< Marko 8 >

1 Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
Ikighono ikingi, ilipugha lya vaanhu likakong'haana kange. Avaanhu avuo ye vikalile nu Yesu ifighono fitatu, vakava vasila kyakulia. Pepano uYesu akavakemeela avavulanisivua vaake akati,
2 “Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
“Nikuvavonela ikisa avaanhu ava, ulkuwakuva vikalile nuune ifighono fitatu, lino vasila kyakulia.
3 Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali.”
Ningavatavule kuuti vavujaghe kisila kulia, kyavitegha mu sila, kange vomonga vihuma kutali.”
4 Wanafunzi wake wakamwuliza, “Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?”
Avavulanisivua vaake akati, “Ghihuma kuughi amakate pa lunyika apa pavulisila kimonga, neke vakwile avaanhu vooni ava!”
5 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Nao wakamjibu, “Saba.”
UYesu akavaposia akati, “Muli na makate ghalingi?” Vakamwamula vakati, “Ghali lekelalubale.”
6 Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
Pepano uYesu akavavuula avanuuhu kuuti vikale paasi. Akamenyulania, pe akava ikuvapeela avavulanisivua vaake, neke voope vakava vikuvaghavila avaanhu vooni.
7 Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
Kange vaale ni usamaki udebe. UYesu akafifuunya, akavavuula avavulanisivua, vaake kuuti lyope vavaghavile avaanhu.
8 Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
Avaanhu vakalia, valikuta. Avavulanivua vakakon'hania ifisighasi, fikamema indiilo lekelalubale.
9 Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
Avaanhu vano valyaliile valyale imbilima inendiliki. UYesu akavahwesia,
10 na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
akavavuuka akapanda ingalava palikimo na vavulanisivua vaake, akaluta imbale isa ku Dalumanuta.
11 Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
Ye vafikile ukuo, aVafalisayi vakamulutila uYesu, vakatengula kukumposia kukumughela kuuti, avahufie ikivakilo kino kivonia kuuti asung'hile nu Nguluve.
12 Yesu akahuzunika rohoni, akasema, “Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!”
UYesu akasukunala, pe akajova akati, “Kiki avaanhu va kisina iki vilonda ikivalilo? Kyang'ahhani nikuvauula, nakilapelua ikivalilo.”
13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
Akavaleka, akapanda kange ingalava, akatengula kulovoka mu lisumbe iluta imwambo ijingi.
14 Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
Ye vilovoka, avavulanisivua vaake vakasyemua kutoola amakate, looli mweghulyale unkate ghumo mu ngalaav.
15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
UYesu akavapavla akati, “Nikuvavuula kuuti mughelaghe ni kilule ikya Vafalisayi ni kya ntwa uHelode.”
16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Avavulanisivua vaake vakatengula piposania veene piiti, uYesu ijova ndiliki ulwakuva vasila makate.
17 Yesu alitambua hayo, akawaambia, “Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
UYesu akasikagula sino vakava vijova akati, “Kiki mukaning'hana jumue mwiti muli vasila makate? Mujiinge namukulutang'hania kiki namuli vangufi kukwitika mu moojo ghiinu?
18 Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
Muli na maaso neke namulola? Kange muli ni mbulughutu neke nampulika? Namukumbuka,
19 wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.”
unsiki ghula ye nimenyulania amakate ghahaano, vakalia avaanhu imbilima inhaano, mukakong'hania ifisighasi indiiilo ilingi?” Vkati, “Indiilo kijigho ni vili.”
20 “Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?” Wakamjibu, “Saba.”
“Nambe ye nimenyulania amakate lekelalubale, vakalia avaanhu imbilima ine, mukakong'hania ifisighasi indiilo ilingi?” vakati, “Lekelalubale.”
21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”
Akavaposia akati, “Mujiighe namukulutang'hania?”
22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
UYesu na vavulanisuvua vaake vakafika ku Betisaida, pepano avaanhu vakumuletela umuunhu um'bofu, maaso, vakampelepesia amwabasie neke asooke.
23 Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, “Je, unaweza kuona kitu?”
UYesu akankola uluvoko um'bofu jula, akahuma naghwope mu kikaaja kila. Akamfunyila amati mu maaso, neke akaviika mavoko ghaake pa mwene, akamposia akati, “Ukukyaga kimonga?”
24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”
Um'bofufu jula akalola, akati, “Nikuvaagha avaanhu, neke vivoneke hwene mapiki ghighenda!”
25 Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
UYesu akagomokela kuviika amavoko ghaake pa maaso gha m'bofu. vunofu ifiinu fyoni.
26 Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, “Usirudi kijijini!”
UYesu ye ikuntavula avujaghe akati, “Ulekaghe kugomamoka ku Betisaida.”
27 Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”
UYesu na vavulanisivivua vaake, vakavuuka viluta mu fikaajo fino filyale piipi ni likaaja lya Kaisalia-Filipi. Ye vali mu sila akavaposia akati, “Avaanhu viiti une neene veeni?”
28 Wakamjibu, “Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii.”
Vakamwamula vakati, “Vamo viiti veeve Yohani uMwofughi, vamonga viiti veeve m'bili uEliya, avange viiti umo muvavili avalongosi.”
29 Naye akawauliza, “Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?” Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo.”
Akavaposia akati, “Umue mwiti neene veeni?” Upeteli akamwamula akati, “Uve veeve Kilisite.”
30 Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
UYesu akavavuula kuuti navangam'bulaghe muunhu imhola iji.
31 Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: “Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.”
Pepano akatengula kukuvavulanisia avavulanisivua vaake kuuti, “Lunoghiile une Mwana ghwa Muunhu kuuva ni mhumuko nyinga na kukunua na vagojo na vatekesi na vavulanisi va ndaghilo na kubudua, neke ikighono ikya vutatu nisyuka.”
32 Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
Uyesu akajova amasio aghuo kisila kufisa. Pepano uPeteli akaluta nagwhope palubale, akatengula kukun'dalikila kuuti isio nasingawaghe.
33 Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!”
Apuo uYesu akasyetuka, akavalola avavulanisivua vaake, pe akan'dalikila uPeteli akati, “Vuuka apa ghwe setano uve, amasaaghe ghaako nagha Nguluve ulwene masaaghe gha vaanhu.”
34 Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
UYesu akakemeela ilipugha ilya vaanhu na vavulanisivua vaake, akavavuula akati “Umeenhu juno ilonda kukumbingilila une, avuleke uvughane vwake, itavule ambingilaghe nambe kuuve kwe kufua.
35 Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
ULwakuva umuunhu juno ilonda kupoka uvwumi vwake, ujuo ikwambusia, looli juno ikwambusia uvwumi vwake vwimila une ni Mhola iNofu, ujuo ikuvupoka.
36 Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
Lino, umuunhu ndepoonu ivumbulila kiki kuuva nu vumofu vwoni uvwa iisi, neke ambusie uvwumi vwake?
37 Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
Nambe umuunhu ahumie kikim apyanisie pa vwumi vwake?
38 Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”
Umuunhu ghweni anang'haane une ni mbulanisio sango pa vaanhu va kisina iki ikihosia kino nakikum'bikila mwojo uNguluve, na juune ne Mwana ghwa Muunhu, nilaava nikwisa mu vuvaha vwa Nhaata palikimo na vanyamhola avimike, nilankaana umuunhu ujuo.”

< Marko 8 >