< Marko 8 >

1 Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
Achakgo ayungjvma nga kainv nyitwng kvvbigo aadumsito. Vdwlo nyi vdwv oguka dvse kaaku mato kudw, Jisu lvbwlaksu vdwa ninyigvlo goklwkto okv minto,
2 “Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
“Ngo aya mvngpadu so nyi vdwgv lvgabv, ogulvgavbolo bunu nga lvkobv remin gvkunamv alu loum pvku okv vjak oguka dvse kaakuma.
3 Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali.”
Ngo bunua dvnam dvmumabv bunua naam lo vngmu kubolo, bunu vngkulo bunu anyu kumare, ogulvgavbolo bunu megonv adu lamtv lokv aato.”
4 Wanafunzi wake wakamwuliza, “Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?”
Nw gv lvbwlaksu vdwv ninyia tvvkato, “Vbvritola nyi vdwsum chukrimooku arwng soka yvvla dvnam dvgubv dvmu svgo paanyujinv?”
5 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Nao wakamjibu, “Saba.”
“Nonugvlo vdwgo vtwng doopv?” Jisu tvvkato. “Vtwng takkanw go,” bunu mirwkto.
6 Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
Nw nyitwng a kvdw aolo doodubv minto. Vbvrikunamv nw vtwng kanw a naatoku, Pwknvyarnvnyi umbonyika hvto, vtwng nga pinpinpiinto, okv nyitwng nga orpinoryin dubv ninyigv lvbwlaksu vdwa jitoku; okv lvbwlaksu vdwv vbv rijito.
7 Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
Bunu gvlo achokgo ngui miyangnv vkv dootato. Jisu umbonyika hvto ho hung okv lvbwlaksu vdwa bunua ortadubv mintoku.
8 Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
Mvnwngngv dvtoku okv dvguto—hoka nyi v nyigagaatv dvdv ngv hejar api gobv rito. Vbvrikunamv lvbwlaksu vdwv pintungpiung dvlv nga paapi kanw go yarpok dubv naapv toku. Jisu nyi vdwa vngmutoku
9 Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
10 na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
okv vjakpi gobv ninyigv lvbwlaksu vdwa lvkobv svpw akolo aatoku okv Dalmanutha mookulo vngtoku.
11 Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
Parisis kvgonv Jisu gvlo aato okv ninyia lvkobv larmi surapto. Bunu ninyia naatung dubv, vkvlvgabv bunu ninyia tvvkato lamrwpanam go kaatam labvkv ho kaapadubv Pwknvyarnv ngv ninyia yarlwknama.
12 Yesu akahuzunika rohoni, akasema, “Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!”
Vbvritola Jisu haang arwng lokv sakwla okv minto, “Ogulvgabv silugv nyi vdwsi lamrwpanam go rito vla tvvka dunv gubvre? Maa, ngo nonua mindunv! Svkvnv kaachin nvnvgo jimare so nyi vdwa!”
13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
Nw bunua vngyula, svpw arwnglo aakur lakula, okv vngrap toku svparsvlv gv takdv gonvlo raptoku.
14 Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
Lvbwlaksu vdwv vtwng dvgudvbv bvnglwk svnga mvngpa kuma toku okv vtwng takin gomwng bunugv lvkobv svpw hoka gvlwkto.
15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
“Hintolaka,” Jisu bunuam gamrwto, “Okv nonuno atu v Himasulaka Parisis vdw gvla okv Herod gv vpap am.”
16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Bunugv arwnglo bunu atubongv japrap minsuto: “Nw sum mindo ogulvgavbolo ngonu gvlo vtwng kvvbigoka kaakuma.”
17 Yesu alitambua hayo, akawaambia, “Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
Jisu chinto bunugv ogu gunyi minpvkudw, vkvlvgabv nw bunuam tvvkato, “Ogulvgavbolo nonuno ogu dvnam gvma vla raamisidunv? Nonuno chima vmalo vjakka chimare? Nonuno haang ngv achialvbv pvchapvnv ai?
18 Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
Nonuno nyik doodu—nonu kaapamadu nvri? Nonuno nyarung gvdu—nonu tvvpa madonvre? Nonu mvngpa madunvri
19 wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.”
vdwlo ngo hejar angu nyi vdw lvgabv vtwng tangu a pintak piyak ika? Vdw paapi akomaring nvgo pintungpiung dvlv nga nonuno naakumpv?” “Vring gola anyi,” bunu mirwkto.
20 “Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?” Wakamjibu, “Saba.”
