< Filipililer 1 >

1 Mesih İsa'nın kulları ben Pavlus ve Timoteos'tan Filipi'deki gözetmenler ve görevlilerle birlikte Mesih İsa'ya ait bütün kutsallara selam!
Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu, Kwa wale walitengwa katika Kristo wanaoishi Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi.
2 Babamız Tanrı'dan ve Rab İsa Mesih'ten sizlere lütuf ve esenlik olsun.
Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo.
3 Sizi hatırladıkça Tanrım'a şükrediyorum.
Namshukuru Mungu wangu kila ninapowakumbuka ninyi nyote.
4 İlk günden şimdiye dek Müjde'nin yayılmasındaki işbirliğinizden dolayı her duamda hepiniz için her zaman sevinçle dilekte bulunuyorum.
Mara zote katika kila ombi langu kwa ajili yenu ninyi nyote, huwa na furahi ninapowaombea.
5
Nina shukrani nyingi kwa sababu ya ushirika wenu katika injili tangu siku ya kwanza mpaka leo.
6 Sizde iyi bir işe başlamış olan Tanrı'nın bunu Mesih İsa'nın gününe dek tamamlayacağına güvenim var.
Nina hakika kuwa yeye aliyeanzisha kazi njema ndani yenu ataendelea kuikamilisha mpaka siku ya Bwana Yesu Kristo.
7 Hepiniz için böyle düşünmekte haklıyım. Her an yüreğimdesiniz. İster zincire vurulmuş, ister Müjde'yi savunup doğrulamakta olayım, hepiniz benimle birlikte Tanrı'nın lütfuna ortaksınız.
Ni sawa kwangu kujisikia hivi juu yenu ninyi nyote kwa sababu nimewaweka moyoni wangu. Maana ninyi mmekuwa washirika wenza katika neema katika kifungo changu na katika utetezi na uthibitishaji wangu wa injili.
8 Hepinizi Mesih İsa'nın sevgisiyle nasıl özlediğime Tanrı tanıktır.
Mungu ni shahidi wangu, jinsi nilivyo na shauku juu ya yenu nyote katika undani wa pendo la Kristo Yesu.
9 Duam şu ki, sevginiz, bilgi ve her tür sezgiyle durmadan artsın.
Na ninaomba kwamba: upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote.
10 Öyle ki, üstün değerleri ayırt edebilesiniz ve böylece Tanrı'nın yüceltilip övülmesi için İsa Mesih aracılığıyla gelen doğruluk meyvesiyle dolarak Mesih'in gününde saf ve kusursuz olasınız.
Ninaomba kwa ajili ya hili ili muwe na uwezo wa kupima na kuchagua mambo yaliyo bora sana. Pia ninawaombea ili muwe safi pasipokuwa na hatia yoyote katika siku ya Kristo.
Na pia ili mjazwe na tunda la haki lipatikanalo katika Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.
12 Kardeşler, şunu bilmenizi isterim: Başıma gelenler daha çok Müjde'nin yayılmasına yaramıştır.
Sasa ndugu zangu, nataka mjue kuwa, mambo yaliyotokea kwangu yameifanya injili iendelee sana.
13 Sonuç olarak bütün saray muhafızları dahil, herkes Mesih uğruna zincire vurulduğumu öğrendi.
Ndiyo maana vifungo vyangu katika Kristo, vimejulikana kwa walinzi wa ikulu yote na kwa kila mtu pia.
14 Kardeşlerin çoğu da zincire vuruluşumdan ötürü Rab'be güvenerek Tanrı'nın sözünü korkusuzca söylemekte daha da cesur davranıyorlar.
Na ndugu wengi katika Bwana, kwa sababu ya vifungo vyangu, wameshawishika na kuthubutu kulihubiri Neno pasipo hofu.
15 Gerçi kimi Mesih'i kıskançlık ve rekabetle, kimiyse iyi niyetle duyuruyor.
Baadhi kweli hata humtangaza Kristo kwa fitina na ugomvi, na pia wengine kwa nia njema.
16 Sonuncular, Müjde'yi savunmaya atandığımı bilerek bunu sevgiyle yapıyorlar.
Wale wanaomtangaza Kristo kwa upendo wanajua kuwa nimewekwa hapa kwa ajili ya utetezi wa injili.
17 Ötekilerse Mesih'i temiz yürekle değil, bencil tutkularla duyuruyorlar. Böylece tutukluluğumda bana sıkıntı vereceklerini sanıyorlar.
