofu nuvutavike.
Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.

< 1 Wakoritho 14 >