“Okv vdwlo ngo hejar api nyi vdw lvgabv vtwng takkanwa pintak piyak ika,” Jisu tvvkato, “Vdw paapi akomaring nvgo Pintungpiung dvlv nga nonuno naakumpvnv?” “Kanw go,” bunu mirwkto.
21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”
“Okv vjaklodvbv nonuno chimadunvri?” Nw bunuam tvvkato.
22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
Bunu Betsaida lo aatoku, ho hoka nyi twnggonv nyi nyikchingnv ako Jisu gvlo aagvjito okv ninyia gaksit jibvkv vla kodwkkrwkla kooto.
23 Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, “Je, unaweza kuona kitu?”
Jisu nyikchingnv nyi hum laak lokv svla ila okv ninyia nampum agum bv vnggvto. Nw nyi vkvgv nyik a chorbiakro kochingbv, Jisu ninyigv laak v nyigvlo lakpvto okv nw a tvvkato, “No ogugo kaapa lado kure?”
24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”
Nyi angv moorapla kaato okv minto, “Vvm ngo nyi vdwa kaapa ladoku, vbvritola bunu singnv aingbv vngyit kardu.”
25 Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
Lvkodv Jisu ninyigv laak v nyi vkvgv nyiklo mampvto. So dw lo nyi angv kaanwngla kaarapto, ninyigv nyik kaapa nvnv ngv aatoku, okv nw ogumvnwng nga kaabwk toku.
26 Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, “Usirudi kijijini!”
Vbvrikunamv Jisu nyi hum, “Nampum arwng bv vngkur kuyoka” vla minggap gvrila naam bv vngmu toku.
27 Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”
Vbvrikunamv Jisu okv ninyigv lvbwlaksu vdwv Kaisaria Pilippi nampum adarlo vnglintoku. Lamtv vngtunglo nw bunua tvvkato “Nga minpato, nyi vdwv nga yvv vla mindu?”
28 Wakamjibu, “Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii.”
Megonv mindu no Jon Baptist kv, bunu mirwkto; “Kvvbi v mindu no Elija kv, kvgonv mintadu no nyijwk vdwlokv akonv noo kv.”
29 Naye akawauliza, “Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?” Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo.”
“Nonu ogubvla?” Nw bunua tvvkato. “Ngam nonu yvv vla mindunv?” Pitar mirwksito, “No Kristo rung.”
30 Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
Vbvrikunamv Jisu bunua gamrwto, “Ngoogv lvkwng nga yvvnyika minpa mabvka.”
31 Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: “Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.”
Vbvrikunamv Jisu ninyigv lvbwlaksu vdwa tamsar rapto: “Nyia Kuunyilo ngv hinchingre okv nyigagaatv vdwgv, nyibu butv vdwgv, okv Pvbv tamsarnv vdw bunugv toa kunam gobv rire. Ninyia sidubv mvre, vbvritola alu loum kochinglo nw turkur riku.”
32 Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
Nw hum bunua chinbwkdubv ritoku. Vkvlvgabv Pitar ninyia gaklaila vngsum gvto okv ninyia yamrapto.
33 Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!”
Vbvritola Jisu dakkur dakrwkla, kaato ninyigv lvbwlaksu vdwa, okv Pitarnyi yamtoku. “Uyu no, ngoogv lokv vngroto,” nw minto “Noogv mvngnam v Pwknvyarnv gv lokv aama vbvritola nyi gvlokv!”
34 Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Vbvrikunamv Jisu nyitwng nga okv ninyigv lvbwlaksu vdwa ninyi gvlo goklwkto. “Yvvdw ngoogvlo aanvpv mvngdunv,” nw bunua minto “Hv atu v mvngnga sutola, ninyigv daapo nga gvtola okv ngam vngming gvlaka.
35 Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
Yvv atubongv gv singdung nga singdubv mvngnv ngv hv ngoore; vbvritola yvvdw atugv singdung nga ngogvbv ngoobolo okv Alvnv Yunying lvgabv mvngbu v singyare.
36 Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
No nyiamooku mvnwng sum no gvbv mvtola, no atubogv yalu a nyemu namv, hv no ogu anyung go doopvla? Anyung kaama!
37 Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
Nw gv singdung nga lvkodv singdukubv ninyia jinyunv oguguka kaama.
38 Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”
Yvvnyi hv pwknvyarnv chimanv okv alvmanv alu so ngam la ngoogv tamsar nama hinying dunv, humka nyia kuunyilo ngv vdwlo nyidogindung gv lvkobv ninyigv Abu gv yunglit lo aarikudw ninyia hinying ngurv riku.”

< Marko 8 >