< Marko 8 >

1 Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
Lukumbi lwenulo, msambi uvaha wa vandu wakonganiki kavili hinu vavi lepi na chakulya, na Yesu avakemili vawuliwa vaki, akavajovela,
2 “Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
“Nikuvahengela lipyana vandu venava muni vatamii na nene mu ligono la datu, nambu vavi lepi na chakulya.
3 Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali.”
Ngati nikavajovela vawuya kunyumba na njala yati vihinduka munjila, muni vangi vahumili kutali.”
4 Wanafunzi wake wakamwuliza, “Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?”
Vawuliwa vaki vakamkota, “Penapa palugangatu yati tipata koki mabumunda ga kuvayukutisa vandu voha ava?”
5 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Nao wakamjibu, “Saba.”
Yesu akavakota, “Muvi na mabumunda galinga?” Vakamyangula. “Gavii saba.”
6 Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
Hinu, akavalagiza vandu vatama pahi. Akagatola mabumunda gala saba, akamsengusa Chapanga, akayimetula, akavapela vawuliwa vaki vavagavanisilayi vandu, navene vakavagavila.
7 Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
Vavi mewa na somba zidebedebe. Yesu akayimotisa, mewawa akalagazila vawuliwa vaki vavagavila vandu.
8 Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
Vandu valili na kuyukuta. Kangi vawuliwa vakanonga masigalilu na kumemesa madengu saba.
9 Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
Vandu vevalili vavi ngati elufu mcheche. Yesu peamali kuvalaga,
10 na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
Bahapo Yesu akayingila muwatu pamonga na vawuliwa vaki, vakahamba kumulima wa Dalimanuta.
11 Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
Vafalisayu vangi vakambwela na kutumbula kujovesana na Yesu. Vamlingili, vamganayi avalangisa ulangisu kuhuma kunani kwa Chapanga, kulangisa kuvya uhotola waki uhumili kwa Chapanga.
12 Yesu akahuzunika rohoni, akasema, “Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!”
Nambu Yesu mtima wamvinili neju na akajova, “Ndava kyani vandu va chiveleku ichi vigana ulangisu? Chakaka nikuvajovela, vandu va chiveleku ichi vipewa lepi ulangisu!”
13 Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
Kangi akavaleka akayingila kavili muwatu, akakupuka kuhamba kumwambu ya nyanja.
14 Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
Vawuliwa vakosiwi kutola mabumunda yamahele, ndi vavi na libumunda limonga ndu muwatu.
15 Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
Yesu akavalagiza, “Mlola neju! Mjiyangalila na ngemeku ya Vafalisayu na ngemeku ya Helodi.”
16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Vawuliwa vakatumbula kukotana vene kwa vene, “Ijova chenichi ndava tangali mabumunda.”
17 Yesu alitambua hayo, akawaambia, “Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
Yesu agamanyili gala gevajovisini akavajovela, “Ndava kyani mkotana ndava ya mabumunda? Wu, mwakona mwangamanya amala mwangalola? Wu, ndava kyani mwiholalela lepi?
18 Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
Muna mihu nambu mwilola lepi? Muvi na makutu nambu mwiyuwana lepi? Wu, mukosiwi
19 wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.”
lukumbi lula panakametwili mabumunda mhanu na kuvapela vandu elufu mhanu mwamemisi masigalilu madengu galinga?” Vakamyangula, “Madengu kumi na gavili.”
20 “Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?” Wakamjibu, “Saba.”
Akavakota kavili, “Na panametwili mabumunda saba na kuvapela vandu elufu mcheche mwamemisi masigalilu madengu galinga?” Vene vakamyangula, “Madengu saba.”
21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”
Hinu, akavajovela, “Pamonga na ago, wu, mwakona mwangamanya?”
22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
Yesu ahikili ku Betisaida pamonga na vawuliwa vaki. Kwenuko vandu vakamletela ngalola, vakamuyupa ampamisa muni amlamisa.
23 Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, “Je, unaweza kuona kitu?”
Yesu amkamwili chiwoko ngalola yula, ampeliki kuvala ya chijiji. Akamhunyila mata mumihu, akampamisa mawoko, akamkota “Wu, wihotola kulola chindu?”
24 Huyo kipofu akatazama, akasema, “Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.”
Ngalola yula akalola, akajova “Nikuvalola vandu vevilolekana ngati mikongo yeyigenda.”
25 Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
Kangi Yesu akampamisa kavili mawoko mumihu, mwene akamuhutusila mihu, uhotola waki wa kulola ukamuwuyila namwene akalola.
26 Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, “Usirudi kijijini!”
Yesu akamjovela awuya kunyumba yaki na kumlagiza “Ukotoka kuwuya ku Betisaida.”
27 Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”
Kangi Yesu na vawuliwa vaki vahambili kuvijiji vya pandu ku Kaisalia Filipi. Pevavi munjila, Yesu akavakota vawuliwa vaki, “Vandu vijova nene ndi nayani?”
28 Wakamjibu, “Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii.”
Vakamyangula, “Vangi vijova veve ndi Yohani Mbatizaji na vangi vijova veve ndi Eliya na vangi vijova veve ndi mmonga wa Valota va Chapanga.”
29 Naye akawauliza, “Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?” Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo.”
Kangi Yesu akavakota, “Na nyenye mwijova nene kuvya ndi yani?” Petili akamyangula, “Veve ndi Kilisitu, mweuhaguliwi na Chapanga.”
30 Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
Kangi Yesu akavalagiza vakotoka kumjovela mundu yeyoha kuvya mwene ndi Kilisitu.
31 Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: “Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.”
Kangi Yesu atumbwili kuvawula vawuliwa vaki, kuvya yikumgana “Mwana wa Mundu kung'ahika na kubelelewa na vagogo na vakulu va kuteta na Vawula va Malagizu. Kangi yati ikomiwa, nambu pa ligono la datu yati iyuka.”
32 Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
Yesu avajovili lijambu lenilo hotohoto. Penapo, Petili akamtola pamuhana akatumbula akamhakalila akotoka kujova mambu ago.
33 Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!”
Nambu Yesu akang'anamuka akavalolokesa vawuliwa vaki, akamhakalila Petili, akamjovela, “Setani, wuka palongolo yangu! Maholo gaku gihuma lepi kwa Chapanga, nambu ga umundu.”
34 Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
Kangi Yesu akaukemela msambi wa vandu na vawuliwa vaki akavajovela, “Ngati mundu yeyoha igana kunilanda nene yikumgana ajibela mwene na agega msalaba waki anilandayi.
35 Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
Ndava mundu mweigana kusangula wumi waki, yati akuuyagisa, nambu mundu mweakuuyagisa wumi waki ndava ya nene na ndava ya Lilovi la Bwina, yati akuusangula.
36 Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
Wu, chiyonjokeseka kyani mundu kupata mulima woha na kuuyagisa fwasi ya kuyingila muwumi wa magono goha?
37 Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
Mundu yati iwusa chindu kiki muni apatayi wumi wa magono goha?
38 Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”
Ngati mundu yeyoha muvandu va chiveleku ichi chihakau na chechimbudili Chapanga ngati ikola soni kwa nene na malovi gangu, Mwana wa Mundu yati akumulolela soni mundu mwenuyo, lukumbi peibwela muukulu wa Dadi waki pamonga na vamitumu va kunani kwa Chapanga vamsopi.”

< Marko 8 >