Bali wengine wanamtangaza Kristo kwa ubinafsi na nia mbaya. Hudhani kuwa wanasababisha matatizo kwangu katika minyororo yangu.
18 Ama ne önemi var? İster art niyetle ister içtenlikle olsun, her durumda Mesih duyurulmuş oluyor. Buna seviniyorum, sevineceğim de.
Kwa hiyo? Sijali, aidha njia ikiwa ni kwa hila au kwa kweli, Kristo anatangazwa, na katika hili ninafurahia! Ndiyo, nitafurahia.
19 Çünkü dualarınızla ve İsa Mesih'in Ruhu yardımıyla bunun bana kurtuluş getireceğini biliyorum.
kwa kuwa ninajua ya kuwa hili litaleta kufunguliwa kwangu. Jambo hili litatokea kwa sababu ya maombi yenu na kwa msaada wa Roho wa Yesu Kristo.
20 Hiçbir şekilde utandırılmayacağımı, yaşasam da ölsem de Mesih'in her zamanki gibi şimdi de bedenimde yüceltilmesi için tam bir cesaret gösterebileceğimi bekliyor ve umut ediyorum.
Kulingana na matarajio yangu ya uhakika na kweli ni kwamba, sitaona aibu. Badala yake, kwa ujasiri wote, kama ambavyo siku zote na sasa, natarajia kuwa Kristo atainuliwa katika mwili wangu, ikiwa katika uzima au katika kifo.
21 Çünkü benim için, yaşamak Mesih'tir, ölmek kazançtır.
Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo na kufa ni faida.
22 Hayatta kalırsam yararlı işler yapacağım. Ama hangisini seçeceğimi bilemiyorum.
Lakini, kama kuishi katika mwili huzaa tunda katika kazi yangu, kwa hiyo sijui ni lipi la kuchagua.
23 İki seçenek arasında kaldım. Dünyadan ayrılıp Mesih'le birlikte olmayı arzuluyorum; bu çok daha iyi.
Maana ninasukumwa sana na mawazo haya mawili. Nina hamu ya kuuacha mwili na kuwa pamoja na Kristo, kitu ambacho ni cha thamani sana sana.
24 Ama hayatta kalmam sizin için daha gereklidir.
Ingawa, kubaki katika mwili huu ni jambo la muhimu sana kwa ajili yenu.
25 Bundan emin olarak kalacağımı biliyorum. İmanda gelişip sevinmeniz için hepinizle birlikte olmaya devam edeceğim.
Kwa kuwa nina uhakika juu ya hili, ninajua nitabaki na kuendelea kuwa pamoja nanyi nyote, kwa ajili ya maendeleo na furaha ya imani yenu.
26 Öyle ki, tekrar yanınıza geldiğimde, Mesih İsa'da benimle daha çok övünebilesiniz.
Na hii italeta furaha yenu kubwa katika Kristo Yesu, kwasababu yangu itaongezeka, kwa sababu ya uwepo wangu tena pamoja nanyi.
27 Ancak yaşayışınız Mesih'in Müjdesi'ne layık olsun. Öyle ki, gelip sizi görsem de gelmesem de sizinle ilgili haberleri, tek bir ruhta dimdik durduğunuzu, Müjde'de açıklanan inanç uğruna tek can halinde birlikte mücadele ettiğinizi, size karşı olanlardan hiçbir şekilde yılmadığınızı duyayım. Böyle davranmanız onlara bir belirtidir – kendilerinin mahvolacağını, sizlerin ise kurtulacağını gösteren bir belirti. Bu da Tanrı'nın işidir.
Mnatakiwa kuishi maisha yenu katika mwenendo mzuri uipasayo injili ya Kristo. fanyeni hivyo ili nikija kuwaona au nisipokuja, nisikie kuwa mmesimama imara katika roho moja. natamani kusikia kuwa mna roho moja, mkiishindania imani ya injili kwa pamoja.
na msitishwe na kitu chochote kinachofanywa na maadui zenu. Hii kwao ni ishara ya uharibifu. Bali kwenu ni ishara ya wokovu kutoka kwa Mungu.
29 Çünkü Mesih uğruna size yalnız Mesih'e iman etmek değil, daha önce bende gördüğünüz ve hâlâ sürdürdüğümü duyduğunuz zorlu çabanın aynısını göstererek Mesih uğruna acı çekmek ayrıcalığı da verildi.
kwa maana ninyi mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali na kuteswa pia katika Yeye.
kwa maana mna mgogoro uleule kama mliouona kwangu na mnasikia kwamba ninao hata sasa.

< Filipililer 1 >